Sikuwahi amini, kumbe haya mambo ni halisi?

Sikuwahi amini, kumbe haya mambo ni halisi?

Itakuwa ni ujinga wa kupitiliza kwa mwanaume mwenye majukumu kuanza ku-concentrate kutafuta mbinu za kumridhisha mkewe badala ya ku focus kwenye mambo ya msingi

Hizo channel za mpira sijui G-sport zitakupotezea focus yako kwenye mambo ya msingi

BTW nime challenge mtazamo wako ila sijaudharau/kukudharau
Eehh upo sahihi kabisa wala hujakosea , ndio maana kuna watu wametoa muda wao kutafuta sana Pesa sana nakujisahau .. Kisha mwanamke anaitumia hiyo Pesa, kulipia Chumba, na kukaita kajamaa kamoja kwenda kumpelekea moto .

Ni maisha tu Jomba itategemea wee unayachukuliaje.[emoji23] !!!.
 
Foreplay hiyo, ila mzee mkuyenge ni mwisho wa habari, shida ya vijana wanataka booster, mkuyenge unaweza kuwa ni kiboko, unaweza kuwa na mwiko na usijue kusonga ugali
Ewaaa hii michezo ni muhim sana .

Ila Mkuyenge ndio wenyewe kabisa, ukimpelekea motoo kisawasawa lazima aombe pooo.


Sasa tatizo aiku hizi, maisha yametuharibu san, Kukaa mapajan kwa mwanamke dakika kuanzia 15 ni tizi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika hii dunia kuna wanawake wamezaliwa na hormones nyingi za kiiume,wanawake hawa hawasisimuliwi kingono na wanaume

Vile kuna wanaume wamezaliwa na hormones nyingi za kike wao huwa hawasisimuliwi kingono na wanawake

Kuna waliozaliwa na jinsia mbili moja ya kiume na moja ya kike,wengine zote mbili zinafanya kazi,wengine moja tu inafanya kazi

Kuna yule Dada ambae yuko hapa Tanzania yeye hana jinsia yoyote,hana ya kiume wala ya kike,ana tundu tu yakukojolea..

Acha Mungu aitwe Mungu,wale wanaostajabu haya mambo ni wale waliokuwa bado hawajui vipi Mungu anavyofanya kazi..
 
Kuna jambo binafsi nimekua siliamini sana kama lipo, labda sababu kuona ni kuamini.

Kuna 'sista' wangu mmoja leo ameshare nami kitu kilichonishangaza kidogo, wenye ndoa wenzangu labda mnaweza fumbua macho pia.

Huyu 'sista' alimuattend dada mmoja, baadae akaombwa namba yake ya simu kwa kigezo kuwa akihitaji msaada zaidi atamconsult. Sababu ni mwanamke mwenzie hakuna shida, akampa.

Baadae yule dada akaanza kumtumia msgs, na akamtongoza kuwa anamtaka. Sasa akamuuliza, wewe si una mme. Mwanadada akafunguka ndie anae na watoto amezaa nae, ila huwa haridhishwi na mwanaume.

Kwakweli nimesoma ile conversation, nikajikuta nawaza mambo tofauti sana. Hivi kumbe yawezekana hata wife najikunja, kumbe kuna mwanamke ndie kidume wake? Je, kuna madhara gani mkeo akiwa na mishe hizi? Unaweza mgundua vipi?
Hili ni jambo la kawaida tu siku hizi
 
Hata humu wapo... Kuna mmoja alinitongoza nikiwa natumia I'd ya kike na picha ya kike.

Lengo lake alitaka tukasagane kwa kigezo yeye hapendi mapenzi na jinsia ya tofauti na yeye

Laiti angejua mimi ni dume na nilimmezea mate nimchakate asingeamini
😂😂 Labda na yeye alikuwa dume aliingia kwa gear hiyo ili akuchakate ,sijui mngekutana wote midume ingekuaje
 
Ukitaka kumridhisha mwanamke wako, Jifunze kwa wale wasagaji.

Wasokijua wengi nikua, wanawake wanaielewa miili yao vzuri.

Na mwanamke aliyasagwa, hua aachi kiraisi maana wanaridishwa kinoma.

Kwa mwanamke mridhiko sio tu kuingiza gegedo

Wale wasagaji hawatumii gegedo. Lkn sasa, demu wako akisagwa aiseee jiandae kunyimwa K.


Kisimi kinavyonyonywa, kinavyochezewa, wanavyojua kucheza na G-spot. U-spot, O-spot, K-spot

MKEO HACHOMOKI.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hata humu wapo... Kuna mmoja alinitongoza nikiwa natumia I'd ya kike na picha ya kike.

Lengo lake alitaka tukasagane kwa kigezo yeye hapendi mapenzi na jinsia ya tofauti na yeye

Laiti angejua mimi ni dume na nilimmezea mate nimchakate asingeamini
Kwa hiyo ulishatongozwa sana
 
Ukitaka kumridhisha mwanamke wako, Jifunze kwa wale wasagaji.

Wasokijua wengi nikua, wanawake wanaielewa miili yao vzuri.

Na mwanamke aliyasagwa, hua aachi kiraisi maana wanaridishwa kinoma.

Kwa mwanamke mridhiko sio tu kuingiza gegedo

Wale wasagaji hawatumii gegedo. Lkn sasa, demu wako akisagwa aiseee jiandae kunyimwa K.


Kisimi kinavyonyonywa, kinavyochezewa, wanavyojua kucheza na G-spot. U-spot, O-spot, K-spot

MKEO HACHOMOKI.
Umenikumbusha mshikaji wangu alimfumania demu wake anagegedwa na jamaa sharobaro katika purukushani akaona kibamia cha sharobaro,alipigwa na butwaa maana jamaa namjua toka utotoni, tumeoga pamoja mitoni kijijini ana mguu wa mtoto!.....ndomana huwa nawashangaa sana wanaotaka kuongeza madushe
 
Ukitaka kumridhisha mwanamke wako, Jifunze kwa wale wasagaji.

Wasokijua wengi nikua, wanawake wanaielewa miili yao vzuri.

Na mwanamke aliyasagwa, hua aachi kiraisi maana wanaridishwa kinoma.

Kwa mwanamke mridhiko sio tu kuingiza gegedo

Wale wasagaji hawatumii gegedo. Lkn sasa, demu wako akisagwa aiseee jiandae kunyimwa K.


Kisimi kinavyonyonywa, kinavyochezewa, wanavyojua kucheza na G-spot. U-spot, O-spot, K-spot

MKEO HACHOMOKI.
Mkuu kumbe pale Kati kuna spot nne [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom