britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 nikiwa natumia ID flani maarufu baadae nikaiacha,
Nilipojiunha JF
1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza pata mchumba hapa hapa, haha , na mbaya zaid nikaamini kila mmoja ni mrembo
2. Nilidhani kila anayeleta story MMU ni ya kweli kumbe wengine uchangamsha baraza tu
3.Nilidhani kila mtu anayesema mnyetishaji wangu kasema, nikadhani wana access ikulu ama usalama wa taifa kumbe uongo mtupu
4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,
5. Mbaya zaid nilidhani ........
Je we ulipojiunga JF siku ya kwanza ulikuwa na mawazo gani?
Nilipojiunha JF
1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza pata mchumba hapa hapa, haha , na mbaya zaid nikaamini kila mmoja ni mrembo
2. Nilidhani kila anayeleta story MMU ni ya kweli kumbe wengine uchangamsha baraza tu
3.Nilidhani kila mtu anayesema mnyetishaji wangu kasema, nikadhani wana access ikulu ama usalama wa taifa kumbe uongo mtupu
4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,
5. Mbaya zaid nilidhani ........
Je we ulipojiunga JF siku ya kwanza ulikuwa na mawazo gani?