Wamtimue haraka akawe mbunge wa mahakama
HAPANA. Shibuda siyo TISHIO nadni ya CDM. Chama makini kama CDM hakitimui wanachama bila sababu kubwa ya msingi
Wamtimue haraka akawe mbunge wa mahakama
hili galasa shibuda wiki iliyopita nililiona pale nbc posta limewakusanya washikaji kama watano linabwabwaja,nikaamua kupita kimya kimya...he knows his position come 2015,.katika aliyoongea kuna mengine yana ukweli lakini ameharibu hapo anaposema au kwa vile dada yangu sio mchaga?hvi chanzo cha habari ni kipi?
ulikosea hapo ulipomkukuta anabwabwaja ungesimama tuh na kumsikiliza mbunge wako,,
katika watu watano,hukumuona mmoja kati yao ni mweupe kavaa shati la blue na trouser jeusi na mawani??
Kama utakua na kumbu kumbu that man is big show himself..
ndani ya cdm ningempata mtu aliyebebwa hata akawa kwenye hivyo wanavyoita special seat ningefurahi sana, i mean kama kuna mtu anaonekana kabisa hakustahili butu yupo huko, ningefurahi sana cause kama kumbukumbu zangu zitakua sahihi, ni cdm pekee waliotoa sifa za atakae chaguliwa kwenye hivi viti na watu pekee waliotoa majibu mara baada ya malalamiko, sikusikia cuf, magamba n.k (sisemi nao hawakutoa tathimini na sifa, nimesema, sikusikia)
Anapishana na upepo maskini
chadema walidandia lori kwa mbele, lori hilo linawakaanga sasa..! Pambana shibuda mpaka umalize kazi uliyotumwa na jk
Vita ni vita mura..! Unakuja mujini na jembe unataka kurima rami? Mujini watu wanakuja na vyeti..! Hata lile jembe la Mwanza, yaani mstahiki meya ndugu Matata ni kazi ya JK na bado list ni ndefu. lengo ni kuifanya chadema ifanane na cuf by 2015kumbe jeikei ndie aliemtuma eeeh??
Sasa salam zitarud kwa mtumaji
Vita ni vita mura..! Unakuja mujini na jembe unataka kurima rami? Mujini watu wanakuja na vyeti..! Hata lile jembe la Mwanza, yaani mstahiki meya ndugu Matata ni kazi ya JK na bado list ni ndefu. lengo ni kuifanya chadema ifanane na cuf by 2015
2015 iko karibu sana,tunahitaji kujenga chama,watu kama Shibuda hawatufai,,
siku njema.
ebu chambua na viti maalum ccm naona hapo ni kama vidosho vya wakubwa ccm.