Simba msimu ujao tujifelishe tushiriki Shirikisho, tusishiriki tena Champions League, ama nusu fainali kwetu itabaki kuwa ndoto

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
HAKUNA POINTI YA KUSHINDANA KATIKA SHINDANO AMBALO UNAJUA HUTASHINDA

Yaani unakuwa tu kama msindikizaji, Simba ni timu kubwa sana, yenye pride kubwa, so haiwezi kuendelea kuwa mdindikizaji kila msimu kama timu ndogo

Jamani wana Simba tuwe realistic, kwenye mashindano ya CAF Simba mwendo tumeumaliza

Ila kama tungekuwa Shirikisho kwa timu zilizopo kama Marumo Gallants, Rivers, Monastir, Asec na nyinginezo hata Simba hii mbovu ingekuwa na nafasi kubwa sana ya kutinga fainali au hata kuchukua kabisa kombe

Ila kwa Champions League hii hata tungepangwa na timu gani lazima tungetoka tu, kule ni kwa mabingwa hasa, waliowekeza haswa

Sasa kama Simba tuna ndoto za kufika hata nusu fainali ya michuano ya Afrika, achilia mbali kuchukua kombe, basi tageti yetu yafaa iwe Shirikisho

Kwa hii Simba mpya, Kombe la Shirikisho tumeshiriki mara moja na tukatolewa kwa penalti robo fainali, tungeshiriki mara 2 au 3 ungekuta tushafika nusu au hata fainali
 
Huo ni ukweli mchungu, binafsi mimi ni Simba lialia ila tulipofika mwendo tumeumaliza, hatuna timu ya kutuvusha hapo.

Timu yoyote ambayo tungekutana nayo ktk zile 3 (Mamelod, Esperabce, Wydad), hakuna ambayo tunaiweza.

Wenzetu wamewekeza fedha, muda na matendo ila sisi akina Mo wamewekeza mdomoni na kutuletea akina Sawadogo.
 
Sikubaliani na wewe hata point moja...kumbuka waliofanikiwa hawakuanza na kufanikiwa ....embu kaa chini fikiria vizuri then andika tena vizur alafu kumbuka Uwoga wako ndo umasikini wako
 
Sikubaliani na wewe hata point moja...kumbuka waliofanikiwa hawakuanza na kufanikiwa ....embu kaa chini fikiria vizuri then andika tena vizur alafu kumbuka Uwoga wako ndo umasikini wako
Tunaanza na shirikisho, tukifanikiwa Shirikisho ndio tuje ligi ya mabingwa
 
Ulaya Kuna team inaitwa sevilla ,Iko laliga .....hii team kila msimu inacheza Europa ...

Hata ikiwa UEFA huwa wanapanga matokeo ya kufungwa ili wakacheze Europa ,hawanaga muda n CL ....

Mpaka leo wao Kwa makombe ya ulaya ni the king of europa...

Hata msimu huu wametoka maksudi UEFA kwenda Europa ....

Sevilla wakija kwenye Europa ni mafundi hatari ,wamecheza final nyingi sana za Europa na kubeba makombe ya Europa kuliko team yeyote ,anayo Mataji 6 ya Europa ...
......kama alivo Madrid kwenye uefa ,basi kule Europa na sevila

Kwa Sasa wapo robo final game watacheza na man UTD ....

Usifikili board nzima na team ya sevila hawajielewi hapana ila wameona wao kamba yao mwisho ni Europa ,UEFA hawaiwezi .....
 
Wanajitoa makusudi,jaribu kuficha ujinga wako
Ulaya Kuna team inaitwa sevilla ,Iko laliga .....hii team kila msimu inacheza Europa ...

Hata ikiwa UEFA huwa wanapanga matokeo ya kufungwa ili wakacheze Europa ,hawanaga muda n CL ....

Mpaka leo wao Kwa makombe ya ulaya ni the king of europa...

Hata msimu huu wametoka maksudi UEFA kwenda Europa ....

Sevilla wakija kwenye Europa ni mafundi hatari ,wamecheza final nyingi sana za Europa na kubeba makombe ya Europa kuliko team yeyote ,anayo Mataji 6 ya Europa ...
......kama alivo Madrid kwenye uefa ,basi kule Europa na sevila

Kwa Sasa wapo robo final game watacheza na man UTD ....

Usifikili board nzima na team ya sevila hawajielewi hapana ila wameona wao kamba yao mwisho ni Europa ,UEFA hawaiwezi .....
 
HAKUNA POINTI YA KUSHINDANA KATIKA SHINDANO AMBALO UNAJUA HUTASHINDA

Yaani unakuwa tu kama msindikizaji, Simba ni timu kubwa sana, yenye pride kubwa, so haiwezi kuendelea kuwa mdindikizaji kila msimu kama timu ndogo

Jamani wana Simba tuwe realistic, kwenye mashindano ya CAF Simba mwendo tumeumaliza

Ila kama tungekuwa Shirikisho kwa timu zilizopo kama Marumo Gallants, Rivers, Monastir, Asec na nyinginezo hata Simba hii mbovu ingekuwa na nafasi kubwa sana ya kutinga fainali au hata kuchukua kabisa kombe

Ila kwa Champions League hii hata tungepangwa na timu gani lazima tungetoka tu, kule ni kwa mabingwa hasa, waliowekeza haswa

Sasa kama Simba tuna ndoto za kufika hata nusu fainali ya michuano ya Afrika, achilia mbali kuchukua kombe, basi tageti yetu yafaa iwe Shirikisho

Kwa hii Simba mpya, Kombe la Shirikisho tumeshiriki mara moja na tukatolewa kwa penalti robo fainali, tungeshiriki mara 2 au 3 ungekuta tushafika nusu au hata fainali
Kwenye kombe lolote lile la CAF - Simba mwiso wake ni robo fainali - ndio uwezo wa wachezaji na kocha ulipofikia.
 
Ila tukiacha ushabiki wa simba na Yanga! Bado simba ana mlima wa kupanda kwenye hii hatua ya robo fainali.
Kumtoa Bingwa mtetezi, siyo kazi nyepesi. Mbaya zaidi pacha wake, alimfunga nje ndani! Kwa kweli wajiandae.

Kuhusu Yanga! Ninaamini kuna tofauti kubwa sana kati ya Yanga ile iliyofungwa goli 1 bila nje ndani na hao Rivers United, na hii Yanga ya sasa. Mbaya zaidi na hao Rivers wenyewe wa sasa, wana wakati mgumu kupambana na Yanga hii iliyokamilika kwenye kila idara.
 
Mkuu labda tuambie kabla ya 2018 Simba na ilikuwa inaishia wapi? Wamefikaje hapa walipo leo? Yanga 2021 huko walikuwa wanaishia wapi,leo je?!

Simba ilikuwaje wakati wanakutana na kina Vita? Si walikuwa wanapigwa 5? Ilikuwaje wakaanza kufungwa 4?

JF ilikuwaje wakati tunaanza 2000s. Angekuwa na fikra finyu kama zako angeogopa sana mablog yaliyokuwepo miaka hiyo
 
Mpira hua Una matokeo ya ajabu Sana huyo wydad aliwahi kutolewa na kaizer chief misimu miwili iliyopita. So kila kitu kinawezekana
 
Acheni fikra finyu mpira ni dakika 90.
Simba imeaminiwa na ni timu kubwa hivyo na sisi tunaamini itafanya vizuri na sisi kama Watanzania tuna imani kubwa na simba.
Simba nguvu moja.
Simba ni baba wa soka la kimataifa kwa nchi hii.
 
Ila tukiacha ushabiki wa simba na Yanga! Bado simba ana mlima wa kupanda kwenye hii hatua ya robo fainali.
Kumtoa Bingwa mtetezi, siyo kazi nyepesi. Mbaya zaidi pacha wake, alimfunga nje ndani! Kwa kweli wajiandae.

Kuhusu Yanga! Ninaamini kuna tofauti kubwa sana kati ya Yanga ile iliyofungwa goli 1 bila nje ndani na hao Rivers United, na hii Yanga ya sasa. Mbaya zaidi na hao Rivers wenyewe wa sasa, wana wakati mgumu kupambana na Yanga hii iliyokamilika kwenye kila idara.
Leo umechangia Kama mwanamichezo halisi.
Sometimes inabidi tuweke ushabiki pembeni tuongee uhalisia
 
... nikuhakikishie tu; robo fainali Klabu Bingwa ni zaidi ya kutwaa Shirikisho miaka 10 mfululizo. Kazi kwako.
 
kwahiyo Ulitaka Simba apangwe na Kmc au? Umeshasema Ligi ya mabingwa lazima utafika wakati ni vigogo tu. Na wakati ndio huu.
 
SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.

1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.

Atakuwa widad????
 
... nikuhakikishie tu; robo fainali Klabu Bingwa ni zaidi ya kutwaa Shirikisho miaka 10 mfululizo. Kazi kwako.
Sijaelewa umeongelea katika nyanja ipi? Yaani kuishia robo fainali klabu bingwa iwe zaidi ya kubeba kombe la shirikisho? Toa ufafanuzi
 
Siungi mkono hoja, kujipima kwa kushinda kombe la watoto ni zaidi ya udhaifu.

Utaendelea kuwa mtoto maisha yako yote.
 
Back
Top Bottom