Siku ya Wanawake: Wanawake Wajasiriamali waenda Chato kufagia kaburi la hayati Magufuli

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,134
Nichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.

Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.

Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.

Kwaresma njema!
 
Nichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.

Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.

Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.

Kwaresma njema!
Kwaresma njema na kwako pia mkuu. Nimemsikia Dr Gwajima (MP) leo hii kupitia E Fm redio akisema leo ni 'sikukuu ya wanawake'.
Sasa wewe unatuambia ni 'siku ya wanawake', nachanganyikiwa hapa mkuu.
 
Nichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.

Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.

Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.

Kwaresma njema!
AMINA
 
Back
Top Bottom