Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

Moja ya tukio lilompatia ushujaa na heshima John Shibuda, ni siku ile wabunge wa Chadema walipotoka nje ya ukumbi wa bunge wakati rais akihutubia bunge.

Wabunge wa Chadema walivyotoka Shibuda aligoma na akaenda kwenye sherehe za kuapishwa rais huku Chadema wakisema kuwa hawamtambui rais na nchi haitatawalika.

Siku hazikupita Chadema wakaomba mualiko Ikulu kuonana na rais Kikwete.

Hapo ndio watu makini wakamuelewa Shibuda, rais ambaye mmetangaza kuwa hawamtambui wanaomba mualiko wa nini.
 

Mkuu Michael huo ni ukweli usiopingika, hao kina Mrema kina Shibuda ni wanachama hai wa CCM ( sleeping agents) wanatumika pindi wanapo hitajika!!! Hao wasituzuge ni wa kwao!!!


Hapo kwenye red, mh Stephen ndiye anastahili jina hili, tumemuona mara nyingi bungeni akiwa anasinzia.
 
Hapa kuna kitu nashindwa kukielewa ni mbwa anatingisha mkia au mkia unatingisha mbwa?.
 
Mkuu chama,
Kumfananisha John Shibuda na Mwita Maranya, ni kumvunjia heshima Shibuda.

Kisiasa Shibuda yupo anga za mbali, Mwita Maranya, hata ukatibu kata wa Chadema bado ajapata. Chadema hawawezi kumpa cheo chochote Dar es Salaa.

Jiulize kiongozi wa Chadema Kinondoni anatoka Kilimanjaro anaitwa Kileo. wampe Mwita anatoka Mugumu sijui Serengeti.

Mkuu Ritz
Unaendelea kunifungua macho; yaani mpaka sasa hivi sioni wanamtandao wa Chadema watatumia kigezo gani kumpa uenyekiti Mwita Maranya; Dar ndio makao makuu leo wampe mtu kutoka Mugumu aingilie madili ya watu; hilo haliwezekani hata siku moja; hili la mwenyekiti wa Kinondoni ni mtandao makao makuu si yapo kinondoni? kwa hiyo picha zinavyojiunganisha hapo; mkuu hata siku moja siwezi kumfananisha Lionel Messi -Shibuda na mchezaji wa timu za mchangani kama Mwita Maranya.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wanabodi
Mkutano mkuu wa CCM umemalizika kwa kishindo mjini Dodoma; katika mapitio ya hotuba nimeguswa sana na hotuba ya mgeni mualikwa mbunge wa Chadema mh. John Shibuda; hotuba yake imetoa hisia si kwa vyama vya upinzani tu hata kwa CCM yenyewe; Shibuda ameonyesha kukomaa kisiasa; hivi sasa kwenye medani za siasa za Chadema Shibuda anacheza kwa umahiri mkubwa kama mwanasoka Lionel Messi; wanabodi haya ndiyo maneno ya Shibuda

“CCM mna mtandao mpana sana nchi nzima…hakuna chama cha upinzani chenye mtandao kama wenu kwa vile havina uwezo,” alisema.

Hata hivyo, alikitaka Chama hicho kufanya kazi chenyewe badala ya kutegemea kifanyiwe na vyombo vya dola.

Alimpongeza Rais Kikwete kwa moyo wake wa uvumilivu katika masuala mbalimbali hali ambayo imesaidia sana kuleta utulivu ana amani iliyopo.

Aliwataka viongozi wa vyama vingine kuwa na hotuba zenye dhamira ya kuleta amani nchini badala ya vurugu.

“Nasikitika sana, CCM ni chama tajiri, chama cha kuigwa Afrika katika ukombozi, ni chama chenye falsafa nzuri na ni shamba darasa la kujisahihisha…lakini itakuwa ni aibu wakiacha utajiri huo ukikwapuliwa na mwewe,” alisema.

Alikitaka kitumie utajiri huo kuwajengea vijana elimu ya uraia ili kwa vijana wote wa Bara na Visiwani.

Alisema wapo ambao watashangaa kumwona kwenye mkutano wa CCM na hao ndio watakaomwita kuwa eti ni msaliti lakini akafafanua kwamba upinzani sio ugomvi"


Chama
Gongo la mboto DSM

mkuu wangu nadhani ulichoandika hapo juu ni jokes tu za kisiasa kwasababu Shibuda hana hizo sifa umemwangia. lazima nikiri kwamba CDM walichemsha kumkaribisha huyu jamaa. kama kuna mtu ktk CCM anayefahamu jamaa alivyo bogus ni m/mwenyekiti wenu mzee Mangula akiwa katibu mkuu wa chama chenu enzi ya Mkapa!
 
attachment.php


Huyu nae anamuwakilisha nani?

Kunya anye kuku tu akinya bata Kaharisha!
 
mkuu wangu nadhani ulichoandika hapo juu ni jokes tu za kisiasa kwasababu Shibuda hana hizo sifa umemwangia. lazima nikiri kwamba CDM walichemsha kumkaribisha huyu jamaa. kama kuna mtu ktk CCM anayefahamu jamaa alivyo bogus ni m/mwenyekiti wenu mzee Mangula akiwa katibu mkuu wa chama chenu enzi ya Mkapa!

Kama hangekuwa na sifa za kisiasa Chadema msingempokea vinginevyo labda unataka kuniambia Chadema wanaongozwa na viongozi majuha!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu ulivyojikamua hivyo....hiyo Suruali huko upande wa mgongoni itakuwa salama kweli? au nzi wameshaanza kukusarandia.....Maana wewe na Baba Junior dah uko kama wewe ndio Mama Junior
 
Mkuu ulivyojikamua hivyo....hiyo Suruali huko upande wa mgongoni itakuwa salama kweli? au nzi wameshaanza kukusarandia.....Maana wewe na Baba Junior dah uko kama wewe ndio Mama Junior

Kamanda naona hoja zimeisha umeamua kwa makusudi kuonyesha upumbavu wako wa kiwango cha juu.
 
Kamanda naona hoja zimeisha umeamua kwa makusudi kuonyesha upumbavu wako wa kiwango cha juu.

Mkuu Ritz;
Makamanda hawana hoja wamejigeuza wacheza makida; sera hakuna; hekima hakuna wavumilie kuna wakati najiona kama mods wanazi wao watanipa ban naamua kunyamaza.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu ulivyojikamua hivyo....hiyo Suruali huko upande wa mgongoni itakuwa salama kweli? au nzi wameshaanza kukusarandia.....Maana wewe na Baba Junior dah uko kama wewe ndio Mama Junior

Kijana unakumbukia kazi zako wakati unalitumikia kanisa altare? Baba junior alikuwa padri na sifa kubwa ya mapadri wa kikatoliki ni kuwaingilia kinyume cha maumbile vijana wa kiume; hapa tunajidili siasa hiyo michezo yenu hukohuko mlikoizoea!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ponda tumeshampa tuzo ya pilau Segerea amekuwa mpole mithili ya mwanamwari kigori

Chama
Gongo la mbot DSM
Hii thread ni hatarishi bora sikuiona tokea jana kwaheri Mkuu chama Nakutakia Ban njema
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu chama,
Kwa kweli nimejaribu kufuatilia mijadala mingi ya John Shibuda A.K.A Lionel Messi wa Chadema ni mtu mwenye ufahamu na weledi huwezi kumfananisha na wanasiasa wasio na mvuto kama Mwita Maranya, yeye hana anachokijua zaidi ya kumsifia Dr Slaa baba Junior.
Mkuu Ritz sasa mbona unapotea kwani Mwita Maranya umemtoa wapi wakati tunazungumza ya Shibuda???? Huyo Shibuda kazi yake ni kulamba wanaumme miguu, nashangaa kilichomtoa huko CCM ni nini, na huku CDM anafuata nini??? Kapewa kitu kidogo maana CCM kwa rushwa hawajambo, amegeuka popo mara ndege mara mnyama!!!

 
Back
Top Bottom