Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

Siku za Shibuda ndani ya CHADEMA zahesabika

demokrasia haichokeki uhuru wa mawazo na kukubaliana tofauti na mitazamo

Tatizo sio mawazo yako! Labda nikueleze bila chenga. English uliyoandika ndi mbovu kiasi kwamba hujaeleweka ulitaka kusema nini mazee! Ila uchune usimwambie mtu!;-)
 
Tatizo sio mawazo yako! Labda nikueleze bila chenga. English uliyoandika ndi mbovu kiasi kwamba hujaeleweka ulitaka kusema nini mazee! Ila uchune usimwambie mtu!;-)
kuelewa ubovu wa lugha kuna maana nyingiinawezekana umeona makosa yake na una marekebisho yake na umeelewa zaidi, hitimisho ujumbe umefika
 
Wanabodi
Mkutano mkuu wa CCM umemalizika kwa kishindo mjini Dodoma; katika mapitio ya hotuba nimeguswa sana na hotuba ya mgeni mualikwa mbunge wa Chadema mh. John Shibuda; hotuba yake imetoa hisia si kwa vyama vya upinzani tu hata kwa CCM yenyewe; Shibuda ameonyesha kukomaa kisiasa; hivi sasa kwenye medani za siasa za Chadema Shibuda anacheza kwa umahiri mkubwa kama mwanasoka Lionel Messi; wanabodi haya ndiyo maneno ya Shibuda

“CCM mna mtandao mpana sana nchi nzima…hakuna chama cha upinzani chenye mtandao kama wenu kwa vile havina uwezo,” alisema.

Hata hivyo, alikitaka Chama hicho kufanya kazi chenyewe badala ya kutegemea kifanyiwe na vyombo vya dola.

Alimpongeza Rais Kikwete kwa moyo wake wa uvumilivu katika masuala mbalimbali hali ambayo imesaidia sana kuleta utulivu ana amani iliyopo.

Aliwataka viongozi wa vyama vingine kuwa na hotuba zenye dhamira ya kuleta amani nchini badala ya vurugu.

“Nasikitika sana, CCM ni chama tajiri, chama cha kuigwa Afrika katika ukombozi, ni chama chenye falsafa nzuri na ni shamba darasa la kujisahihisha…lakini itakuwa ni aibu wakiacha utajiri huo ukikwapuliwa na mwewe,” alisema.

Alikitaka kitumie utajiri huo kuwajengea vijana elimu ya uraia ili kwa vijana wote wa Bara na Visiwani.

Alisema wapo ambao watashangaa kumwona kwenye mkutano wa CCM na hao ndio watakaomwita kuwa eti ni msaliti lakini akafafanua kwamba upinzani sio ugomvi"


Chama
Gongo la mboto DSM
 
Shibuda, Mrema na wapinzani wengine waliohudhuria mkutano mkuu wa CCM, Hawakwenda pale kuwakilisha vyama vyao vya upinzani, bali walikwenda pale kama wanachama hai wa CCM wenye kazi maalum.
Kwa kuwa wanatekeleza haki yao ya msingi kama mwanachama mtiifu wa ccm, watahudhuria kwa stahili yoyote ile mradi wawepo katika kupanga na kutekeleza mikakati ya CCM kuua upinzani.
 
Shibuda, Mrema na wapinzani wengine waliohudhuria mkutano mkuu wa CCM, Hawakwenda pale kuwakilisha vyama vyao vya upinzani, bali walikwenda pale kama wanachama hai wa CCM wenye kazi maalum.
Kwa kuwa wanatekeleza haki yao ya msingi kama mwanachama mtiifu wa ccm, watahudhuria kwa stahili yoyote ile mradi wawepo katika kupanga na kutekeleza mikakati ya CCM kuua upinzani.
......

Unamkana mbunge wako kwa kuogopa demokrasia hebu yasome maneno aliyosema Messi halafu ndio useme wapi hukubaliani naye

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ni kweli kabisa Shibuda ni mwanasiasa makini anastahili kabisa tuzo ya Ballon d'Or. Messi wa Chadema.
........

Subiri bunge livunjwe kama hajarudi maswa kulima. Hata mbinu za kufanya alichotumwa CDM kufanya hamkumpa?
 
attachment.php


Huyu nae anamuwakilisha nani?
 
Sawa na kumualika jirani yako na mkewe kwenye tafrija nyumbani kwako halafu mke wa jirani akusifie kwa hotuba '' Jirani wewe ndio mwanaume wa maana kabisa mtaani hapa mwenye akili nyingi na utajiri mkubwa kabisa kuliko wanaume wote mtaani hapa''............sijui mume atajisikiaje......anyway mtoa thread na Shibuda must be birds of the same feather
 
Sawa na kumualika jirani yako na mkewe kwenye tafrija nyumbani kwako halafu mke wa jirani akusifie kwa hotuba '' Jirani wewe ndio mwanaume wa maana kabisa mtaani hapa mwenye akili nyingi na utajiri mkubwa kabisa kuliko wanaume wote mtaani hapa''............sijui mume atajisikiaje......anyway mtoa thread na Shibuda must be birds of the same feather

hahahahaha! safi sana.....
 
Sawa na kumualika jirani yako na mkewe kwenye tafrija nyumbani kwako halafu mke wa jirani akusifie kwa hotuba '' Jirani wewe ndio mwanaume wa maana kabisa mtaani hapa mwenye akili nyingi na utajiri mkubwa kabisa kuliko wanaume wote mtaani hapa''............sijui mume atajisikiaje......anyway mtoa thread na Shibuda must be birds of the same feather

Kuna ubaya jirani kupewa sifa anazostahili? Hebu funguka alichosema Messi wapi kakosea?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Kuna ubaya jirani kupewa sifa anazostahili? Hebu funguka alichosema Messi wapi kakosea?

Chama
Gongo la Mboto DSM

Huyo Messi (lau kama mwanaume) wako ndio mke wa jirani mwenyewe........na wapo wake (na waume) wa majirani wengi wenye akili kama hizo...hajakosea kwa kuwa tunajua allegiance yake iko wapi
 
Huyo Messi (lau kama mwanaume) wako ndio mke wa jirani mwenyewe........na wapo wake (na waume) wa majirani wengi wenye akili kama hizo...hajakosea kwa kuwa tunajua allegiance yake iko wapi

Naona unamwaga bongo flavor tu! Messi kakosea wapi? Amesema maneno ya mtu mzima Messi ana uwezo mkubwa kuliko hata katibu mkuu wako; ameongea kama mwanasiasa siyo katibu anachojua ni fitina; uwongo na majungu

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Naona unamwaga bongo flavor tu! Messi kakosea wapi? Amesema maneno ya mtu mzima Messi ana uwezo mkubwa kuliko hata katibu mkuu wako; ameongea kama mwanasiasa siyo katibu anachojua ni fitina; uwongo na majungu

Chama
Gongo la mboto DSM

Sasa wewe si umchukue huyo Messi kama wampenda sana arudi kwenu? Unafikiri kwa nini CHADEMA wamempeleka yeye kama mwakilishi? Think before you ink
 
ukubwa wa pua si wingi wa makamasi pia ni bora kuwa uchi wa nyama kuliko kuwa uchi wa akili,kama CCM ni kwema kwanini alipakimbia na kutaka mabadiliko.Mbona anakuwa anasahau matamshi yake kila mara,huyu ndiye aliyesema CCM itamfia JK,leo anageuka amegeuka,tumueleweje anakuwa kama gunia linakunja watu watakavyo!
 
Sasa wewe si umchukue huyo Messi kama wampenda sana arudi kwenu? Unafikiri kwa nini CHADEMA wamempeleka yeye kama mwakilishi? Think before you ink

Ule ni mkutano wa moja ya chama kikongwe na kikubwa barani Afrika; walikuwepo wanadiplomasia kutoka nchi kadhaa; Dr Slaa hawezi mikutano kama ile amezoea kusimama kwenye majukwaa kusema uzushi na uwongo; game ya Kizota kubwa ni wachezaji mahiri wenye viwango vya kina Lionel Messi; cristiano Leornado, Ibrahimovic tu wenye uwezo wa kusimama kwenye mikutano ile na kusema maneno ya hekim; Dr. Slaa kiwango chake ni Mrisho Ngassa hapawezi!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom