Kabla ya kucheza robo fainali, timu za Shirikisho zilitakiwa kucheza Play off na timu ya nafasi ya 3 Champions league, CAF wanakosea

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
Huu ni utaratibu mzuri ambao unatumika UEFA Champios League, ambapo timu iliyoshika nafasi ya 3 kombe la UEFA Champions League hucheza play offs na timu zilizoshika nafasi ya pili kombe la Europa League

Hata CAF walitakiwa kufanya utaratibu huu ili kuzichuja timu vizuri

Mfano Monastir ilitakiwa kucheza na Horoya kwenye Play offs na mshindi ndio aingie robo fainali

Maana Horoya ilionyesha kiwango bora sana kuliko timu yoyote ya Shirikisho
 
Huu ni utaratibu mzuri ambao unatumika UEFA Champios League, ambapo timu iliyoshika nafasi ya 3 kombe la UEFA Champions League hucheza play offs na timu zilizoshika nafasi ya pili kombe la Europa League

Hata CAF walitakiwa kufanya utaratibu huu ili kuzichuja timu vizuri

Mfano Monastir ilitakiwa kucheza na Horoya kwenye Play offs na mshindi ndio aingie robo fainali

Maana Horoya ilionyesha kiwango bora sana kuliko timu yoyote ya Shirikisho
Halafu yanga icheze na simba
 
Huu ni utaratibu mzuri ambao unatumika UEFA Champios League, ambapo timu iliyoshika nafasi ya 3 kombe la UEFA Champions League hucheza play offs na timu zilizoshika nafasi ya pili kombe la Europa League

Hata CAF walitakiwa kufanya utaratibu huu ili kuzichuja timu vizuri

Mfano Monastir ilitakiwa kucheza na Horoya kwenye Play offs na mshindi ndio aingie robo fainali

Maana Horoya ilionyesha kiwango bora sana kuliko timu yoyote ya Shirikisho
ukitaka kuwapatia na kuwakomesha hawa CAF anzisha kombe lako mzee hayo mambo yatakuwa rahisi sana aisee
 
Dada upo kipindi cha joto? Mbona Kama hueleweki!!
 
Back
Top Bottom