Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
je wewe unaishia afrika ya wapi? Na nini mafanikio yako huko uendako zaid ya kupoteza mda na kututia aibu
Nani anayetia aibu? Ona hapa:

attachment.php
 
Wazee wa kuishia Afrika Mashariki!

Nyie ndio watoto wa Msomali ninaowatafuta, sisi Africa Mashariki hatuishii, tunaenda kushindana.

Kuna maneno ya kipumbavu yanazagaa kwenye hizi redio ambazo watangazaji wa michezo ni wachaga, eti Simba Koko ndio inaiwakilisha Tanzania vizuri nje ya nchi.

Mi naomba kama kuna MWANAUME hapa JF mwenye jeuri ya kuzungumza na Mwana Mtoka Pabaya, ajitokeze anieleze ni lini Simba iliwahi kupanda ndege (kuvuka mpaka) na KOMBE?

Yanga imeshafanya hivyo mara 2. Imekwenda nje kushindana na kurudi na kombe.

ANGALIZO:
Usije ukanitajia Kombe la Maulid mnaloendaga kucheza kwa kina Kakke, nitakutukana matusi ya nguoni
 
Last edited by a moderator:
nyie ndio watoto wa msomali ninaowatafuta, sisi africa mashariki hatuishii, tunaenda kushindana.

Kuna maneno ya kipumbavu yanazagaa kwenye hizi redio ambazo watangazaji wa michezo ni wachaga, eti simba koko ndio inaiwakilisha tanzania vizuri nje ya nchi.

Mi naomba kama kuna mwanaume hapa jf mwenye jeuri ya kuzungumza na mwana mtoka pabaya, ajitokeze anieleze ni lini simba iliwahi kupanda ndege (kuvuka mpaka) na kombe?

Yanga imeshafanya hivyo mara 2. Imekwenda nje kushindana na kurudi na kombe.

angalizo:
usije ukanitajia kombe la maulid mnaloendaga kucheza kwa kina kakke, nitakutukana matusi ya nguoni
nasikia leo kaseja kashtuka ana anzi bench mwache yule mganda apigwe liboro leo aheeee.
 
Yanga wivu mtaacha lini?mnakua ka mashabiki wa arsenal bhana amna k2 ila mikelele kbao, akuna jinsi ndo hvo uwe yanga ama mtibwa leo simb inakuwakilisha kule angola,kama amtaki kunyweni sumu bt ndo hvo,if u cnt win us join us.. achen kupiga kelele nje ya fensi.achen kuchonga nenden bagamoyo mjiandae na mech ya toto,sie tupo bizy tunawakilisha taifa
 
Yanga wivu mtaacha lini?mnakua ka mashabiki wa arsenal bhana amna k2 ila mikelele kbao, akuna jinsi ndo hvo uwe yanga ama mtibwa leo simb inakuwakilisha kule angola,kama amtaki kunyweni sumu bt ndo hvo,if u cnt win us join us.. achen kupiga kelele nje ya fensi.achen kuchonga nenden bagamoyo mjiandae na mech ya toto,sie tupo bizy tunawakilisha taifa

Yaani tukuoneeni wivu kwa hayo magonjwa yanayowaandama au?

Halafu shika adabu yako, UNAMWAKILISHA NANI? Ebo!
 
Nyie ndio watoto wa Msomali ninaowatafuta, sisi Africa Mashariki hatuishii, tunaenda kushindana.

Kuna maneno ya kipumbavu yanazagaa kwenye hizi redio ambazo watangazaji wa michezo ni wachaga, eti Simba Koko ndio inaiwakilisha Tanzania vizuri nje ya nchi.

Mi naomba kama kuna MWANAUME hapa JF mwenye jeuri ya kuzungumza na Mwana Mtoka Pabaya, ajitokeze anieleze ni lini Simba iliwahi kupanda ndege (kuvuka mpaka) na KOMBE?

Yanga imeshafanya hivyo mara 2. Imekwenda nje kushindana na kurudi na kombe.

ANGALIZO:
Usije ukanitajia Kombe la Maulid mnaloendaga kucheza kwa kina Kakke, nitakutukana matusi ya nguoni

bila shaka unaongelea kagame cup!!na kama unaongelea kagame cup ntakuona una maradh ya akili na unaitaji tiba ya haraka,watu tunaongelea mafanikio ngazi ya bara we unaleta habari za cecafa hii ya msonye na tenga huyu anaeng'ang'ania madaraka?ni sawa na shabik wa arsenal anae jifariji na kombe la emirates alo chukua mwanzo wa msimu.
 
Last edited by a moderator:
bila shaka unaongelea kagame cup!!na kama unaongelea kagame cup ntakuona una maradh ya akili na unaitaji tiba ya haraka,watu tunaongelea mafanikio ngazi ya bara we unaleta habari za cecafa hii ya msonye na tenga huyu anaeng'ang'ania madaraka?ni sawa na shabik wa arsenal anae jifariji na kombe la emirates alo chukua mwanzo wa msimu.

Mimi nina maradhi, sasa wewe thibitisha akili yako kwa kunieleza Simba imechukua lipi.

CECAFA sio ZFA, na ndio maana unaona bendera za nchi mbali mbali
 
Yaani tukuoneeni wivu kwa hayo magonjwa yanayowaandama au?

Halafu shika adabu yako, UNAMWAKILISHA NANI? Ebo!

hahaaa ndo hvo polen ,hope msim ujao mtajitaidi atleast na nyie muonekane nje,angarau muuze wachezaji wenu mfaidike na soka siunajua mpira ckuiz biashara,sio nyie kila cku mnanunua 2.hope na nyie mkijulikana mataifa ya nje mtauza kama kaka zenu simba.
 
bila shaka unaongelea kagame cup!!na kama unaongelea kagame cup ntakuona una maradh ya akili na unaitaji tiba ya haraka,watu tunaongelea mafanikio ngazi ya bara we unaleta habari za cecafa hii ya msonye na tenga huyu anaeng'ang'ania madaraka?ni sawa na shabik wa arsenal anae jifariji na kombe la emirates alo chukua mwanzo wa msimu.

By the way, we ulitaka CECAFA iongozwe na nani? Rage?

Si hata Rage aling'ang'ania FAT na sasa mnazozana aondoke Simba?
 
hahaaa ndo hvo polen ,hope msim ujao mtajitaidi atleast na nyie muonekane nje,angarau muuze wachezaji wenu mfaidike na soka siunajua mpira ckuiz biashara,sio nyie kila cku mnanunua 2.hope na nyie mkijulikana mataifa ya nje mtauza kama kaka zenu simba.

Umeona sasa tofauti yangu mimi na wewe. Unajua kwa nini sikubisha ulivyoniambia NINAUMWA AKILI? Nilinyamaza kwa kuwa, ukiona mtu anaumwa akili, ujue anayo hiyo akili. Wewe akili huna kabisa.

Kama kushiriki CAF na Champions League, acha nikupe ufahamu. Kwa hapa Tanzania, Yanga ndio timu ya kwanza kufika Quarter Final ya Champions League.

Simba inajulikana kimataifa kwa lipi? Rufaa za Rage ambazo ziliishia kubamizwa mabao na Waydad Casablanca au kubamizwa Libolo?

Hongera kwa kuuza wachezaji. Naamini sasa mtaacha kututia aibu kwa dhiki. Manake ni dhiki ndio ziliwaongoza mkatfuna rambirambi za Marehemu Mafisango. Na kule kwa kina Kakke mnadaiwa maharage na binti Kombo mlipoenda kucheza kombe la Maulidi
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina maradhi, sasa wewe thibitisha akili yako kwa kunieleza Simba imechukua lipi.

CECAFA sio ZFA, na ndio maana unaona bendera za nchi mbali mbali

usirudie tena kuleta ushabiki uso kua na maana ukisikia mafanikio,ongelea mafanikio sio unaleta hbr za hayo makombe yako ya ajabu!hvi unajua ukiingiza timu atua ya makundi caf unakua unaingza kiasi gani?
 
...
Yanga imeshafanya hivyo mara 2. Imekwenda nje kushindana na kurudi na kombe.
... Ndio maana nimesema wazee wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, na wewe unaendeleza yale yale.

Zungumzia basi 6-0 za Raja Casablanca !!! Au kama huko ni mbali sana, basi walau 5-0 za Simba! :becky::becky::becky:
 
hahaaa ndo hvo polen ,hope msim ujao mtajitaidi atleast na nyie muonekane nje,angarau muuze wachezaji wenu mfaidike na soka siunajua mpira ckuiz biashara,sio nyie kila cku mnanunua 2.hope na nyie mkijulikana mataifa ya nje mtauza kama kaka zenu simba.

mmeuza lini nyie mchezaji kwa bei gani na yuko wap?? Na hele yake iko wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom