Simba vs Tiger

Kweli kabisa mkuuu. Nakuongezea kwamba Tiger vs African Leopards. Nakuhakikishia huyo tiger anakimbia pambano, wanyama wa apa Africa ni Habari nyingine ukimletea hao wa uko anawapiga mapema. Wanyama wa apa Africa ni hatari sana. Hata awa Nile Crocodile ni Habari nyingine. Chui wa apa Africa akikutana na tiger anampiga kwa sababu ana uwezo wa kuluka na kumshambulia huyo tiger, kitu ambacho tiger ana uwezo mkubwa wa kuluka kama African leopards. Sasa huyo Africa leopard hawezi pambano na simba, Kumbuka simba dume analinda ktk Pride yake madume wasishambulie na anapambana na madume 4 yanayotafuta utawala wa Kupata umiriki(Pride). Simba ni mashine nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jidanganye na stori za mtaani eti simba dime hajui kuwinda, siku ukiingia kwenye 18 zake ndo utajuta
Bora uwaambie vijana wa maghorofani. Wanamfananisha simba na tiger. Na wakati tiger hata mziki wa African Leopard haugusi huyo tiger. Wangewauliza watu wa game reserve na tanapa wawaeleze kuhusu hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na katika woote hao ma big cat ,jaguar ndio anaongoza kwa kuwa na strongest biteforce even kuliko simba na tiger ....
 
Dah ulivyoelezea kama naangalia mapigano live

Sent using kidole gumba
 
Nilimuona simba akimdondosha Buffalo na kumng'ang'ania twiga nikampitisha, ule mtiti hakuna mnyama mwingine jamii ya paka atakayeuweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakikutana wawili Simba atashindwa ila kwa kawaida ila Simba anaishi katika familia au ukoo na Tiger anaishi mwenyewe zaidi na mkewe hivyo kwenye mapigano simba anacheza kitimu hivyo Tiger hawezi kushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Simba Dume hawezi poteza Nguvu na Pumzi zake kuwinda Swala au Nyumbu, hizo ni kazi za Jike. Dume ana winda Big Game Nyati, Twiga nk
 
Mimi nimeona ni like tu sababu ya aya ya mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaongea kishabiki ama una fact? Huyo siberian tiger aka amur msikie hivyo hivyo. Ana mkamata tembo mwenyewe kama mmoja na kumuua. Huku Africa si simba wala chui wa Africa mwenye uwezo huo unless wamzingire.

Angalia hii picha ya amur amejazia muscles kama anabeba chuma

Huyo kofi moja tu anammaliza chui wetu.

Simba pekee aliekuwa na ukubwa kama au kukaribia wa Amur ama bengali tiger ni barbarian ama atlas lion waliokuwa wakipatikana jangwa la sahara sema wamepotea huko jangwani wapo wachache zoo.



Walikuwa ni wakubwa na manyoya hadi tumboni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…