Hatimaye zimefika siku 4 bila ya umeme wilayani Kaliua huku meneja wa wilaya na mkoa wakitoa tangazo limesababishwa na kuanguka nguzo 10 zilizopo mbugani.
Kwanini Serikali inalea watumishi wazembe hivyo?! Meneja wa TANESCO mkoa Tabora pamoja na wilaya ya Kaliua wapaswa kuwajibika.
Nguzo kumi zimeleta hadha ya umeme siku 4, wamelikosesha shirika mapato na bado wako ofisini.
---
Malalamiko ya mdau mwingine mtandao wa X
Kwanini Serikali inalea watumishi wazembe hivyo?! Meneja wa TANESCO mkoa Tabora pamoja na wilaya ya Kaliua wapaswa kuwajibika.
Nguzo kumi zimeleta hadha ya umeme siku 4, wamelikosesha shirika mapato na bado wako ofisini.
---
Malalamiko ya mdau mwingine mtandao wa X