Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,339
![]()
Huyu nae anamuwakilisha nani?
Wananchi wa jimbo la Hai
![]()
Huyu nae anamuwakilisha nani?
Ule ni mkutano wa moja ya chama kikongwe na kikubwa barani Afrika; walikuwepo wanadiplomasia kutoka nchi kadhaa; Dr Slaa hawezi mikutano kama ile amezoea kusimama kwenye majukwaa kusema uzushi na uwongo; game ya Kizota kubwa ni wachezaji mahiri wenye viwango vya kina Lionel Messi; cristiano Leornado, Ibrahimovic tu wenye uwezo wa kusimama kwenye mikutano ile na kusema maneno ya hekim; Dr. Slaa kiwango chake ni Mrisho Ngassa hapawezi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Kuna ubaya jirani kupewa sifa anazostahili? Hebu funguka alichosema Messi wapi kakosea?Uliishasikia Messi akichezea Real Madrid japo kwa mazoezi???????????????
Chama
Gongo la Mboto DSM
Hivi kwa nini unamtaja sana Messi na kuacha kumtaja ULIYEMDHAMIRIA? Huu ni ujinga DHAHIRI, Messi na mchezaji soka na Shibuda ni mwanasiasa vitu viwili TOFAUTI KABISA.
mfukuzie mbali huyu mtu,ni dhahiri kuwa athari za kuwa naye ni kubwa mno kuliko athari za kumtoa,afukuzwe mapema ili aanze kuwasaidia magamba katika propoganda,2015 ni mbali sana ,mkimtoa mapema utakuwepo muda wa kutosha kurekebisha madhara yatakayojitokeza maswa na ku-identify potential candidate,pia itawapa muda wa kutosha kupima na kutathmini propoganda zake dhidi ya upinzani na kujipanga kupangua hoja na mashairi yake kabla ya 2015.mbowe na slaa ,please act fast and remove this rubbishni kweli inahitajika busara kidogo tu kummaliza huku kukiwa na matayarisho mbadala jimboni kwake, cdm wasisubiri 2015 bali wanachotakiwa ni kuanza kumpekecha taratiiiibu kote alikoshika ili akidondoka basi asinyanyuke tena, ccm kwenyewe hawamtaki kwani wanamjua alivyo kinyonga ndumila kuwili, mwanzoni shibuda alivyokuwa anahangaika akiwa ndani ya ccm kugombea nafasi mbalimbali na kuzikosa mie nilikuwa namhurumia sana kumbe ilikuwa haki yake,
shibunda hana faida na chama wala wapiga kura wake bali yeye huwaza ntakunywa pombe na nani ndani ya chama au ntakunywa pombe na mpiga kura yupi na sio kuwazia matatizo ya wapiga kura wake na ndio maana akakomalia posho bungeni utafikiri kitu posho ni mama yake.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kimechoshwa na kauli tata za Shibuda na siku zake zinahesabika ndani ya chama.
Hayo yanesemwa kwa nyakati tofauti katika mikutano ya chama chao mikoani walipoulizwa na wanananchi. Kati ya walionyeshwa kuchoshwa na kauli za Shibuda ni Tundu Lissu na Mbowe
Source: Mtanzania
Sio kuwili tu, ni ndumila kwingishibuda ni ndumilakuwili,...