Taarifa nilizopata za uhakika kwa ndugu wa Nabii Eliya MUNUO kiongozi mkuu wa wa kanisa la SLOAMU mbezi lenye matawi nchi nyingine duniani za afrika ,ulaya na marekani kafariki baada ya kukanyaga msumari wenye tetenasi.Lakini kutokana na kuwa na imani ya kutotambua matibabu ya hospitali aligoma kutibiwa akabaki kutegemea maombi tu kwani anaamini mambo ya hospitali ni shirki na ushetani usiokubalika katika imani ya watu wa Sloamu.
Nikiwa ni mtanzania nawapa pole ndugu waliofiwa na waumini kwani Nabii ELIYA MUNUO NI mmoja wa watanzania walioipeperusha bendera ya kidini ya watanzania nchi zingine NA KUONYESHA ULIMWENGU KUWA SI TU WAZUNGU NA WAARABU NDIO WAWEZA ANZISHA DINI NA KUSAMBAZA HIZO DINI WALIZOANZISHA NCHI ZINGINE BALI HATA WATANZANIA WAWEZA ANZISHA DINI ZAO ZENYE MAKAO MAKUU TANZANIA NA WAKAZISAMBAZA DINI ZAO HIZO SEHEMU ZINGINE DUNIANI KAMA ILIVYO KWA VATICAN NA MAKA NA MADINA .NAMPONGEZA KWA HILO. SWALA LA KUWA DINI ALIYOANZISHA NI YA KWELI AU SI KWELI.hayanihusu. nampongeza kwa uthubutu wake na kuweza.
Kaonyesha kuwa watanzania wakiamua KUTHUBUTU wanaweza.
Mwenyezi mungu amsamehe dhambi ndogo ndogo na kubwa kubwa na amuweke pale panapomstahili.
MODERATOR NAKUOMBA USIUNGANISHE NA THREAD ZINGINE.