Sikumkimbia Dr. Slaa New Africa Hotel

Sikumkimbia Dr. Slaa New Africa Hotel

Ahsante sana Nchemba, sasa kama kuna mtu alisikia mlichokua mnaongea anaweza kuja na kukukosoa. Vinginevyo, this is mere speculation ambayo haitusaidii chochote.
Hakyanani huu uchaguzi ujao BAVICHA, tutaona mengi.
 
Mwigulu unachojaribu kufanya hapa ni kama kupulizia pafyumu kwenye shimo la choo ukitegemea litanukia.....imekuchukua zaidi ya siku mbili kuja kutetea thread ambayo ilikushutumu kwa maana nyingine ulikuwa unajipanga.Umeanza lini hizo harakati zako za kuwasaidia vijana wa vyama vingine especial CDM?Kwasifa zipi coz kwasasa wewe ni almarufu kwa haya yafuatayo:
1. Matusi Majukwaani
2. Wake za makada kipindi cha kampeni
3. ugagula(Hii imeingia karibu)
Wanafunzi wako ndiyo kina Shonza na Mwambapa?
Ngoja yule aliye leta uzi na wachangiji wengine wamwage mambo hapa hofu yangu usije kimbia kama Nahum Nape Mzee wa Butimba TCC EGM
 
Mwigulu huwezi kukataa kwamba unafanya siasa za maji taka. Umekuwa ukiwanunua vijana wa CDM ali walichafue chama. Baada ya Shonza na wenzake, is Nyakarungu the next?
 
Mbona unajichanganya...hukumwona baadae unasema alipita bila attention ya watu?
by the way wewe una busara gan mpaka ufuatwe?
 
Ni bahati nzuri hata slaa mwenyewe sikumwona na sijui kama na yeye aliniona. Na nilikuwa njiani na kulikuwa na watu wengi tu na alipita bila attention ya watu.

Mimi naongea mambo kadha wa kadha na vijana wengi tu bila kujali vyama wakitaka kujua namna ya kuingia bila fedha kwenye siasa na kufanikiwa kama ilivyotokea kwangu, wakiomba ushauri kwa mambo ya shule na ujasiliamali.

Si jambo jema na sio afya kwa Taifa kwa vijana kuwaza fitna kila wakati.

Mwigulu hapo kwenye Red ulikuwa unataka kusemaje? Pale New Africa kuna Mlango Mmoja wa kutokea ambao upo Rasmi
 
Uuuuuuuuuuuuuwi!Labda danganya wengine lakini kwa wana cdm hata mtoto humdanganyi.,HILO DILI ULILOKUWA UNAPANGA KWA KUPITIA HUYO LIMEBUMA,try again later.
 
Ungekuwa unawajibika kujibu hivi na kwenye mambo ya msingi labda tungekutofautisha kidogo na JK, lakini yale yale...mambo madogo madogo ndio mnayoyapata uzito. Mbona hujasema kitu kuhusu uhuni mliofanya bungeni kuzima hoja ya Mbatia, Matokeo mabaya ya Kidato cha 4 na kutoweka kwa amani huko Zanzibar na Geita? Nataka ujibu kama Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara)

ukiwa ccm, huna budi kukimbia hoja za msingi, unakuwa kama mtumwa wa unaf.ki
 
usiturudishe chekechea,nadhani umeelewa kukimbia kuna maana gani kwa context ya suala hili
mhh,mwalimu nae bana,kwani kukimbia maanake nini?au alimkwepa?sasa kama hakua na ratiba ya kuongea nae ,ndio iwe kamkimbia?AU ULITAKA AMFATE AKAMSALIMU SHIKAMOO BABU?.
 
Mwigulu Nchemba

Kama hukumuona Slaa ulijuaje kuwa alipita bila attention ya watu???
Tunaomba uweke hapa ile cd unayosema chadema wanaanda mauaji ya raiya.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Bora mh [MENTION]Nchemba [/MENTION]Ungekuja na mikakati ya nini kifanyike baada ya chama chako

1. Kuwagawa watanzania kupitia sera zenu za kusingizia udini kwa wapinzani wenu mfano, CUF waislam, Chadema kristo

2. Kufeli kwa watoto wetu 60% zeros na haya ni kwa mujibu wa sera zenu ccm kuwapuuza waalimu nk

3. Afya duni na ukosefu wa huduma bora kwa mujibu wa sera za ovyo za ccm

4. Mfumko wa bei, maisha bagum na hakuna chochote kuwapa nafuu watanzania kila leo afazari ya jana

5. Ukosefu wa ajira na kufa kwa viwanda vyetu ambako kungeinua uchumi wetu nk

6. Ukandamizaji wa demokrasia bungeni na kufutika hoja zenye tija mkibakia kufanya ushabiki.

Mh mwigulu, ungekuja na mjadala wenye changamoto kama hizo hapo juu, ungeleweka kutokana na nafasi yako kitaifa

katika chama chako ccm. unakuja kujiteta hapa na hoja dhaifu kabisa kiasi kwamba ni kuendeleza dhana ya viongozi

wengi wa ccm kutupuuza kama mfanyavo bungeni kila siku, kupuuza na kuzima hoja zenye tija kwa visingizio vya muda

lakini muda wa wa kuzipokea yanga na simba bungeni mnaupata. Mwigulu hujatutendea haki.
 
Kuna thread iliwekwa humu kuwa nilikuwa naongea na Nyakarungu na mara baada ya Dr Slaa kufika nilikimbia. Taarifa hizi kuwa nilikimbia sio za kweli na sikuwa na sababu ya kufanya hivyo. Nina ratiba zangu na uhuru wa kuongea na mtu yeyote. Ni bahati nzuri hata slaa mwenyewe sikumwona na sijui kama na yeye aliniona. Na nilikuwa njiani na kulikuwa na watu wengi tu na alipita bila attention ya watu. Mimi naongea mambo kadha wa kadha na vijana wengi tu bila kujali vyama wakitaka kujua namna ya kuingia bila fedha kwenye siasa na kufanikiwa kama ilivyotokea kwangu, wakiomba ushauri kwa mambo ya shule na ujasiliamali. Si jambo jema na sio afya kwa Taifa kwa vijana kuwaza fitna kila wakati.

-Hata Mwezi July ulipokua Hotelini na MASALIA kule Dodoma walikua wakikuomba ushauri siyo?

Hapo kwenye statement yako jinsi ulivyojichanganya ndiyo unafiki wako na siasa za majitaka zilipojipambanua.Ni mbinu gani ulizo nazo za kushinda uchaguzi bila fedha?Kama ungekua na mbinu hizo ulipokua Meneja kampeni wa CCM jimbo la Igunga Msingetumia Mamilioni fedha kwenye uchaguzi mdogo.Ungekua Carl Rove wa siasa za Tanzania usingetumia mamilioni ya hela kupambana na kijana ambaye ni mtoto wa mkulima Joshua Nassari kwenye kampeni za Arumeru Mashariki

Huyo uliyekua naye unajua ni jinsi gani amekua akishiriki katika mchezo ule ule.Usipotoshe na kudanganya watu.Ni jambo la ajabu unawadanganya vijana kwa hela ndogo na kumhadaa kijana kwamba utamsaidia kugombea jimbo la mbeya mjini 2015 na kumnadi majukwaani kutukana CHADEMA badala ya kumjenga kisiasa,unamhadaa binti kwamba utamsaidia kugombea jimbo la Ubungo huku ukijua hilo haliwezekani na katibu wako wa itikadi na uenezi analala na kuota hilo jimbo.Wewe ni adui namba moja wa vijana
 
Hizi siasa za majitaka ziko katika vyama vyote vya siasa Tanzania. Inashangaza pale watu wanaangalia kwa jicho moja wakati siasa kwa Tanzania zina uozo kifkra na kimtazamo.

Hakuna Maraika kwenye siasa za Tanzania. Vyama vyote ni wale wale.
 
Ungekuwa unawajibika kujibu hivi na kwenye mambo ya msingi labda tungekutofautisha kidogo na JK, lakini yale yale...mambo madogo madogo ndio mnayoyapata uzito. Mbona hujasema kitu kuhusu uhuni mliofanya bungeni kuzima hoja ya Mbatia, Matokeo mabaya ya Kidato cha 4 na kutoweka kwa amani huko Zanzibar na Geita? Nataka ujibu kama Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara)

Nchemba ukijibu haya maswali nitaipenda sisiem tofauti na hapo huna mbinu zaidi ya kurubuni vijana wa chadema kwa hela mnazotumia kifisadi
 
Siku hizi huogopi maghorofa?? Uliwahi kutuambia mara ya kwanza kupanda ghorofani ulidhani ndo mwisho wa uhai wako.
 
Mwigulu,
Hapo kwenye nyekundu na blue mbona zinakinzana? Nikisoma between lines naona kama ulimuona Dr. Slaa (angalia kwenye blue), ndiyo maana unasema kulikuwa na watu wengi na hata attention hakupata. Wakati huo huo unasema (kwenye nyekundu) kwamba hukumwona Dr. Slaa. Pole sana kwa kujichanganya.

Acha kukurupuka wewe!

Ukisoma vizuri na kwa utulivu utagundua kwamba, Mwigulu hakumuona huyo Dr. Slaa na hata kama ni kweli huyo Dr. Slaa alikuwepo hiyo sehemu basi hakupata attention yeyote kwasababu kama Dr. Slaa angepata attention ya watu, Mwigulu angemuona huyo Dr. Slaa.

Mnashindwa kuelewa vitu vidogo namna hii ndiyo maana hata huyo Dr. Slaa anawapelekesha kama misukule. Kila kitu anachokisema Dr. Slaa mnakishabikia bila hata ya kuhoji.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom