PumbvMi nilidhani Kikwete angeweza kumpiga kagame maana ndo walikuwa na vuguvugu siku hizo, baadae nkaja gundua hata ikulu ilikuwa na watu wetu wa Rwanda
Na kila mwanaume anaishi pazuriNilidhani wote wanamiliki 'ndinga', kumbe wengi ni walala hoi.
Hivi unajua hata mimi, duuuhh!!Mi nilidhani ni Mtandao wa Upinzani
Kina miss fulani aoUkiona demu au mwanamke amekuwekea picha nzuri ya mwanamke mrembo kwenye avatar yake ujue sio yeye na wala sio mrembo kabisa
Hakika maana kila kitu ulikuwa against serikali, nikasema hatariHivi unajua hata mimi, duuuhh!!
Kumbe Ana kibamia chakeNilimuona Lemutuz ni mtu wa maana sana..kumbe wapi!!
Hilo nalo nenoUkiona demu au mwanamke amekuwekea picha nzuri ya mwanamke mrembo kwenye avatar yake ujue sio yeye na wala sio mrembo kabisa
Hahahaaa..... Kumbe wengine bado wapo majumbani kwao wanalelewa na wazazi.Na kila mwanaume anaishi pazuri
Masonic movementndiyo niliogopa sana
Small thinkersNilidhani watumiaji was jf wote ni great thinkers kumbe sio
Hapana hiyo account nimeiacha baada ya mambo ya uchaguzi kutia moto2010 halafu ukapumzika mpaka 2015
Kwanini unataka kuonekana mkongwe kumbe wa juzi tu
Nilimuona Lemutuz ni mtu wa maana sana..kumbe wapi!!
Unataka kusema wewe ni lizaboni?Hapana hiyo account nimeiacha baada ya mambo ya uchaguzi kutia moto
Kuna wengine nimekutana nao warembo Sana.Ukiona demu au mwanamke amekuwekea picha nzuri ya mwanamke mrembo kwenye avatar yake ujue sio yeye na wala sio mrembo kabisa
Hehehekipindi hicho wanawake walikuwa wana tu Pm na tunapeana kampani
haikuwa ngumu kubadilishana mawazo na kupata marafiki wapya kutoka jf
Hali iliyonifanya niwe na marafiki wengi na kutengeneza channel nzuri
maada za ujasiriamali zilikuwa moto kwenye siasa kulikuwa siyo haba haikuwa ajabu kubishana na mbunge/waziri
Nimeikumbuka jf ya kipindi kilee.
jf ile haikuwa ya nadharia ilikuwa ya uhalisia ...
baada la wimbi la simu za kichina ie.tecno&itel Co
hapo ndipo jf ikavamiwa
hata watt na wachnga kichwani walikuwepo
matapel na wa fake maisha wakaingia jukwaani
hile radha ya jf ikapotea
na kuaminiana kama zamani kukaanza kupungua
ikawa Kila kitu tunafanya kwa machale kuanzia kucoment mpaka Ku acces jf...
nakumbuka kipindi cha miaka ya 2008-2010
ilikuwa fahari kuwa mwanachama wa jf..
niliwahi kupata rafiki mzuri SANAAAA baada ya SIKU moja Ndani ya daladala kunikuta na acces Jf..
lakini now daz aseee yaani hata kuifungua jf mbele ya kadamnasi imekuwa shidaaaa.....
NB: zamani wakati natumia username nyingine kabla sija4gate password na neno la kuingilia
maana hamchelew kuona nimejoin lini huku
Tupe link basiKuna wengine nimekutana nao warembo Sana.