TFF wanaihujumu sana Simba

Street College

Senior Member
Jun 1, 2012
127
293
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mienendo ya hawa waliopewa dhamana ya kusimamia mpira wa bongo. Ukitazama kwa jicho la tatu utaona kwamba wapo biased sana.

Kwenye ratiba za CAF za mwaka huu, wamewatanguliza Simba kucheza alafu Yanga wanafatia. Hii inawafanya wacheze wakiwa wanayajua matokeo ya Simba, hivyo inawapa molari. Najua kuna mtu atasema TFF wanahusika vipi na ratiba za CAF, ila ukweli ni kwamba kitendo Cha Simba na Yanga zote kutumia uwanja mmoja kiliwafanya CAF wazitofautishe mechi zao ili kuupa nafuu uwanja. Na hapo ndipo TFF walipotoa wazo la Simba kuanza kisha Yanga afatie.

Alafu kingine nashauri Simba tuachane na huu uwanja wa taifa. Hatuwezi kutumia uwanja mmoja na Yanga alafu tukapata matokeo mazuri. Maana vitu walivyofukia ndio vinatukosesha matokeo. Mechi za robo fainali tuhamishie hata Zanzibar
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mienendo ya hawa waliopewa dhamana ya kusimamia mpira wa bongo. Ukitazama kwa jicho la tatu utaona kwamba wapo biased sana.

Kwenye ratiba za CAF za mwaka huu, wamewatanguliza Simba kucheza alafu Yanga wanafatia. Hii inawafanya wacheze wakiwa wanayajua matokeo ya Simba, hivyo inawapa molari. Najua kuna mtu atasema TFF wanahusika vipi na ratiba za CAF, ila ukweli ni kwamba kitendo Cha Simba na Yanga zote kutumia uwanja mmoja kiliwafanya CAF wazitofautishe mechi zao ili kuupa nafuu uwanja. Na hapo ndipo TFF walipotoa wazo la Simba kuanza kisha Yanga afatie.

Alafu kingine nashauri Simba tuachane na huu uwanja wa taifa. Hatuwezi kutumia uwanja mmoja na Yanga alafu tukapata matokeo mazuri. Maana vitu walivyofukia ndio vinatukosesha matokeo. Mechi za robo fainali tuhamishie hata Zanzibar
Nyie si mpaka mechi ilighairishwa ili mpate muda wa kujiandaa
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mienendo ya hawa waliopewa dhamana ya kusimamia mpira wa bongo. Ukitazama kwa jicho la tatu utaona kwamba wapo biased sana.

Kwenye ratiba za CAF za mwaka huu, wamewatanguliza Simba kucheza alafu Yanga wanafatia. Hii inawafanya wacheze wakiwa wanayajua matokeo ya Simba, hivyo inawapa molari. Najua kuna mtu atasema TFF wanahusika vipi na ratiba za CAF, ila ukweli ni kwamba kitendo Cha Simba na Yanga zote kutumia uwanja mmoja kiliwafanya CAF wazitofautishe mechi zao ili kuupa nafuu uwanja. Na hapo ndipo TFF walipotoa wazo la Simba kuanza kisha Yanga afatie.

Alafu kingine nashauri Simba tuachane na huu uwanja wa taifa. Hatuwezi kutumia uwanja mmoja na Yanga alafu tukapata matokeo mazuri. Maana vitu walivyofukia ndio vinatukosesha matokeo. Mechi za robo fainali tuhamishie hata Zanzibar
Sikujua Kama Tanzania bado kuna wapumbavu wa aina hii
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mienendo ya hawa waliopewa dhamana ya kusimamia mpira wa bongo. Ukitazama kwa jicho la tatu utaona kwamba wapo biased sana.

Kwenye ratiba za CAF za mwaka huu, wamewatanguliza Simba kucheza alafu Yanga wanafatia. Hii inawafanya wacheze wakiwa wanayajua matokeo ya Simba, hivyo inawapa molari. Najua kuna mtu atasema TFF wanahusika vipi na ratiba za CAF, ila ukweli ni kwamba kitendo Cha Simba na Yanga zote kutumia uwanja mmoja kiliwafanya CAF wazitofautishe mechi zao ili kuupa nafuu uwanja. Na hapo ndipo TFF walipotoa wazo la Simba kuanza kisha Yanga afatie.

Alafu kingine nashauri Simba tuachane na huu uwanja wa taifa. Hatuwezi kutumia uwanja mmoja na Yanga alafu tukapata matokeo mazuri. Maana vitu walivyofukia ndio vinatukosesha matokeo. Mechi za robo fainali tuhamishie hata Zanzibar
Wewe ni mpumbavu au ndio kuchanganyikiwa na goli nne?
MD 1 yanga alitangulia kucheza kule Algeria simba ikacheza siku ya pili
MD 2 timu zote zikacheza sawa sawa.
MD 3 Yanga katangulia kucheza dhidi ya Medeama kisha Simba kacheza siku inayofuata
MD 4 Simba katangulia kucheza
MD 5 Simba katangulia kucheza
MD 6 Yanga anatangulis kucheza siku ya tarehe 1 March
 
Katika watu waliokosa cha kuandika humu wewe ni wa kwanza halafu eti bado tu mnaamini uchawi kwamba unaweza ukafanya timu ishinde.

Ama kweli, sababu zinazofanya Tanzania iwe na watu wenye IQ rating ndogo duniani ni nyingi.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mienendo ya hawa waliopewa dhamana ya kusimamia mpira wa bongo. Ukitazama kwa jicho la tatu utaona kwamba wapo biased sana.

Kwenye ratiba za CAF za mwaka huu, wamewatanguliza Simba kucheza alafu Yanga wanafatia. Hii inawafanya wacheze wakiwa wanayajua matokeo ya Simba, hivyo inawapa molari. Najua kuna mtu atasema TFF wanahusika vipi na ratiba za CAF, ila ukweli ni kwamba kitendo Cha Simba na Yanga zote kutumia uwanja mmoja kiliwafanya CAF wazitofautishe mechi zao ili kuupa nafuu uwanja. Na hapo ndipo TFF walipotoa wazo la Simba kuanza kisha Yanga afatie.

Alafu kingine nashauri Simba tuachane na huu uwanja wa taifa. Hatuwezi kutumia uwanja mmoja na Yanga alafu tukapata matokeo mazuri. Maana vitu walivyofukia ndio vinatukosesha matokeo. Mechi za robo fainali tuhamishie hata Zanzibar
Comrade utakuwa umevurugwa. Siyo bure. 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom