Niliposoma heading nikajua Chadema wamemfukuza Shibuda kumbe maigizo tu...Chadema hawana ubavu wa kumfukuza Shibuda hata siku moja Shibuda ni Kamanda sio diwani wa Arusha utamfukuza kwa barua.
Unajifariji eh!!
huyu Shibuda ni kumpiga chini ili akabebe makopo na matambara maana ndo asili yake... kile kichaa kilichompata akiwa shule akifukuzwa chadema lazima kifufuke... anayopayuka ovyo hayasababishwi na utovu wa nidhamu peke yake bali pia uchiz kichwani!!!!!!!!!!!!!!!
:whoo: