Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
😂😂😂 NakubaliHiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika
Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani
Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo