Siku ya tano hii narudishiwa chenji iliyozidi na kwenye daladala nasahaulika.

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
875
2,094
Wakuu kwema.

Hili suala ni la kawaida likitokea mara moja ila likijirudia rudia tunapata wasiwasi.

Imetokea kwa siku tano hadi leo navyotype kwamba nikipanda daladala konda haniombi nauli namimi napotezea , kuna muda nampa mwenyewe.

Kinachonishangaza zaidi napewa chenji iliyozidi nikienda kununua kitu, mfano kitu cha 1000, narudishiwa chenji 4000+, nk.
Namimi naamua kukaa nayo cozi nina shida na hela. Siku ya tano hii tangu haya yaanze kutokea.

Wakuu hii ina maana gani au iliwahi kuwatokea hata nyie. Na je kuna namna ya kuifanya situation iendelee
 
1. shetani kaona upo njiani kutoboa uwe na usafiri wako, kakutumia pepo la kuridhika ili upunguze juhudi

2, Mungu kakupa mtihani mdogo kukujaribu uaminifu, kama hurudishi hizo chenji ushafeli.
 
Wakuu kwema.

Hili suala ni la kawaida likitokea mara moja ila likijirudia rudia tunapata wasiwasi.

Imetokea kwa siku tano hadi leo navyotype kwamba nikipanda daladala konda haniombi nauli namimi napotezea , kuna muda nampa mwenyewe.

Kinachonishangaza zaidi napewa chenji iliyozidi nikienda kununua kitu, mfano kitu cha 1000, narudishiwa chenji 4000+, nk.
Namimi naamua kukaa nayo cozi nina shida na hela. Siku ya tano hii tangu haya yaanze kutokea.

Wakuu hii ina maana gani au iliwahi kuwatokea hata nyie. Na je kuna namna ya kuifanya situation iendelee
Ukipenda kula sharti...subiri zamuyako mkuu
 
Back
Top Bottom