ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Kutokana na makosa ya kujirudia ambayo viongozi wa Simba na Mashabiki wamekuwa wakifanya.
CAF itawapa Simba adhabu hiyo baada ya maonyo na faini ambazo wamekuwa walipewa
Adhabu nyingine, Simba atatakiwa kulipa faini ya dollar million 1
Mashabiki wa Simba walifanya vitendo visivyo vya kiungwana ikiwa ni pamoja na
1. Kumzomea Rais CAF Patrice Motsseppe, Kwa matusi ya nguoni, wakati wa ugawajibwa medali na kombe (ushahidi wa video)
2. Kuvamia waamuzi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na silaha pia kutoa vitisho ( ushahidi wa video)
3. Viongozi na mashabiki wa Simba kuzuia wachezaji na mashabiki wa RS Berkane Kwa saa 3 pale airport ( ushahidi wa video na picha)
4. Viongozi kuhamasisha fujo michezoni. Viongozi wa Simba walirekodiwa wakihimiza watu kupiga na ikibidi kuwauwa wasio mashabiki wa Simba (ushahidi wa video)
5. Uongozi wa Simba Kwa maksudi kupotosha kuhusu suala la kuhama uwanja. Na kusema ati ni hujuma ya CAF wakati uwanja wa New Amaan complex ulikuwa chaguonla Simba
6 wachezaji wa Simba kuongelea vibaya waamuzi
7.Viongozi wa Simba kutukana management ya CAF
Huo ubingwa mnaoandaliwa na TFF ya Karia jiandae mwakani kucheza humu hamwendi popote
Simba walikuwa wakiulizia nguvu ya cheo cha Mwenyekiti wa vilabu Africa, Sasa hapa ndo mtaiona hiyo nguvu ya Eng Hersi Said
Ubaya ubwege
CAF itawapa Simba adhabu hiyo baada ya maonyo na faini ambazo wamekuwa walipewa
Adhabu nyingine, Simba atatakiwa kulipa faini ya dollar million 1
Mashabiki wa Simba walifanya vitendo visivyo vya kiungwana ikiwa ni pamoja na
1. Kumzomea Rais CAF Patrice Motsseppe, Kwa matusi ya nguoni, wakati wa ugawajibwa medali na kombe (ushahidi wa video)
2. Kuvamia waamuzi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na silaha pia kutoa vitisho ( ushahidi wa video)
3. Viongozi na mashabiki wa Simba kuzuia wachezaji na mashabiki wa RS Berkane Kwa saa 3 pale airport ( ushahidi wa video na picha)
4. Viongozi kuhamasisha fujo michezoni. Viongozi wa Simba walirekodiwa wakihimiza watu kupiga na ikibidi kuwauwa wasio mashabiki wa Simba (ushahidi wa video)
5. Uongozi wa Simba Kwa maksudi kupotosha kuhusu suala la kuhama uwanja. Na kusema ati ni hujuma ya CAF wakati uwanja wa New Amaan complex ulikuwa chaguonla Simba
6 wachezaji wa Simba kuongelea vibaya waamuzi
7.Viongozi wa Simba kutukana management ya CAF
Huo ubingwa mnaoandaliwa na TFF ya Karia jiandae mwakani kucheza humu hamwendi popote
Simba walikuwa wakiulizia nguvu ya cheo cha Mwenyekiti wa vilabu Africa, Sasa hapa ndo mtaiona hiyo nguvu ya Eng Hersi Said
Ubaya ubwege