Siku yangu ya kwanza kujiunga JF nilidhani haya

Mi nilidhani wanaume wote Jf wana Choonyonyo (Ndinga) kumbe wengine wanatembelea Rickshaw (Guta).
 
Nilidhani kujiunga Jf ni mpaka uwe na iPhone au Samsung,kujaribu na Tecno Y4 ngoma ikajipa,mpaka sasa naleta thread,na_like na ku_coment kwa raha mustarehe...
 
Nilizani Mzizi mkavu ni mganga kumbe mgangaanjaa tu nilizani Miss chaga ni bonge la mama kumbe kawaida nikazani nyani ngabu ana undugu na lemutuzi kumbe sio.

nilizani Britanica ni mfanya biashara kumbe ni walewale wa tuma kwenye number hii. nilizani lara one ni single kumbe ni mama na mtoto nikazani jamii forum members karibia wote wanaishi njee ya Tz kumbe wengi ni wanafunzi tena st. kayumba na Udom.
 
Mimi nilidhani wote ni GT kama wanavyojinasibisha.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…