Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Mpira umekwisha taifa mnyama kachezea bakora moja. Tahadhari, leo na kesho k/koo si mahali salama. Stay away.
 
Ushindi na ahadi hiyo kwa TOTO Africans, Yanga wapo nyuma hapo!!! So sad Simba kapakatwa tena khaaa
 
Ni aibu kwakweli: tumeanza kwa:-
1. Kushinda mfululizo
2. Drooo mfululizo
3. Na sasa ni kufungwa mfululizo
Wapi sasa tunako elekea!!!!!!

Kaburini.

Parapanda italia paranda x2

Wateule watakuwa wamekwisha nyakuliwa kumlaki Bwana ... mawinguni.
 
Ni aibu kwakweli: tumeanza kwa:-
1. Kushinda mfululizo
2. Drooo mfululizo
3. Na sasa ni kufungwa mfululizo
Wapi sasa tunako elekea!!!!!!
Mpira unamatokeo matatu kushindam droo na kufungwa so far timu haijapotea njia ya kutetea kombe .Sasa kinachotakiwa nikuboresha timu kwa kuwatumia vijana chipukizi zaidi pia bench la ufundi lipewe uhuru na nguvu ya kupaga timu
 
matokeo vipi.simba kashindwa ngapi?

kashindwa moja.kama hukukimbia hesabu za sequence and series utagundua kuwa ilifungwa
2-0, imekuja kugongwa 1-0, mechi ijayo itakuwa 0-0.baada ya hapo nadhani watatufahamisha kanuni itakayotumika..
 
muwape hizo laki5 zao na mlipe mishahara yao ya miezi 4

Hii ni rasha rasha, masika iko Kirumba Rocky City, hapa mtachukua 4-1. Karibuni sana raundi ijayo. Kesho Yanga anapiga Smart gap la point 6 halafu vijana wakapumzike Kampala, Kigali, Bujumbura, Kinshasa na kwingineko.
 
Etata ejobhaaa omparamani gwango afwile hahahahaaaaaaaa, mwekundu umegeuka mweusii.
 
Bila kulitoa lile li somali Al shabab hatufiki popote. Laanakum xyz¥&..sh..z. Halijui uongozi na linafikiri club ni kama chama kilichompa nafasi ya kuingia mjengoni.
 
Mpira umekwisha taifa mnyama kachezea bakora moja. Tahadhari, leo na kesho k/koo si mahali salama. Stay away.

Kwa upande mmoja nasikitika timu yangu kufungwa na kwa upande mwingine nafurahi angalau homeboys wamepata pointi.
 
hahaha mpira wa tz ndo hivyo fitina mwisho timu nyanya huwa zinakomaa kwa timu kubwa utadhania ni fainali

mgambo huwa wazuri lakini na inaonekana walijua beki sasa hivi ni mbovu ndio maana walikuwa na offside nyingi..
 
kashindwa moja.kama hukukimbia hesabu za sequence and series utagundua kuwa ilifungwa
2-0, imekuja kugongwa 1-0, mechi ijayo itakuwa 0-0.baada ya hapo nadhani watatufahamisha kanuni itakayotumika..
0-0 alafu kitakachofuata ni kutokuingiza timu Uwanjani mpaka Rage na Benchi lake la Ufundi Wang'atuke
 
There are currently 390 users browsing this thread. (91 members and 299 guests)

Ni nadra sana kwenye sports huku kuwa na idadi hii ya watu. Lazima simba afungwe namna hii


 
Back
Top Bottom