SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,193
- 8,009
Baada ya CAF kutoa maelekezo kuhusiana na mashindano ya Super Cup, uwanja wa Benjamin Mkapa umefungwa isipokuwa kwa mashindano ya kimataifa pekee.
Kwa hiyo mashindano mengine yoyote ikiwemo yale ya Ligi ya NBC yataendelea katika viwanja vingine, kwa hiyo Yanga na Simba watalazimika kutumia viwanja vingine kama vile Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mashindano hayo.
Ikumbukwe ni Simba pekee kutoka Tanzania ndiye anategemewa kushiriki katika mashindano hayo ya Super Cup. Kwa tafsiri nyingine ni kuwa ushiriki wa Simba katika Super Cup umeharibu uenyeji wa Yanga katika mashindano ya ndani na hawana la kufanya masikini.
Kwa hiyo mashindano mengine yoyote ikiwemo yale ya Ligi ya NBC yataendelea katika viwanja vingine, kwa hiyo Yanga na Simba watalazimika kutumia viwanja vingine kama vile Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya mashindano hayo.
Ikumbukwe ni Simba pekee kutoka Tanzania ndiye anategemewa kushiriki katika mashindano hayo ya Super Cup. Kwa tafsiri nyingine ni kuwa ushiriki wa Simba katika Super Cup umeharibu uenyeji wa Yanga katika mashindano ya ndani na hawana la kufanya masikini.