Siku yako ya kwanza kuzama Chumvini

Siku yako ya kwanza kuzama Chumvini

Yani now days jf kina nyuzi za ajabu kibaya zaidi watu wanadhani hapa fb kwamba kila siku laizma aanzishe Uzi.. Cc Hawachi
Ngoja nikupe Somo kidogo inaonekana hauijui JF ila unaidandia tu,

Jf ina majukwaa lukuki mfano
1:Jukwaa la mahusiano,
2:jukwaa la Wakubwa na la dini haya ni private kuingia mpaka upate access maalumu kutoka kwa Mod,paw
3:jukwaa la hoja mchanganyiko
4:Jamii intelgence
5:Jukwaa la siasa
6:Jukwa la jokes na utani

Na majukwaa mengine mengi kila jukwaa na content zake

Hivyo basi ukitaka kusoma vile unataka kuvisoma ingia jukwaa ulipendalo kama wewe ni mpenzi wa siasa ingia jukwaa hilo,kama unataka Utani ingia hilo jukwaa utakuta mada zake humo,kama wewe unataka mada za kufikirisha ubongo jukwaa la jamii intelgence lipo ingia humo utapata madini,

Usijifanye unaijua JF zaidi ya ata walioanzisha wakina Maxence sawa mkuu.

Usiandike andike Coment ili wakuone we ni great thinker kumbe ni bonge la popoma kwenye kundi la watu.

I think umenielewa na hautakuja tena kuandika huo upopoma wako kwa mwingine pia Unatakiwa Useme asante kwa kufunua Akili ya ubongo wako nafikiri sasa utakuwa unaijua JF ata kidogo.
 
hahaa
Ngoja nikupe Somo kidogo inaonekana hauijui JF ila unaidandia tu,

Jf ina majukwaa lukuki mfano
1:Jukwaa la mahusiano,
2:jukwaa la Wakubwa na la dini haya ni private kuingia mpaka upate access maalumu kutoka kwa Mod,paw
3:jukwaa la hoja mchanganyiko
4:Jamii intelgence
5:Jukwaa la siasa
6:Jukwa la jokes na utani

Na majukwaa mengine mengi kila jukwaa na content zake

Hivyo basi ukitaka kusoma vile unataka kuvisoma ingia jukwaa ulipendalo kama wewe ni mpenzi wa siasa ingia jukwaa hilo,kama unataka Utani ingia hilo jukwaa utakuta mada zake humo,kama wewe unataka mada za kufikirisha ubongo jukwaa la jamii intelgence lipo ingia humo utapata madini,

Usijifanye unaijua JF zaidi ya ata walioanzisha wakina Maxence sawa mkuu.

Usiandike andike Coment ili wakuone we ni great thinker kumbe ni bonge la popoma kwenye kundi la watu.

I think umenielewa na hautakuja tena kuandika huo upopoma wako kwa mwingine pia Unatakiwa Useme asante kwa kufunua Akili ya ubongo wako nafikiri sasa utakuwa unaijua JF ata kidogo.
 
Consequence za kuzama uvinzani be careful niggaz
images.jpeg
 
Back
Top Bottom