Siku ya wajinga duniani lengo lake ni nini?

Siku ya wajinga duniani lengo lake ni nini?

Daudi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2013
Posts
15,092
Reaction score
24,215
Habari za asubuhi wapendwa.......................

Aisee mimi nina swali hii siku ya wajinga duniani malengo yake ni nini? je inalengo la kupunguza ujinga au kuongeza vifo vya watu kwa presha?

Imekuwa kawaida siku kama hii watu kupeana presha kwa namna moja ama nyingine kwa mfano watu wanagusa maeneo muhimu kama familia,kazini na kwingine,mtu anaweza kukuambia amemuona mkeo akiingia gesti fulani na jamaa au amemuona mumeo na mwanamke gest hali ikawa tata au mtu anakuambia baba/mama yako mgonjwa. Wengine wanaenda mbali zaidi ikitokea kuna ndugu alikuwa anaumwa hata kama hakuwa serious watasema amefariki hivi hapo ni kutoana ujinga?

Hebu tusaidiane mahusiano baada ya muda huo wa ujinga kuisha maana mwisho huwa inakuwa saa nne mumeo amekuaga kuwa anaenda kazini halafu zikaja taarifa kwamba yuko na mtu gesti wakati huo huo ulikuwa unahisi kama mumeo anakuchit ila haukuwa na uhakika hebu wadada mseme hapa mapokezi ya jioni yatakuaje?

Na wewe mwanaume umemuacha mke home taarifa zinakufikia kuwa kuna njemba iko kufaidi tunda tena kwenye kitanda unacholalia hata kama utathibitisha siyo kweli mahusiano wiki hilo yatakuaje? hebu njooni tusaidiane mawazo hapa maana naona hii siku inavyoadhimishwa sielewi.....

cc:Bantu lady, Rich pol, Kiwatengu, Sungura1980, Uran, 'Valentina', Honey Faith, Angelicious, Excel, mwallu, Miss neddy, Shansarie, Judgement, Demba, Eiyer,Baba V,Lady Doctor, na wengine hebu njooni huku tuongee
 
Unajua mimi siyo mjinga, wenye sikukuu yao watasema vizuri. Fools day hahahahaha.
Ngoja tu nikwambie kidogo kwa baadhi ya nchi wanasheherekea kabisa ni mambo ya utani watu wafurahi basi.
 
Unajua mimi siyo mjinga, wenye sikukuu yao watasema vizuri. Fools day hahahahaha.
Ngoja tu nikwambie kidogo kwa baadhi ya nchi wanasheherekea kabisa ni mambo ya utani watu wafurahi basi.
Dah! wew huu utani unauonaje mtu anakutania kwenye kifo,ugonjwa kwa watu wa karibu hata huko ni hivyo hivyo au ni hapa watu hawajielewa?
 
mkuu kuna movie moja inaitwa Wrong turn.
yaani ni haya mambo ya utani utani yanateketeza mji mzima!!

aise ni hatari asubuhi ya leo nimepigiwa simu na kudanganywa.
imebidi na mimi nidanganye kwa kweli..
ngoma ikawa droo
 
mkuu kuna movie moja inaitwa Wrong turn.
yaani ni haya mambo ya utani utani yanateketeza mji mzima!!

aise ni hatari asubuhi ya leo nimepigiwa simu na kudanganywa.
imebidi na mimi nidanganye kwa kweli..
ngoma ikawa droo
Hahahahaaa mimi nimedangaywa eti kuna rafiki yangu kanywa sumu imebidi nianze kuunganisha dot kutafuta sababu kabla sijapata conlussion naambiwa ni siku ya wajinga mpaka nikaishiwa nguvu,hiyo muvi nimeiangalia part 1 yule dada alikosea njia na mawasiliano yalikatika ndo yalipomkuta ya kumkuta
 
Hahahahaaa mimi nimedangaywa eti kuna rafiki yangu kanywa sumu imebidi nianze kuunganisha dot kutafuta sababu kabla sijapata conlussion naambiwa ni siku ya wajinga mpaka nikaishiwa nguvu,hiyo muvi nimeiangalia part 1 yule dada alikosea njia na mawasiliano yalikatika ndo yalipomkuta ya kumkuta

yaah!! source ni hayo mambo yakuvaa ma mask, iikuwa siku maalumu ya kuyavaa dah
 
Habari za asubuhi wapendwa.......................

Aisee mimi nina swali hii siku ya wajinga duniani malengo yake ni nini? je inalengo la kupunguza ujinga au kuongeza vifo vya watu kwa presha?

Imekuwa kawaida siku kama hii watu kupeana presha kwa namna moja ama nyingine kwa mfano watu wanagusa maeneo muhimu kama familia,kazini na kwingine,mtu anaweza kukuambia amemuona mkeo akiingia gesti fulani na jamaa au amemuona mumeo na mwanamke gest hali ikawa tata au mtu anakuambia baba/mama yako mgonjwa. Wengine wanaenda mbali zaidi ikitokea kuna ndugu alikuwa anaumwa hata kama hakuwa serious watasema amefariki hivi hapo ni kutoana ujinga?

Hebu tusaidiane mahusiano baada ya muda huo wa ujinga kuisha maana mwisho huwa inakuwa saa nne mumeo amekuaga kuwa anaenda kazini halafu zikaja taarifa kwamba yuko na mtu gesti wakati huo huo ulikuwa unahisi kama mumeo anakuchit ila haukuwa na uhakika hebu wadada mseme hapa mapokezi ya jioni yatakuaje?

Na wewe mwanaume umemuacha mke home taarifa zinakufikia kuwa kuna njemba iko kufaidi tunda tena kwenye kitanda unacholalia hata kama utathibitisha siyo kweli mahusiano wiki hilo yatakuaje? hebu njooni tusaidiane mawazo hapa maana naona hii siku inavyoadhimishwa sielewi.....

cc:Bantu lady, Rich pol, Kiwatengu, Sungura1980, Uran, 'Valentina', Honey Faith, Angelicious, Excel, mwallu, Miss neddy, Shansarie, Judgement, Demba, Eiyer,Baba V,Lady Doctor, na wengine hebu njooni huku tuongee

April 1 is named FOOL'S DAY, after Steve April. He was born on 1st April 1579. He did 105 businesses in his lifetime. He lost all his father's assets, and so everyone started calling him father of the fools.

At 19, he married a 61-year-old woman who divorced him after a year because of his foolishness. He used to read all kinds of fake stories like you are doing now.

It's great idea fooling you ...Happy April Fool !
 
April 1 is named FOOL'S DAY, after Steve April. He was born on 1st April 1579. He did 105 businesses in his lifetime. He lost all his father's assets, and so everyone started calling him father of the fools.

At 19, he married a 61-year-old woman who divorced him after a year because of his foolishness. He used to read all kinds of fake stories like you are doing now.

It's great idea fooling you ...Happy April Fool !
Okeeee kama ni hivyo hizi habari za kutaniana kwenye mambo ya kushitua kama kifo na ugonjwa hili nalionaje,ni huku kwetu ndo inakuwa hivyo au hata huko kwao?
 
imekaa kiutani zaidi
asubuhi tu mtu wa kwanza kuwasiliana nae kanidanganya..
ikaona isiwe tabu..nimelipiza kwa kudanganya watatu zaidi..
ahahaha...
 
Ni kuraise tu awareness kwamba hata sisi dumb people tuna tunaplay part kubwa sana kuwafurahisha na kuwaburudisha wengine.

Nakuenjoy ambali nzuri kama hizi hapa chini!
 

Attachments

  • 1396337722385.jpg
    1396337722385.jpg
    75.9 KB · Views: 88
sio kwetu tu..
Kumbe hata kwao,sasa hii siku siioni kama ina maana unajua tunakopi kopi tu bila hata kuedit kidogo watu huwa mahusiano yanavunjika kwa sababu tu ya siku kama ya leo
 
imekaa kiutani zaidi
asubuhi tu mtu wa kwanza kuwasiliana nae kanidanganya..
ikaona isiwe tabu..nimelipiza kwa kudanganya watatu zaidi..
ahahaha...
Kudanganya si tatizo kama utadangany kitu cha kawaida kwa mfano mimi nimedanganya eti jamaa yangu kanywa sumu kisa mapenzi na kweli ukifuatilia kulikuwa na kutokuelewana kat ya wapenzi hao sasa kama mtu haujaambiwa kuwa ni siku ya wajinga si utaanza kusambaza hizo taarifa kwa wengne? wengne wanapressure zao bwana
 
Watu kutojielewa tu. Mi sidhani kama mtu na akili zako timamu umasheherekea siku ya leo. We ushaambiwa siku ya wajinga, sasa mtu na akili zako timamu unasheherekea nini leo. Kama unasherehekea kwa kuwadanganya wenzako,basi wewe ni mjinga. Tuache mambo ya kuiga jamani
 
Watu kutojielewa tu. Mi sidhani kama mtu na akili zako timamu umasheherekea siku ya leo. We ushaambiwa siku ya wajinga, sasa mtu na akili zako timamu unasheherekea nini leo. Kama unasherehekea kwa kuwadanganya wenzako,basi wewe ni mjinga. Tuache mambo ya kuiga jamini
Hapo umeongea la msingi na sijui kwanini tunapenda kuiga kila kitu hata kisichokuwa na faida kwetu
 
Kuna rafiki yangu amenipigia simu toka Dar (niko nje kidogo) kuna gazeti lime report Kuwa tajiri no 1 duniani Bill Gate anakuja kugawa pesa Airport, Sasa watu wamejaa, na madriver taxi wa pale ukimkodi anasema anamgeni anamsubiri, kumbe wanasubiri mgao wa pesa toka kwa Bill Gate.
 
Back
Top Bottom