johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,979
- 141,996
Niwashukuru sana Watendaji wa Jamii Forums kwa kuitendea Haki Siku ya Kumbukizi la Shujaa Magufuli.
Siku ya jana nyuzi za Shujaa Magufuli zilikuwa nyingi kupitiliza lakini mlizivumilia hamkufuta wala kuziunganisha.
Mungu wa Mbinguni awabariki sana kwa mioyo yenu mikunjufu.
Mimi na ndugu yangu Mzee Mgaya hatuna cha kuwalipa zaidi ya Kuwabariki na kusema Ahsante sana.
Tumemlilia Shujaa kwa Miaka 3 na sasa tunamtakia Pumziko la Milele, amen!
Sasa tutakuwa tunamkumbuka kwa kuangalia Nuru itokayo Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere.
Tunawatakia Kwaresma Njema.
Ramadan Kareem. 😄😄
Siku ya jana nyuzi za Shujaa Magufuli zilikuwa nyingi kupitiliza lakini mlizivumilia hamkufuta wala kuziunganisha.
Mungu wa Mbinguni awabariki sana kwa mioyo yenu mikunjufu.
Mimi na ndugu yangu Mzee Mgaya hatuna cha kuwalipa zaidi ya Kuwabariki na kusema Ahsante sana.
Tumemlilia Shujaa kwa Miaka 3 na sasa tunamtakia Pumziko la Milele, amen!
Sasa tutakuwa tunamkumbuka kwa kuangalia Nuru itokayo Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere.
Tunawatakia Kwaresma Njema.
Ramadan Kareem. 😄😄