ana uroho wa kula kula, na ameona CDM akuna hela za kifisadi za kupeana posho ovyo ovyo ndo akakumbuka kule alikotoka, we angalia hata jinsi alivyo ng'ang'ania posho za sitting allowance kwa wabunge.....wakati CDM wanazipinga yeye ndo udenda unazidi kumtoka......by the way mtu ukisha mjuwa akuumizi kichwa.... nani atamshangaa shibuda kwa kauli alioitoa juzi???