Ile rafu unajua Yondani kapiga kelele hadi sauti imesikika kwenye Tv,namlaani sana BobanYanga wanafanya sub.....Juma Abdul anaingia badala ya Yondani,
Yondani atakuwa kaumia sana....
huyu ni bonge la flapo kwenye hii game,jamaa alikuwa useless karibu dk zote 90
...deni linalipwa lini?????? 5-0
Yule Mshabiki wa Yanga aliyesema Yanga watashinda 2-1 Mtabiri wake kaonyesha zahiri ni utabiri kubahatisha Mungu anajuwa kama vitu kama mpira anawaachia wachezaji juhudi wenye juhudi zaidi ndio wanashinda> Labda tuseme watabiri wa lile Tangazo la Simba 1 Yanga 1 ndio wamepatia.
Nadhani matokeo ya mwisho yatakuwa kama "Dk" Uwesu alivyotabiri....
Hakukosea bana....Ni kweli Yanga wamefunga 2 na Simba wamefunga 1........Goli 1 la Yanga refa amelikataa.......Yule Mshabiki wa Yanga aliyesema Yanga watashinda 2-1 Mtabiri wake kaonyesha zahiri ni utabiri kubahatisha Mungu anajuwa kama vitu kama mpira anawaachia wachezaji juhudi wenye juhudi zaidi ndio wanashinda> Labda tuseme watabiri wa lile Tangazo la Simba 1 Yanga 1 ndio wamepatia.
...lakini swala la deni bado liko palepale!!Asante sana StarTv Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE
updates:
Simba 1 - Yanga 1
- Goli la simba limefungwa dk ya 4 na Mchezaji Amri Kiemba, Goli la Yanga limefungwa na Bahanuzi katika dakika ya 65 ya mchezo kwa njia ya penalty
Redcard: Dakika ya 80, yanga sasa wanacheza 10 uwanjani:
Dakika ya '90', bado 'ngoma droo' - dakika 5 zimeongezwa.
Mpira umekwisha, Simba 1 - Yanga 1. Angalau sasa kutakuwa na amani pale 'jangwani'!
Juma Kaseja Your a Star Bila wewe....
Hakukosea bana....Ni kweli Yanga wamefunga 2 na Simba wamefunga 1........Goli 1 la Yanga refa amelikataa.......
Teh teh.....
Mimi yanga but bongo hakunanga mupira yenyewe inavutia,tunashabikianga majina ya timu tu!
Hakukosea bana....Ni kweli Yanga wamefunga 2 na Simba wamefunga 1........Goli 1 la Yanga refa amelikataa.......
Teh teh.....