Silaha ya mlinzi wa Lissu imenitoa ushamba

Mdaiwa-Sugu

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
284
910
Wakuu,

Nianze kwa kudeclare interest kwamba mimi sio mjuvi na sina utaalam wowote kuhusu masuala ya silaha.

Kilichonisukuma kupandisha huu uzi ni baada ya kutazama video hapa chini ikimuonyesha mlinzi wa Lissu akiwa na silaha ya ajabu ambayo nimeshindwa kuelewa ni silaha ya aina gani.

Kombora sio kombora, mkuki sio mkuki, upinde sio upinde, Rpg sio rpg


. Hakika imenitoa ushamba sana.

Naomba mwenye kuijua anipe taarifa zake ili siku nikipata ukwasi wa kutosha na mimi nikainunue kwaajili ya ulinzi binafsi.
Asante.

 
Hiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika

Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani

Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
 
Hiyo ikipigwa haitoi sauti, ni vibration tu kama simu lakini inauwa watu 1000 kwa nusu dakika

Halafu ikiwaua hawatoki damu, damu inaganda ndani kwa ndani

Afrika nzima ni viongozi wawili tu wanalindwa na silaha hiyo
Inaitwaje hii silaha mkuu?
 
Back
Top Bottom