Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

Acha njaa zako wewe najua unajaribu kuonyesha ccm wamewafanyia wema watanzania lakini ukweli utabaki pale pale ccm ni wahujumu rasilimali za watz na walaghai wakubwa. au unataka ukuu wa wilaya nini???? umechelewa uteuzi ulishapita!!!!!!

Mkuu njaa sina Shibuda aka Lionel Messi anatoa ukuu wa wilaya? Jadili maneno ya hekima ya Shibuda!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Dr slaa anakunyima usingizi kabisa! Du huyu dr wa ukweli ni jembe, mwisho wa siku mtaanza kujichekesha chekesha kwake. Time will tell.

Mrisho Ngassa hatumiizi kichwa; yeye ndio anayeweweseka kuunda mitandao ya kummaliza Messi ameshindwa alichobakia ni kuunda kambi za kikabila; Messi tishio!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
ngoja mi nikujibu chama, kwa kazi aliyotumwa kuifanya imetulia. lakini kwa wanaojua kufuatilia move, washauelewa mchezo, na wewe jiunge kama yeye kusifia wanaume wenzio

Kusifia kama kunaendana na ukweli hakuna tatizo; tatizo linajitokeza pale mnapoogopa kujadili ukweli.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
kama kichwa cha panzi umekuwa bora basi Chadema mmekwisha; Hujui kama samaki anakili nyingi? Hivi sasa US Navy wanawafundisha Dolphins kutegua mabomu baharini angalia Discovery channel utaona na jinsi gani samaki wanahekima kumzidi Amani
Chama
Gongo la mboto DSM
Amani hakusema Dolphine, alisema samaki, alafu jamaa anaongea kiswahili cha kueleweka, maana ya kusahau kama samaki chambo ile ile unakama samaki mia, akiwa anaimanisha kwa tshirt moja tu unaweza kupata wana ccm mia, 99 kama wewe utaliwa na papa.
 
Hahahahaaa... Ritz na ndugu yako chama mna mtindio wa fikra. Kama shibuda ni sawa na messi mbona magamba mlimtosa? kwakuwa kwa vipimo vyenu vya akili duni mnamuona messi basi mchukueni bure hata sasahivi kama mnamhitaji mchukueni mnasubiri nini?

Mkuu Mwita
Kabla sijakujibu hebu tupe fikra zako; Shibuda anaendelea kukomaa kisiasa maneno aliyotoa mazito hebu tuyadili! Hilo la kumtosa pia tutalijadili tuanze na hotuba! Kama asingekuwa mahiri Mrisho Ngassa asimgemuogopa kiasi hiki.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu wangu chama,
Kwa kweli nimejaribu kufuatilia mijadala mingi ya John Shibuda A.K.A Lionel Messi wa Chadema ni mtu mwenye ufahamu na weledi huwezi kumfananisha na wanasiasa wasio na mvuto kama Mwita Maranya, yeye hana anachokijua zaidi ya kumsifia Dr Slaa baba Junior.
 
Last edited by a moderator:
ukubwa wa pua si wingi wa makamasi pia ni bora kuwa uchi wa nyama kuliko kuwa uchi wa akili,kama CCM ni kwema kwanini alipakimbia na kutaka mabadiliko.Mbona anakuwa anasahau matamshi yake kila mara,huyu ndiye aliyesema CCM itamfia JK,leo anageuka amegeuka,tumueleweje anakuwa kama gunia linakunja watu watakavyo!

Shibuda ni sawa na Jukebox linalokaa kwenye ma-bar, ni hela yako tu utakayotumbukiza unachagua mziki unaotaka linakuimbia. Halafu sidhani kama gharama ya kumkodi ili akusifie ni kubwa kihiiivyo!!!. CCM wameshamjua.
 
chama, acha kumdhalilisha Lionel Messi. Huwezi kumfaninisha mtu wa viwango kama Messi na huyo Chakubanga (Shibuda). Hana mbele wala nyuma zaidi ya kulamba miguu ya wanaume wengine ili mtari mkono uelekee kinywani. Tunza heshma ya Messi.

Mkuu FJM
Shibuda asingekuwa mahiri Chadema msingempokea; kiwango chake kimekuwa tishio sana kwa Polo (Dr. Slaa) na mtandao wake; amejaribu sana ameshindwa. Mrisho Ngasaa anajifedhesha yeye mchumia tumbo; Shibuda kugombea ubunge kupitia Chadema hakushinikiza kujipangia mshahara; Ngassa amelazimisha mshahara na zaidi amelazimisha ajengewe nyumba nani kati hao ni mchumia tumbo?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Pro-Chadema JF mnamponda John Shibuda wakati nafasi yake ya ubunge kupitia Chadema inawaongezea ruzuku..

Natoa ushauri kwa vijana wa Chadema ambao mmejipanga kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu mwaka 2015 mjifunze siasa kutoka kwa John Shibuda.

Upinzani sio uadui wala vita mfano mmeona kule Kilimanjaro kwenye ziara ya rais Kikwete, jinsi Mbowe na Selasini na wazee wa Rombo walivyokuwa wanamsifia rais Kikwete kwa utendaji wake wa kazi kama rais.
 
Hivi wewe chama sijui CCM unashabikia Shibuda kwa lipi??? Mkutano wa CCM ulioisha hapo Kizota umeonyesha uozo mkubwa ulioko CCM, Wakubwa wenyewe wa CCM wanalalamikia rushwa na hawana wajibu ya kumaliza rushwa, sasa wakimpa Shibuda kitu kidogo ili aende kuropoka ujinga wewe umeona hiyo ni deal kubwa mpaka unasifia jasho linakutoka!!! Sioni jipya kwenye kwenye mikutano ya CCM ila ni muendelezo wa kuhalalisha rushwa, wananchi wameisha wajua na watu aina ya Shibuda zahama yao inakuja subiri!!!!


Mkuu
Madai ya rushwa ni wale waliotaka kuvuruga taratibu na demokrasia ya CCM; hujuma zao ziligonga mwamba; Shibuda ni mwanasiasa mahiri wapiga kura wake wanaelewa hilo na watamrudisha kwa kishindo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Acha kuongea upuuzi maana huna jipya ambalo unalijua, unawezaje kusema Dr slaa awezi mikutano hio wakati anawapasha moto akishika mic na pia nyinyi ccm mnakodishaga watu kutoka mbali ili muonekane mnawatu wengi wakati ni bureeeee.

Dr. Slaa hawezi mipigo ile hana kiwango; amejinyeanyea ndio sababu kaukimbia mbona kwenye mialiko ya chai ikulu hakosekani?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu wangu chama,
Kwa kweli nimejaribu kufuatilia mijadala mingi ya John Shibuda A.K.A Lionel Messi wa Chadema ni mtu mwenye ufahamu na weledi huwezi kumfananisha na wanasiasa wasio na mvuto kama Mwita Maranya, yeye hana anachokijua zaidi ya kumsifia Dr Slaa baba Junior.

Mkuu Ritz
Shibuda nimemsoma vizuri; kilichomundoa CCM ni wanamtandao; lilikuwa kosa nina uhakika wakubwa hawakulielewa hilo; ni mtu huru kwenye kutoa mawazo; Mwita Maranya kama unakumbuka aliwahi kusema anataka kugombea uenyekiti wa Chadema mkoa wa Dar es Salaam; hana nguvu ya kisiasa matokea yake amegeuka mtumwa wa Dr. Slaa yeye kila kitu ni hewala bwana! Mwita hana sera na wala hawatampa huo uenyekiti Slaa ana matandao wake.

Chama
Gongo Mboto DSM
 
Shibuda ni sawa na Jukebox linalokaa kwenye ma-bar, ni hela yako tu utakayotumbukiza unachagua mziki unaotaka linakuimbia. Halafu sidhani kama gharama ya kumkodi ili akusifie ni kubwa kihiiivyo!!!. CCM wameshamjua.

Hakika juke box hilo ni mahiri mpaka umeamua kulinunua na kuliweka ndani ya nyumba yako si mchezo!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Acha kuongea upuuzi maana huna jipya ambalo unalijua, unawezaje kusema Dr slaa awezi mikutano hio wakati anawapasha moto akishika mic na pia nyinyi ccm mnakodishaga watu kutoka mbali ili muonekane mnawatu wengi wakati ni bureeeee.

Anachosema chama, ni kweli sasa hivi Dr Slaa kaishiwa baada ya single yake ya ufisadi wananchi kuchoka nayo saizi kaja na mbinu mpya anasema kuwa usalama wa taifa wanataka kumuawa ili wananchi wamuonee huruma.
 
Last edited by a moderator:
Amani hakusema Dolphine, alisema samaki, alafu jamaa anaongea kiswahili cha kueleweka, maana ya kusahau kama samaki chambo ile ile unakama samaki mia, akiwa anaimanisha kwa tshirt moja tu unaweza kupata wana ccm mia, 99 kama wewe utaliwa na papa.

Sisi kwetu ni samaki

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Anachosema chama, ni kweli sasa hivi Dr Slaa kaishiwa baada ya single yake ya ufisadi wananchi kuchoka nayo saizi kaja na mbinu mpya anasema kuwa usalama wa taifa wanataka kumuawa ili wananchi wamuonee huruma.

Dr. Slaa pimbi sana usalama wa taifa ikulu ndio nyumbani kwao; kila mualiko wa chai ikulu hakosekani halafu hapo hapo anadai eti wanataka kumuua; huyu mtu mwehu sana sijui hata hao washabiki wake wanamshabikia kitu gani!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
Shibuda nimemsoma vizuri; kilichomundoa CCM ni wanamtandao; lilikuwa kosa nina uhakika wakubwa hawakulielewa hilo; ni mtu huru kwenye kutoa mawazo; Mwita Maranya kama unakumbuka aliwahi kusema anataka kugombea uenyekiti wa Chadema mkoa wa Dar es Salaam; hana nguvu ya kisiasa matokea yake amegeuka mtumwa wa Dr. Slaa yeye kila kitu ni hewala bwana! Mwita hana sera na wala hawatampa huo uenyekiti Slaa ana matandao wake.

Chama
Gongo Mboto DSM

Mkuu chama,
Kumfananisha John Shibuda na Mwita Maranya, ni kumvunjia heshima Shibuda.

Kisiasa Shibuda yupo anga za mbali, Mwita Maranya, hata ukatibu kata wa Chadema bado ajapata. Chadema hawawezi kumpa cheo chochote Dar es Salaa.

Jiulize kiongozi wa Chadema Kinondoni anatoka Kilimanjaro anaitwa Kileo. wampe Mwita anatoka Mugumu sijui Serengeti.
 
Last edited by a moderator:
Hapa kuna kitu kimoja sijakielewa ni mbwa anatingisha mkia au mkia unatingisha mbwa?
 
Back
Top Bottom