Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

Luka :23:50
Kulikuwa na mtu mmoja jina lake Yosefu, mwenyeji wa kijiji kimoja cha Wayahudi kiitwacho Arimathaya. Alikuwa mtu mwema anayeheshimika.

Luka :23:52
Basi, yeye alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.

Luka :23:53
Kisha akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.

Luka :23:54
Siku hiyo ilikuwa Ijumaa
IMG_20181109_224856~2.jpg
, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.


Hii biblia imeweka wazi kabisa kwa kuweka siku kuwa ni ijumaa Yesu aliposulubiwa pale msalabani na hivyo ilibidi waharakishe kumzika maana ijumaa ilikuwa ndiyo siku ya maandalio kabla ya sabato kuingia na kama ijumaa ndiyo siku ya maandalio ya sabato, sabato itakuwa siku gani? Hili utajijibu mwenyewe na nafsi yako


Luka :24:1
Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha.



Endeleeni kuwayumbisha hao hao RC lakini binafsi sijaona jibu la swali langu kwako.
 
Endeleeni kuwayumbisha hao hao RC lakini binafsi sijaona jibu la swali langu kwako.
Wewe dhehebu gani ili tukusaidie kwa mujibu wa dhehebu au imani yako ,huenda unasema ni Rc , kumbe hujui hata kuwa IBADA YA JUMAPILI imeletwa na UPAPA

Katekisimo ya kanisa Katoliki la Roma inasomeka hivi:
"Swali: Ipi ndiyo siku ya Sabato?
"Jibu: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
"Swali: Kwa nini sisi tunaitunza Jumapili badala ya Jumamosi?
"Jibu: Tunaitunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa Katoliki …. Liliihamisha ibada toka Jumamosi kwenda Jumapili".
- Peter Geirmannn, The Convert's Catechism of Catholic Doctrine (toleo la 1957). Uk. 50.
FB_IMG_1540769526812.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: HDP
Mimi nimeshahudhuria mihadhara yao mingi lakini sijaona zito la kunishawishi niamini swala linaloitwa USABATO.
Basi endelea kuamini katika ibada za wafu

Ibada za sanamu

Ibada za Sabato bandia(dominica)

X mass paganism

Easter paganism

N.k


MAANA WOTE WASIOFATA AMRI ZA MUNGU IKIWEPO SABATO NI WATOTO WA UPAPA

HIVO HUWEZ KUJITENGA NA UPAPA
FB_IMG_1541742879258.jpeg
 
We naona unamuamini kahaba Ellen kuliko hata Muumba mwenyewe! Endelea kupambana na dini zilokuja na meli mie mwenzio sipo popote
ISAYA alinena vema juu yenu ninyi wanafiki...
"8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
9 Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu
FB_IMG_1541730363955.jpeg
 
Hivi hiyo ni biblia ipi iliyotaja jumamosi, jumapili, jumatatu na kuendelea!?
Biblia kiswahili cha kisasa ,

Hii ambayo haijataja ni kiswahili cha kimvita

UNAULIZA SABATO NI LINI, WAKATI KANISA LAKO LINASHEREKEA IJUMAA KUU, ALHAMIC KUU, NA PASAKA

kwanini usiwaulize mapadri, wachungaji wako, wanaokwambia Yesu amefufuka jumapili ,
 
ISAYA alinena vema juu yenu ninyi wanafiki...
"8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
9 Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenuView attachment 928137

Kaka AROON samahani kwa hili, kwenye mambo ya dini huwa sikuchukulii kwa umuhimu kabisa kwa chochote unachokipost
wewe ni miongoni mwa WaSabatho wasio na uwezo wa kufikiria hata kidogo, yaani kazi yako ni kucopy na kupaste, yaani hata tukiweka arguement za kawaida kabisa, wewe hauna uwezo wa kusimamia unachokiamini bali ni kwenda kwenye ma-archieve yako na kuchomoa vitu ambavyo havian uhusiano na mada uhusika

kaka Kuwa huru, mpe roho mtakatifu nafasi ya kukufungua akili, akupe uwezo wa kusoma na kutafakari. achana na hayo makitu ya kucopy na kupaste

huo ni ushauri wangu kwako kaka, Usiseme haujaonyeshwa njia
 
Kaka AROON samahani kwa hili, kwenye mambo ya dini huwa sikuchukulii kwa umuhimu kabisa kwa chochote unachokipost
wewe ni miongoni mwa WaSabatho wasio na uwezo wa kufikiria hata kidogo, yaani kazi yako ni kucopy na kupaste, yaani hata tukiweka arguement za kawaida kabisa, wewe hauna uwezo wa kusimamia unachokiamini bali ni kwenda kwenye ma-archieve yako na kuchomoa vitu ambavyo havian uhusiano na mada uhusika

kaka Kuwa huru, mpe roho mtakatifu nafasi ya kukufungua akili, akupe uwezo wa kusoma na kutafakari. achana na hayo makitu ya kucopy na kupaste

huo ni ushauri wangu kwako kaka, Usiseme haujaonyeshwa njia
Wewe kweli ni kituko kama jina lako lilivyo

Nakopi ndio biblia ,na nina blog zangu namiliki,

Wapi nimeenda kinyume, TATIZO UNA MAJIBU YAKO KICHWANI AMBAYO UMESHAMEZESHWA
 
Kaka AROON samahani kwa hili, kwenye mambo ya dini huwa sikuchukulii kwa umuhimu kabisa kwa chochote unachokipost
wewe ni miongoni mwa WaSabatho wasio na uwezo wa kufikiria hata kidogo, yaani kazi yako ni kucopy na kupaste, yaani hata tukiweka arguement za kawaida kabisa, wewe hauna uwezo wa kusimamia unachokiamini bali ni kwenda kwenye ma-archieve yako na kuchomoa vitu ambavyo havian uhusiano na mada uhusika

kaka Kuwa huru, mpe roho mtakatifu nafasi ya kukufungua akili, akupe uwezo wa kusoma na kutafakari. achana na hayo makitu ya kucopy na kupaste

huo ni ushauri wangu kwako kaka, Usiseme haujaonyeshwa njia

Kumbe ulishamgundua Mkuu. Anapenda mijadala ila uwezo Wa kusoma na kuyaeleza mambo kwa ufupi hana badala yake yeye kupachika lolote,iwe picha au video.
 
Endeleeni kuwayumbisha hao hao RC lakini binafsi sijaona jibu la swali langu kwako.
Umeliona ila umejifanya kipofu mtu mzima kukiri huwa ni ngumu hata kama anaona ni kweli kama nilivyokuthibitishia

Ila neno linasema ukweli wa neno utahubiriwa ulimwengu kote ili iwe ushuhuda halisemi ili muamini ila iwe ushuhuda ili asiwepo ambaye atasema mimi sikusikia ili wakati wa hukumu kila mtu akiri ni za kweli na haki hukumu za Mungu
 
Wewe kweli ni kituko kama jina lako lilivyo

Nakopi ndio biblia ,na nina blog zangu namiliki,

Wapi nimeenda kinyume, TATIZO UNA MAJIBU YAKO KICHWANI AMBAYO UMESHAMEZESHWA

Kaka kuwa na Blog hakukufanti wewe kuwa unapost vitu vya maana, kazi yako ni kuokota huku na kule, mapicha yasiyo na maana na kuyabandika kwenye kila uzi, kaa chinim ufundishwe kama huwezi kuongea na roho Mt. na kuweza kutafakari wew mwenyewe, siku zote nakuona unapingana na nafsi yako mwenyewe,

HOJA YAKO KUU HUWA NI NINI?, JE UNAWEZA KUSIMAMA KWENYE MAJADILIANO KWA KUSOMA MAANDIKO NA TUKAYATAFAKARI KWA PAMOJA BILA KWENDA KWENYE MAWEBSITE YAKO NA KUOKOTA VITU VYA UJINGA UJINGA VYA KUKUPUMBAZA AKILI?

HIVI KWELI UNAJUA TOFAUTI YA SINAGOGI NA HEKALU? NIONYESHE WAPI KWENYE BIBLIA WATU WALIENDA HEKALUNI SIKU YA SABATO
 
Wewe kweli kuabudu vinyago kumekuondolea hadi ufahamu


Kasome hiyo hapo:
" Men need to understand that Deity suffered and sank under the agonies of Calvary"

(Manuscript 44, 1898, and the Seventh-day Adventist Bible Commentary, vol. 7, p. 907).
 
Kasome hiyo hapo:
" Men need to understand that Deity suffered and sank under the agonies of Calvary"

(Manuscript 44, 1898, and the Seventh-day Adventist Bible Commentary, vol. 7, p. 907).
Acha kudokoa , mnaokoteza huko mitandaoni mnakurupuka

Mngekuwa mnasoma vitabu vya egw full

Bas mngeacha kuabudu

Masanamu na mavinyago
 
Kaka kuwa na Blog hakukufanti wewe kuwa unapost vitu vya maana, kazi yako ni kuokota huku na kule, mapicha yasiyo na maana na kuyabandika kwenye kila uzi, kaa chinim ufundishwe kama huwezi kuongea na roho Mt. na kuweza kutafakari wew mwenyewe, siku zote nakuona unapingana na nafsi yako mwenyewe,

HOJA YAKO KUU HUWA NI NINI?, JE UNAWEZA KUSIMAMA KWENYE MAJADILIANO KWA KUSOMA MAANDIKO NA TUKAYATAFAKARI KWA PAMOJA BILA KWENDA KWENYE MAWEBSITE YAKO NA KUOKOTA VITU VYA UJINGA UJINGA VYA KUKUPUMBAZA AKILI?

HIVI KWELI UNAJUA TOFAUTI YA SINAGOGI NA HEKALU? NIONYESHE WAPI KWENYE BIBLIA WATU WALIENDA HEKALUNI SIKU YA SABATO
Atakuonesha wapi labda kwa hiyo biblia yake ya kiswahili cha sasa inayosema sabato ni siku ya jumamosi. Huku akitumia reference za hao anao waita wapagani. Sababu kama ameweza kutambua kuwa Yesu alikufa msalabani siku ya ijumaa ilihali biblia hajasema hivyo, ametumia mitazamo ya wale wanao itambua ijumaa kuu, pasaka and everything kuhalalisha Siku ya sabato ionekane ni jumamosi, (maana ndio hoja yao kuu hakuna hoja nyingine)

Nimemuuliza swali alivyo jibu na biblia ilivyo andikwa ni tofauti
Na bado kuna mambo mengi wana pretend tu ki biblia hayapo.
IMG_20181109_224856_1.jpeg
 
Kaka kuwa na Blog hakukufanti wewe kuwa unapost vitu vya maana, kazi yako ni kuokota huku na kule, mapicha yasiyo na maana na kuyabandika kwenye kila uzi, kaa chinim ufundishwe kama huwezi kuongea na roho Mt. na kuweza kutafakari wew mwenyewe, siku zote nakuona unapingana na nafsi yako mwenyewe,

HOJA YAKO KUU HUWA NI NINI?, JE UNAWEZA KUSIMAMA KWENYE MAJADILIANO KWA KUSOMA MAANDIKO NA TUKAYATAFAKARI KWA PAMOJA BILA KWENDA KWENYE MAWEBSITE YAKO NA KUOKOTA VITU VYA UJINGA UJINGA VYA KUKUPUMBAZA AKILI?

HIVI KWELI UNAJUA TOFAUTI YA SINAGOGI NA HEKALU? NIONYESHE WAPI KWENYE BIBLIA WATU WALIENDA HEKALUNI SIKU YA SABATO
UNANIZUIA NISIWEKE PICHA? NAWEZA PICHA ZENYE AYA AMBAZO ZINAUJUMBE KAMA.ZINAKUKERA BAS MIMI SIWEZI KUACHA MAANA ZINA UJUMBE ,NAJUA UNAKUCHOMA

UNGEKUWA NA ROHO MTAKATIFU USINGE MUHESHIMU PAPA KULIKO MUNGU

UNASEMA ETI WATU HAWAKWENDA HEKALUNI SIKU YA SABATO

UNATIA MASHAKA SANA

KWANZA HUJUI KWANINI WAISRELI WALIANZISHA MASINAGOGI,

HEKALU LIPO TOKA ENZI ZA KINA SULEMAN, NA TOKA ENZ HIZO WANAFANYA IBADA SIKU YA SABATO

AU hujasoma.daudi alipofukuzwa na Sauli aliingia hekaluni akachukua mikate ya wonyesho ambayo huliwa siku ya sabato na makuhani?

HALAFU UNASEMA WEWE UNAONGOZWA NA ROHO, nachelea kusema ni ROHO MCHAFU APINGAE AMRI ZA MUNGU

Nakupa hints, Masinagogi yameanza kutumika baada ya kutoka utumwani kipind cha nabii MALAKI, na walitengeneza masinagogi mbalimbali maana hekalu lilikuwa moja huko Yerusalemu

SASA WEWE LETA ANDIKO LINALOKURUHUSU UFANYE IBADA SIKU YA JUMAPILI,MUULIZE HUYO ROHO WAKO


Najua picha zinakukera , nakuwekea hiyo hapo chini
FB_IMG_1541730133107.jpeg
 
Umeliona ila umejifanya kipofu mtu mzima kukiri huwa ni ngumu hata kama anaona ni kweli kama nilivyokuthibitishia

Ila neno linasema ukweli wa neno utahubiriwa ulimwengu kote ili iwe ushuhuda halisemi ili muamini ila iwe ushuhuda ili asiwepo ambaye atasema mimi sikusikia ili wakati wa hukumu kila mtu akiri ni za kweli na haki hukumu za Mungu
Biblia haijasema hiyo siku ilikuwa ijumaa. Na nakuu hiyo siku ilikuwa ya maandalio. Na kama hoja yako inajikita hapo kwenye huo mstari, swali ni je unaitambua pasaka, Ijumaa kuu nk? ( Sina hakika kama utaelewa swali langu.)
 
Back
Top Bottom