dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 959
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kimechoshwa na kauli tata za Shibuda na siku zake zinahesabika ndani ya chama.
Hayo yanesemwa kwa nyakati tofauti katika mikutano ya chama chao mikoani walipoulizwa na wanananchi. Kati ya walionyeshwa kuchoshwa na kauli za Shibuda ni Tundu Lissu na Mbowe
Source: Mtanzania
Hayo yanesemwa kwa nyakati tofauti katika mikutano ya chama chao mikoani walipoulizwa na wanananchi. Kati ya walionyeshwa kuchoshwa na kauli za Shibuda ni Tundu Lissu na Mbowe
Source: Mtanzania