LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,498
- 3,390
JATELO1;
Nafuu umenisaidia hata kumwuliza huyu fisadi Mwigulu Nchemba; mistari hizo kwani inaonekana kuna ukweli fulani anayoficha!
Nafuu umenisaidia hata kumwuliza huyu fisadi Mwigulu Nchemba; mistari hizo kwani inaonekana kuna ukweli fulani anayoficha!
Mwigulu,
Hapo kwenye nyekundu na blue mbona zinakinzana? Nikisoma between lines naona kama ulimuona Dr. Slaa (angalia kwenye blue), ndiyo maana unasema kulikuwa na watu wengi na hata attention hakupata. Wakati huo huo unasema (kwenye nyekundu) kwamba hukumwona Dr. Slaa. Pole sana kwa kujichanganya.
Last edited by a moderator: