Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,982
- 54,113
Ushindi na ahadi hiyo kwa TOTO Africans, Yanga wapo nyuma hapo!!! So sad Simba kapakatwa tena khaaa
very saddier!
Ushindi na ahadi hiyo kwa TOTO Africans, Yanga wapo nyuma hapo!!! So sad Simba kapakatwa tena khaaa
anko makoye kumbuka na wewe kesho utalia tu maana mkwakwani kutoka ni ngumu..
Ni aibu kwakweli: tumeanza kwa:-
1. Kushinda mfululizo
2. Drooo mfululizo
3. Na sasa ni kufungwa mfululizo
Wapi sasa tunako elekea!!!!!!
Etata ejobhaaa omparamani gwango afwile hahahahaaaaaaaa, mwekundu umegeuka mweusii.
etata nende nani kilabho kunjini,ejobha,,see bhikuja nkutughila abhapalamani
etata nende nani kilabho kunjini,ejobha,,see bhikuja nkutughila abhapalamani
dua la kuku kumla mwewe, pole sana
etata nende nani kilabho kunjini,ejobha,,see bhikuja nkutughila abhapalamani
Mpira umekwisha taifa mnyama kachezea bakora moja. Tahadhari, leo na kesho k/koo si mahali salama. Stay away.
subiri uone usije na excuse..
Uliisamila kumyitu,, embombo jho mulinajho bha nntani
Vipi crashwise, katulia?
Vipi crashwise, katulia?
Vipi crashwise, katulia?
Vipi crashwise, katulia?
Toto Africa Time , wafunge hao Simba goli 1-0 warudi zao msimbazi waka mfukuze rage. pole sana rage leo ndiyo hukumu yako kwani ulikuwa unafikiria mpira ni maneno na fitina? mpira ni strateges , haahhhaaaaa