OMARY RAMADHANI
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 172
- 183
Hizo aya zako mbili za mwisho hujazitolea ushahidi wa maandiko na hapo ndipo panapo leta ukakasi ktk kuamini Sabato ni Jumamosi
Kuhusu nini?Kwa hiyo tufanyeje sasa?
Kaka hizo ni Biblia za Kuchonga, Nyie Wasabato mna yenu, Jevoha Witness wanayao wao wamebadilisha neno Mungu na kuandika YEHOVA nk, Hakuna Biblia halisi yenye hilo andiko uliloliweka la kusema ilikuwa ijumaa, Kalamu ya waandishi imefanya yake na nyie Mafarisayo (wasabato) mmeyapokeaWewe ni MUONGO.. nilikwambia kwenye post zilizopita..... SHETANI NDIYO BABA WA UONGO (imeandikwa)
Unasema" hakuna biblia iliyoandika habari za Ijumaa, Jumamosi au Jumapili "?
Hii ni nini? Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi - JamiiForums
Biblia ya kiswahili cha kisasa ambayo pia inapendelewa na wakatoliki
View attachment 928328
Acha uongo na uzandiki au kwakuwa AMRI.KUMI kwenu hazina kazi, bas ndio umeruhisiwa kusema uongo?Kaka hizo ni Biblia za Kuchonga, Nyie Wasabato mna yenu, Jevoha Witness wanayao wao wamebadilisha neno Mungu na kuandika YEHOVA nk, Hakuna Biblia halisi yenye hilo andiko uliloliweka la kusema ilikuwa ijumaa, Kalamu ya waandishi imefanya yake na nyie Mafarisayo (wasabato) mmeyapokea
Wewe zungukaaaaaaaa mwisho wa siku tunarudi pale pale, mnatumia reference za hao mnao waita wapagani kujiaminisha sabatho ni siku ya jumamosi. Lakini hakuna biblia iliyo andika siku ijumaa, siku jumamosi siku jumapili, rejea kitabu cha mwanzo. Kama wakatoliki wanaamini maneno ya papa, why ninyi mnaamini maneno ya Bi Hellen.Acha uongo na uzandiki au kwakuwa AMRI.KUMI kwenu hazina kazi, bas ndio umeruhisiwa kusema uongo?
Wasabato lini wana biblia yao?
Unaweza kuniambia imechapwa wapi hiyo biblia yao?
MCHENI MUNGU NA KUZISHIKA AMRI ZAKEWewe zungukaaaaaaaa mwisho wa siku tunarudi pale pale, mnatumia reference za hao mnao waita wapagani kujiaminisha sabatho ni siku ya jumamosi. Lakini hakuna biblia iliyo andika siku ijumaa, siku jumamosi siku jumapili, rejea kitabu cha mwanzo. Kama wakatoliki wanaamini maneno ya papa, why ninyi mnaamini maneno ya Bi Hellen.
Nilikupa mstari kuhusu dini ya kweli.
Kuna mwingine kaongezea IMANI na MATENDO. Sasa wewe pamoja na kuihubiri siku ya jumamosi, unahakika IMANI yako na MATENDO yatakupeleka mbinguni.
Tafakari....
NARUDIA TENA TOKENI BABELI , MSIJE KUPATILIZWA NA GHAZABU YA MUNGUWewe zungukaaaaaaaa mwisho wa siku tunarudi pale pale, mnatumia reference za hao mnao waita wapagani kujiaminisha sabatho ni siku ya jumamosi. Lakini hakuna biblia iliyo andika siku ijumaa, siku jumamosi siku jumapili, rejea kitabu cha mwanzo. Kama wakatoliki wanaamini maneno ya papa, why ninyi mnaamini maneno ya Bi Hellen.
Nilikupa mstari kuhusu dini ya kweli.
Kuna mwingine kaongezea IMANI na MATENDO. Sasa wewe pamoja na kuihubiri siku ya jumamosi, unahakika IMANI yako na MATENDO yatakupeleka mbinguni.
Tafakari....
Great thinkerMungu hajawahi kusimama kufanya kazi. Yesu ambaye alihusika katika uumbaji anasema Baba yake hajawahi kuacha kufanya Kazi. Kwa hiyo,kama unasema alisitisha kazi,ni kazi zipi? Ni lazima ufahamu kwamba Kitabu cha Mwanzo hakiwasilishi matukio halisi kwa mfuatano(progressive events) Bali kinatumia lugha ya picha katika kueleza kwamba Mungu alitumia muda Fulani katika kufanya uumbaji na baadaye viumbe wake wakakengeuka. Conception ya muda tulionayo wanadamu sio aliyo nayo Mungu.
Tunavyohesabu sisi muda sio ambavyo Mungu anahesabu pia. Ile kauli kwamba siku moja ni sawa na miaka 1000 kwa Mungu haimaanishi kweli kwamba ni miaka 1000 Bali muda mrefu.
Kwa hiyo,naona mnahangaishwa sana la conception ya 6days literal creation. Biblia inaposema ikawa jioni ikawa asubuhi haimaanishi Jumapili,Jumatatu...na ulimwengu haukuumbwa kwa siku sita.
hii haina nguvu kabisaa mkuu angalia hii kalenda kwenye simu yangu afu sema siku gani imeanzaHii ni picha ya KALENDA ya simu. Je ni siku ipi imeanza kwenye orodha? ni jumapili au Jumamosi? View attachment 927170
Wewe zungukaaaaaaaa mwisho wa siku tunarudi pale pale, mnatumia reference za hao mnao waita wapagani kujiaminisha sabatho ni siku ya jumamosi. Lakini hakuna biblia iliyo andika siku ijumaa, siku jumamosi siku jumapili, rejea kitabu cha mwanzo. Kama wakatoliki wanaamini maneno ya papa, why ninyi mnaamini maneno ya Bi Hellen.
Nilikupa mstari kuhusu dini ya kweli.
Kuna mwingine kaongezea IMANI na MATENDO. Sasa wewe pamoja na kuihubiri siku ya jumamosi, unahakika IMANI yako na MATENDO yatakupeleka mbinguni.
Tafakari....
Uzuri kiimani ni WEPESI sana. wewe unaweza ongea taratibu, yeye akatumia nguvu nyingi kukuaminisha anachokiongea ndio sahihi.Hawa jamaa huu ujinga waliouoga mpaka unatia kinyaa. Ellen aliwadanganyeni kwamba alikuwa amepewa unabii wa mambo yapatao 2000 na hadi Leo wanaamini hivyo.
Kwa muda mrefu wametuchokoza. Sasa tutakuwa tunamwaga humu madudu ya Ellen kila baada ya muda,moja baada ya jingine.
Unaweza kushangaa Ellen aliwaambia wasabato kuwa eti Yesu atarudi nyakati za Usiku wakati YESU alishasema hakuna ajuaye siku,muda na wala majira. Sasa ukiona watu wanaamini jambo la namna hiyo ujue wana mtikisiko Wa uelewa na sio bure.
Vipi kuhusu uzinzi, uchoyo, tamaa, ulevi nk umeacha maana yote hayo ni machukuzo kwa MUNGU.Kwa kuto itakasa na kuishika sabato wakistro wengiii tutaenda motoni, na ndiyo maana njia ile indayo uzima ni nyembamba, binafsi nilikata govi, nikaacha kula kitimoto, bado hili la sabato
Badala ya kujibu swali unaleta porojo, anyway kama ukishindwa kunijibu sio lazima uni-quote kwa porojoBiblia kiswahili cha kisasa ,
Hii ambayo haijataja ni kiswahili cha kimvita
UNAULIZA SABATO NI LINI, WAKATI KANISA LAKO LINASHEREKEA IJUMAA KUU, ALHAMIC KUU, NA PASAKA
kwanini usiwaulize mapadri, wachungaji wako, wanaokwambia Yesu amefufuka jumapili ,
Na wewe una swali au una leta porojo,Badala ya kujibu swali unaleta porojo, anyway kama ukishindwa kunijibu sio lazima uni-quote kwa porojo
Ha ha ha ha ha ha haaah 😂😂😂😂 am sorry to burst your wonderful bubbleNa wewe una swali au una leta porojo,
Kamuulize papa kwanini amewaambia msali siku ya jumapilView attachment 928548
Tena hilo povu sio la sabuni ya kawaida.... ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha ha ha haaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] am sorry to burst your wonderful bubble