SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,764
Kelele zenu hazisaidii,tarehe 3 July njoni mkeketwe, na Kigoma pia mnaenda chezea kipondo na kwenye ngao ya hisani tunawabokoa, yaani mwaka huu hadi mtie akili.Katika historia yangu ya kufuatilia mpira wa Tanzania sijawahi kuona Rais wa TFF ng'ombe na mbumbumbu kama Karia. Nashangaa kwanini amechukua fomu kugombea tena wakati uongozi wake umeharibu sana mpira wa nchi hii. Ikiwa suala dogo tu la kurudisha viingilio vya mashabiki linamshinda, uongozi gani anataka tena? Mpuuzi kabisa.