Siku yangu ya kwanza kujiunga JF nilidhani haya

mimi mara ya kwanza kujiunga nilikutana na mada inayoesema mahojiano ya Jamii forum na mkuu wa free masonry sir Andy chande
nilizani nimejiunga na mtandao wawajenzi lakini baadaye nilielewa tu
 
Na kweli wengi walikuwa na shahada za kipaimara na ubatizo
Kipindi hiko, ukifahamu tuu kidogo kuhusu ILLUMINATI na NEW WORLD order ndio unatamba, maana ndio yalikuwa yanaishhika nchi ila kw sas hivi yamezoeleka ili uteke jukwa inabidi uwe kwenye political trends
 
Hela muhaya anaweza akawa na jero anatuna kuliko mkurya au muha mwenye million
Unaweza kuta mm nimetandaza mitumbwi ya dagaa ziwa Tnganyka lote ila sina misifa
Madem zenu nawashukuru kwa kunipatia vyema huduma wakati Niko chule, wanahuruma sana kwenye sekta ya kugawiana utamu
 
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 nikiwa natumia ID flani maarufu baadae nikaiacha,

Nilipojiunha JF
1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza pata mchumba hapa hapa, haha , na mbaya zaid nikaamini kila mmoja ni mrembo

2. Nilidhani kila anayeleta story MMU ni ya kweli kumbe wengine uchangamsha baraza tu

3.Nilidhani kila mtu anayesema mnyetishaji wangu kasema, nikadhani wana access ikulu ama usalama wa taifa kumbe uongo mtupu

4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,

5. Mbaya zaid nilidhani ........

Je we ulipojiunga JF siku ya kwanza ulikuwa na mawazo gani?
2010 halafu ukapumzika mpaka 2015

Kwanini unataka kuonekana mkongwe kumbe wa juzi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom