Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,345
- 9,201
Ndo màana hua tunawaombea njaaMmejitahidi sana, ila sasa mna sifa sana hadi mnaboa
Ndo màana hua tunawaombea njaaMmejitahidi sana, ila sasa mna sifa sana hadi mnaboa
Timu ni Rivers United tu kwakweli.Hamna timu mule! Acheni kelele
alipanga kikosi utopolo akipewa comments anatukana popoma yuleUnaongelea kitu gani mbona ueleweki,,genta anapowachana ukweli mnamchukia kumbe
Wewe lini uliwahi kumfurahia Genta, anapoichana ukweli utopolo yako??Unaongelea kitu gani mbona ueleweki,,genta anapowachana ukweli mnamchukia kumbe
Sisi tunafurahia maumivu unayopata baada ya Simba Sc kutinga robo fainali, tunajua mitandaoni huko hapakaliki maana kila ukigusa ni habari za Simba Sc.Za ndani kabisaaaaa "inasemekana kipindi cha pili kosa walilofanya ni kutumia ac za vyumbani hivyo kujikuta hawana nguvu kabisa kipindi cha pili bado tunaendelea na uchunguzi"
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
HakunaaaTuongee tu ukweli jamani, hivi kimataifa kuna timu yeyote hapa Tanzania zaidi ya Simba?
Hata kitaifa pia swali hilo bado linakuletea majibu yale yaleTuongee tu ukweli jamani, hivi kimataifa kuna timu yeyote hapa Tanzania zaidi ya Simba?
Jaribu nawewe kufanya hivyoMTU unaahirisha kula mchana halafu jioni unakula Mara mbili. Alfajiri tena unaweka menyu njaa inatoka wapi.
Sema ndugu zangu huwa tu mnabadilisha ratiba ya kula, tuache kuzugana 🤣🤣
Nasema uongo ndugu zangu!?
Sawa tajiri sio vibaya nikiwa masikini Wala haizuru.Una ushabiki wa kimasikini kupenda ugomvi hata pasipo na ugomvi.
Namtamani huyo Al ittihad tumgalagaze fastaaaOrlando pirates
Al Ittihad (libya)
Tp Mazembe
Rs Berkane
Hawa ndio vinara wa makundi..nani tutakutana nae?
View attachment 2174919
Elewa tofauti ya ushabiki wa kimasikini na umasikini.Sawa tajiri sio vibaya nikiwa masikini Wala haizuru.