britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,635
- 29,967
- Thread starter
- #81
Kama nani mzeeNilidhani kila mdada au mwanamke wa humu ni mbovu kumbe kuna visu vya hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nani mzeeNilidhani kila mdada au mwanamke wa humu ni mbovu kumbe kuna visu vya hatari.
HahMi nilidhani kila memba JF anajua kuzungumza kiingereza kumbe vichwa panzi wapo
Mchango wa hela ?? Au commentsNilidhani ukitoa mchango humu unachukuliwa kama mchango lakini weee!!!
Nilijua kuna mshahara kila mwisho wa mwezi.
Guta Ni nani huyoMi nilidhani wanaume wote Jf wana Choonyonyo (Ndinga) kumbe wengine wanatembelea Rickshaw (Guta).
Mi nilidhani kila memba JF anajua kuzungumza kiingereza kumbe vichwa panzi wapo
Ha ha ha, potiNilimuona Lemutuz ni mtu wa maana sana..kumbe wapi!!
Hata mimiNilidhani mleta mada ni zinga la genius
Mkuu kwani kuna mchango wa hela humu? Mimi nilikusudia wa mawazo/maoni/maonoMchango wa hela ?? Au comments
Jaanilidhani mimi mwenyewe ndio mmasai pekee mwenye access na jf kumbe kuna akina Lekumok
Hahaha ukadhai wengine hawana uwezo wa kuleta madaNilidhani mleta mada ni zinga la genius
Kumbe...?Nilidhani mleta mada ni zinga la genius
Nahadi leo kuna wanaoamini hivyo yn m2 ukimpa habar yyte ukamuambia nimeitoa JF anakuambia "Aah huo simtandao wawapinzani"Mi nilidhani ni Mtandao wa Upinzani
Katisha
Mimi nilidhani wote ni GT kama wanavyojinasibisha.....Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 nikiwa natumia ID flani maarufu baadae nikaiacha,
Nilipojiunha JF
1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza pata mchumba hapa hapa, haha , na mbaya zaid nikaamini kila mmoja ni mrembo
2. Nilidhani kila anayeleta story MMU ni ya kweli kumbe wengine uchangamsha baraza tu
3.Nilidhani kila mtu anayesema mnyetishaji wangu kasema, nikadhani wana access ikulu ama usalama wa taifa kumbe uongo mtupu
4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,
5. Mbaya zaid nilidhani ........
Je we ulipojiunga JF siku ya kwanza ulikuwa na mawazo gani?