Sikumkimbia Dr. Slaa New Africa Hotel

Sikumkimbia Dr. Slaa New Africa Hotel

Hizi siasa za majitaka ziko katika vyama vyote vya siasa Tanzania. Inashangaza pale watu wanaangalia kwa jicho moja wakati siasa kwa Tanzania zina uozo kifkra na kimtazamo.

Hakuna Maraika kwenye siasa za Tanzania. Vyama vyote ni wale wale.
Wewe ni Mura
 
Acha kukurupuka wewe!

Ukisoma vizuri na kwa utulivu utagundua kwamba, Mwigulu hakumuona huyo Dr. Slaa na hata kama ni kweli huyo Dr. Slaa alikuwepo hiyo sehemu basi hakupata attention yeyote kwasababu kama Dr. Slaa angepata attention ya watu, Mwigulu angemuona huyo Dr. Slaa.

Mnashindwa kuelewa vitu vidogo namna hii ndiyo maana hata huyo Dr. Slaa anawapelekesha kama misukule. Kila kitu anachokisema Dr. Slaa mnakishabikia bila hata ya kuhoji.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Tatizo ni elimu.
 
Mwigulu,
Hapo kwenye nyekundu na blue mbona zinakinzana? Nikisoma between lines naona kama ulimuona Dr. Slaa (angalia kwenye blue), ndiyo maana unasema kulikuwa na watu wengi na hata attention hakupata. Wakati huo huo unasema (kwenye nyekundu) kwamba hukumwona Dr. Slaa. Pole sana kwa kujichanganya.

Amesahau ukiwa mwongo inakubidi pia uwe na kumbukumbu.
 
It is fact that there was no any attention from the people hata mimi sikumwona. Siwezi kusema hakupita cos i was busy with a conversation. Mimi huwa naongea mpaka na wabunge wa chadema mpaka baadhi ya viongoz wao wa kitaifa who is nyakarungu. To you who does not find anything to be learned out of my parth you perspetive is not universal. Jiwe walilolikataa waashi.......
 
It is fact that there was no any attention from the people hata mimi sikumwona. Siwezi kusema hakupita cos i was busy with a conversation. Mimi huwa naongea mpaka na wabunge wa chadema mpaka baadhi ya viongoz wao wa kitaifa who is nyakarungu. To you who does not find anything to be learned out of my parth you perspetive is not universal. Jiwe walilolikataa waashi.......

Mkuu tumia lugha moja , hueleki kwa vijana wa kileo
 
Hivi ni vituko vya duniani Punda mbeba fuko la rushwa anaombwa ushauri wa kuingia kwenye siasa bila kutumia fedha na kufanikiwa kama yeye alivyofanikiwa.Hili hata mwanafunzi wa chekechea hadanganyiki.
 
Mimi naongea mambo kadha wa kadha na vijana wengi tu bila kujali vyama

wakitaka kujua namna ya kuingia bila fedha kwenye siasa na kufanikiwa kama ilivyotokea kwangu,

Hapo kwenye Green : sawa, hilo halina shaka, umeeleweka vizuri

Hapo kwenye Red: Uwe na aibu kidogo, ikibidi jaribu kuulizia ulizia wenzako huko namna ya kuona aibu, itakusaidia sana mbele ya jamii.
 
Mimi naongea mambo kadha wa kadha na vijana wengi tu bila kujali vyama wakitaka kujua namna ya kuingia bila fedha kwenye siasa na kufanikiwa kama ilivyotokea kwangu, wakiomba ushauri kwa mambo ya shule na ujasiliamali.

Si jambo jema na sio afya kwa Taifa kwa vijana kuwaza fitna kila wakati.

FISI wako bado yuko hai?
 
Acha kukurupuka wewe!

Ukisoma vizuri na kwa utulivu utagundua kwamba, Mwigulu hakumuona huyo Dr. Slaa na hata kama ni kweli huyo Dr. Slaa alikuwepo hiyo sehemu basi hakupata attention yeyote kwasababu kama Dr. Slaa angepata attention ya watu, Mwigulu angemuona huyo Dr. Slaa.

Mnashindwa kuelewa vitu vidogo namna hii ndiyo maana hata huyo Dr. Slaa anawapelekesha kama misukule. Kila kitu anachokisema Dr. Slaa mnakishabikia bila hata ya kuhoji.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kweli wewe ndo mbulula..
 
Humu kuna vituko,sasa umkimbie kwani ana mapembe.
Ndiyo ,jamaa sio handsome kivile,hata kama anatisha(i mean muonekano)ndo kweli mtu amkimbie?
Mkuu sikutegemea kabisa haya uliyoandika yatoke kwako hasa katika jambo kubwa kama hli, sijui tunakoelekea ni wapi hasa kama vijana.
 
Mwigulu mara nyingi umenipa shida sana kuelewa kama kweli kiwango chako cha Elimu ni hicho ulichotajia Taifa hili kupitia Bungeni.Hivi ni kweli mafanikio yako yanayotokana na tabia zako za kutaka kutumbukiza jamii ya Watanzania katika mifarakano ni ya kuigwa?

Mwanasiasa mahiri anapima Kufanikiwa kwake kutokana na Mafaniko ya jamii anayoongoza sasa mwenzetu utwambie ni Mafanikio gani umeletea jamii yako ili nawe ujiite umefanikiwa?.
 
Kila thread ya mwingulu au nape lazima ujibu,nani kakuoa kati yao?Inaonekana umeolewa na mmoja wao

mbona na wewe umo humu na kila uzi unaomgusa slaa au mbowe lazima ujibu? Shame upon you
 
It is fact that there was no any attention from the people hata mimi sikumwona. Siwezi kusema hakupita cos i was busy with a conversation. Mimi huwa naongea mpaka na wabunge wa chadema mpaka baadhi ya viongoz wao wa kitaifa who is nyakarungu. To you who does not find anything to be learned out of my parth you perspetive is not universal. Jiwe walilolikataa waashi.......
najua kwako hapo unaamini umetoa bonge la ufafanuzi,wakati unazidi kujichanganya kabisa..........yaani mda mwingine nakuomba usiwe unafanana kama unazo akili
 
Back
Top Bottom