Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,081
Timu zote za watani wa jadi zina kamati za ufundi hakuna asiejua, tofauti ni kwamba simba anafanya hata wazi wazi ila Yanga ni kwa siri kimya kimya gizani na mafichoni.
Ni kweli Yanga wanaubonda ila kuna vitu extra vinawabeba.
Uwanja huo umefungwa Mar mbili kwajili ya marekebisha, baada ya marekebisha ya kwanza kuna ndumba za mwanzo ziliwekwa simba haikufanya vizuri huo uwanja na ilibondwa goli 5, uwanja ukafungwa tena mara ya pili kuna ndumba zenye nguvu zaidi zimewekwa na jana ukafunguliwa Yanga kamkimbiza sana MWARABU (sio horoya)
Simba ikijiroga wacheze uwanja huo matokeo yanaweza kuwa mabaya, mechi ya derby watapigwa 8 (NANE)
Ni kweli Yanga wanaubonda ila kuna vitu extra vinawabeba.
Uwanja huo umefungwa Mar mbili kwajili ya marekebisha, baada ya marekebisha ya kwanza kuna ndumba za mwanzo ziliwekwa simba haikufanya vizuri huo uwanja na ilibondwa goli 5, uwanja ukafungwa tena mara ya pili kuna ndumba zenye nguvu zaidi zimewekwa na jana ukafunguliwa Yanga kamkimbiza sana MWARABU (sio horoya)
Simba ikijiroga wacheze uwanja huo matokeo yanaweza kuwa mabaya, mechi ya derby watapigwa 8 (NANE)