Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,811
Ila nyie watani zangu sio watu Wa spoti spoti linapokuja swala LA misifa na pesaHahaha we wasema
Ila nyie watani zangu sio watu Wa spoti spoti linapokuja swala LA misifa na pesaHahaha we wasema
Hela muhaya anaweza akawa na jero anatuna kuliko mkurya au muha mwenye millionIla nyie watani zangu sio watu Wa spoti spoti linapokuja swala LA misifa na pesa
Kumbe wengine wanapanga na wanadaiwa kodiMi nilidhani jf wote wana magari mazuri,wamejenga,Wana elimu ya kutosha,wengi humu wamefika nchi zilizoendelea nk,hii ni kutokana na thread zao
4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,
Andy chandy so yule wa free mason??mimi mara ya kwanza kujiunga nilikutana na mada inayoesema mahojiano ya Jamii forum na mkuu wa Jamii forum sir Andy chande
nilizani nimejiunga na mtandao wawajenzi lakini baadaye nilielewa tu
Mi niko dunia nzimaHiyo inakuhusu, Mara upo Russia Mara sijui Korea kumbe ni stories tu.
ndiyo niliogopa sanaAndy chandy so yule wa free mason??
Kipindi hiko, ukifahamu tuu kidogo kuhusu ILLUMINATI na NEW WORLD order ndio unatamba, maana ndio yalikuwa yanaishhika nchi ila kw sas hivi yamezoeleka ili uteke jukwa inabidi uwe kwenye political trendsNa kweli wengi walikuwa na shahada za kipaimara na ubatizo
WasemaaUkiona demu au mwanamke amekuwekea picha nzuri ya mwanamke mrembo kwenye avatar yake ujue sio yeye na wala sio mrembo kabisa
Unaweza kuta mm nimetandaza mitumbwi ya dagaa ziwa Tnganyka lote ila sina misifaHela muhaya anaweza akawa na jero anatuna kuliko mkurya au muha mwenye million
Hiyo umenenaNawatahadharisha wale wanaotumia acc za kujificha kwenye jinsia nyingine, inaathiri ubongo, tutakukuta hivyo kama tukikuona usoni
2010 halafu ukapumzika mpaka 2015Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 nikiwa natumia ID flani maarufu baadae nikaiacha,
Nilipojiunha JF
1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza pata mchumba hapa hapa, haha , na mbaya zaid nikaamini kila mmoja ni mrembo
2. Nilidhani kila anayeleta story MMU ni ya kweli kumbe wengine uchangamsha baraza tu
3.Nilidhani kila mtu anayesema mnyetishaji wangu kasema, nikadhani wana access ikulu ama usalama wa taifa kumbe uongo mtupu
4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,
5. Mbaya zaid nilidhani ........
Je we ulipojiunga JF siku ya kwanza ulikuwa na mawazo gani?