ft mgambo jkt 2 - 1 azam fc
Poor Azam
confirmed... simba 0 - 1 toto
Boban, Nyosso na Kaseja warudi kikosini haraka sana vinginevyo kila siku wana-Simba tutaendelea na masikitiko tu.....wachezaji wote wana-mgomo baridi wa chini kwa chini
Samahani Makoye Matale kuna moja ya Comment zangu nimekosea kukuita Mawe Matale niwie radhi.Hivi unajua sijaamini kama kweli simba wamechapwa kamanda wangu??!!!,hebu fuatilia kwa sababu nilisikia wakipigwa leo lazima fimbo zitembee pale maeneo ya msimbazi,mimi mitaa hiyo sasa naogopa hata kupita.
leo mtasemaje au mtasimamisha beki na kipa?
Usijali Mkuu, ni kweli Simba kapakatwa. Nimepigiwa simu toka Dar, very sady information.
vip taifa inaendeleaje huko..
ft mgambo jkt 2 - 1 azam fc
Ni aibu kwakweli: tumeanza kwa:-Hapo ndo kipondo kitatembezwa kama kawa,ni lazima wawatimue wote kama wanahitaji usalama,halafu kile kikosi cha Matola kilichochukua ubingwa wa Super Cup kiko wapi jamani wanasimba????,kile kikosi nakwamba hata yanga ile ya mwaka jana inaiogopa lakini siyo hii ya sasa,hii ya sasa hivi haina breki inaweza kukugonga mpaka ikakusigina.
kumbe haupo graundi..
kutoka kwa hasan mvula timu zilikuwa zinashambuliana na kingine ni kwamba beki kwa sasa azam ndio tatizo ila tutarekebisha tu..
Hongera mgambo, hongera Toto.
muwape hizo laki5 zao na mlipe mishahara yao ya miezi 4Mkuu nilishasema niko bush, nikumbushe tune ya wimbo huu wa pambio:
1. Bwana wa mabwana hapoke ru...
2. To-to A-fri-ka ha-po-ke-i ...shwa!