WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Dereva mmoja ambaye ni mtu wa makamo alikuwa kapaki taxi yake kwenye eneo la maegesho,
akaja mtu mmoja aliyehitaji huduma ya usafiri. Baada ya makubaliano walianza safari yao, baada ya
safari ya dakika kadhaa yule abiria alimgusa dereva kwenye bega kumweleza kuwa keshafika safari yake.
Dereva alishtuka sana na kutoa macho kwa woga huku gari yake ikiserereka hadi kwenye mtaro.
Abiria wake akashangaa sana na kumuuliza kulikoni, dereva alimjibu kuwa hii ni mara yake ya kwanza
kuendesha gari ya abiria, siku zote alikuwa akiendesha gari ya maiti...
akaja mtu mmoja aliyehitaji huduma ya usafiri. Baada ya makubaliano walianza safari yao, baada ya
safari ya dakika kadhaa yule abiria alimgusa dereva kwenye bega kumweleza kuwa keshafika safari yake.
Dereva alishtuka sana na kutoa macho kwa woga huku gari yake ikiserereka hadi kwenye mtaro.
Abiria wake akashangaa sana na kumuuliza kulikoni, dereva alimjibu kuwa hii ni mara yake ya kwanza
kuendesha gari ya abiria, siku zote alikuwa akiendesha gari ya maiti...