Sikubali kabisa

Sikubali kabisa

hazikwepeki lakini wengine tunazipalilia mkuu.

Hakuna mtu anapenda matatizo maishani mwake..but huwezi kuzuia kama imepangwa!
Kama nilivosema kikubwa ni kujiandaa tu kwa lolote na kuwa na moyo mgumu!
 
Kweli kabisa Mamito nimeipenda title yako...Sikubali kabisa..Kataa mbinu zozote za awaye yeyote zitakazokufanya uishi kinyume na jina lako Smile.
 
Last edited by a moderator:
keep your beautiful Smile just like your name baby gurl!

Mungu aujaze moyo wako faraja na furaha ya kweli!
 
kweli kabisa mamito nimeipenda title yako...sikubali kabisa..kataa mbinu zozote za awaye yeyote zitakazokufanya uishi kinyume na jina lako smile.
viniwache nipumuwe
 
ahaaaa mimi huwa sisemi uongo mkuu namshukuru Mungu nikiamua ni nimeamua !hapa nachekelea tu liwalo na liwe

I like that, Mungu azidi kukuimarisha.

Mithali 17:22 Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa. (A joyful heart is good medicine, But a broken spirit dries up the bones.)

Keep up the smile.
 
Good; lkn ktk kutafuta kwako Smile usicoz machozi kwa wengine!

Furaha ya kweli hupatikana kwenye kutoa kusiko tegemea kurudishiwa!

Furaha ya kweli hupatikana pale unaposamehe na kusahau!

Furaha ya kweli hupatikana ktk Kristu Yesu!
 
Last edited by a moderator:
Smile, nami nakuombea uwe na sababu milioni za kutabasamu licha ya kumi zitakazokuhuzunisha.
Remember, life is how u take it!!!

Mob love..see u next year...:A S 11:
 
Last edited by a moderator:
Good; lkn ktk kutafuta kwako Smile usicoz machozi kwa wengine!

Furaha ya kweli hupatikana kwenye kutoa kusiko tegemea kurudishiwa!

Furaha ya kweli hupatikana pale unaposamehe na kusahau!

Furaha ya kweli hupatikana ktk Kristu Yesu!
ni kweli kabisa sis , huwezi kuwa na furaha ya kweli kama unasababishia wengine machozi
Naamini katika Bwana wetu Yesu kristo pale msalabani tabasamu langu liliandaliwa pale nimeamua kulichukua sasa
 
Heri ya Mwaka Mpya Smile pole kwa misukosuko ya 2012
 
Last edited by a moderator:
teh teh hata wewe unashindwa ?
mimi nitakushauri vibaya? unaweza kumkabidhi fisi bucha kweli

Ha ha haaa...
acha tu smile..
ila kwa msaada wa hii mood yako ya mwaka mpya hakyanani itawezekana..lol
 
Yes Smile u have to smile kama lilivyo jina lako zuri.

Pole kwa yaliyokusibu, asante kwa new year wishes.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Leo mwaka unaisha... Ni jambo la kumshukuru Mungu sana maana hii ni kazi yake katika uumbaji wake!

Mwaka huu unaoisha tumekutana na mengi lakini yote ni mipango yake Mungu.

Personaly mwaka huu unaoisha nilikutana na mengi kwaasilimia 90 ni huzuni mtupu,from feb mamangu alizidiwa hooooi nadhani from there hakuna siku sijawai kutoa machozi so you can imagine lakini pamoja na hayo yote lazima maisha yaendelee nilikuwa najitahidi kujitafutia happiness 50-50 ilikuwepo ila naona tena hizi siku mbili za mwisho inataka kudesapear.

Ila, nimeamua sikubali kabisa kuingia na huzuni mwaka mpya silii tena kabisa neme-renew maisha yangu sasa hivi ni full ku-smile January to December.

Kila kitu nimefunga hata kama namdai mtu nimemsamehe ila cha moto watakiona wanaonidai nitawalipa sinaga dhuluma Mungu shahidi.

Naamini Mungu ni mwema atatubariki.

Nawatakieni heri ya mwaka mpya wadau! Tu-smile na 2013 maisha ni haya haya

The problem we don't know the colour of tomorrow, all what we know is now and past.

The most important thing ni kuchange attitude yetu jinsi ya kupambana na matatizo!

All the best and happy new year!
 
Back
Top Bottom