Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
Kuna uzi jamaa anapost live updates lakini mashabiki wa Simba wameukimbia wamekuja kujibanza huku....eeeh bwana eeenh ni kwamba Simba kashachapwa huko
 
Mwaka 2005 tulikuja na kombe la Tusker kutoka Kenya baada ya kuwafunga Asante Kotoko, soma kwa makini jina la timu tuliyoifunga.

Tehe tehe tehe......tehe tehe tehe!

Tusker nalo kombe. Timu 4 zinashindana na wewe unaita hiyo michuano?

[h=2]Tusker Cup 2005 (Nairobi)[/h]

Friendly international club tournament organised by Tusker Brewery. According to Tanzanian sources, it was a sort of continuation of the four Tusker Cup tournaments held there before. Certainly Simba SC qualified for the tournament by first winning the fourth edition of that tournament series just before. Participants: Asante Kotoko (Ghana) SC Simba (Tanzania) SuperSport United (South Africa) Tusker (Kenya) Semifinals [Jul 27] Tusker 2-0 SuperSport United Simba 4-2 Asante Kotoko Final [Jul 30] Tusker 0-1 Simba [Said Sued 68]
Super Sports na Asante Kotoko wakalaumiwa kwa kuleta wachezaji wa kikosi cha pili na tangu kipindi hicho hawakualikwa tena
 
Dkika 45 za wisho zme a nza mafta ametoka ameingia kigi makasi kinje nje kazimoto ndani
 
Hebu tupeni link ya internet tufuatilie huo mpambano basi!!!!

Tiba
 
dk 49 simba wanapata kona inazaa mpira wa kurusha wanaokoa
 
Tehe tehe tehe......tehe tehe tehe!

Tusker nalo kombe. Timu 4 zinashindana na wewe unaita hiyo michuano?

[h=2]Tusker Cup 2005 (Nairobi)[/h]

Friendly international club tournament organised by Tusker Brewery. According to Tanzanian sources, it was a sort of continuation of the four Tusker Cup tournaments held there before. Certainly Simba SC qualified for the tournament by first winning the fourth edition of that tournament series just before. Participants: Asante Kotoko (Ghana) SC Simba (Tanzania) SuperSport United (South Africa) Tusker (Kenya) Semifinals [Jul 27] Tusker 2-0 SuperSport United Simba 4-2 Asante Kotoko Final [Jul 30] Tusker 0-1 Simba [Said Sued 68]
Super Sports na Asante Kotoko wakalaumiwa kwa kuleta wachezaji wa kikosi cha pili na tangu kipindi hicho hawakualikwa tena
Umesema hatujawahi kuja na kombe kutoka nchi za nje, nimekuletea unaanza visingizio tena, sisi hatujali hata kama lingekuwa la Umisseta ili mradi tumelinyakuwa nje nchi, kwani sisi tuliwaambia walete watoto, hata kama ni watoto lakini wanawakilisha timu hiyo hiyo ya Asante Kotoko, na hoja kubwa ilikuwa kuleta kombe kutoka nje, kwa hiyo mkuu usifikiri sisi hatujawahi kuleta kombe toka nje tatizo lako unadhan kombe ni la Kagame tu.
 
nasikia Simba wote wamevaa vi pedo ili wamtege LIBOLO vizuri hahahaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom