Siku ya Kifo Changu

Siku ya Kifo Changu

"Do you afraid....."
"I am afraiding....."

Hiki Kiingereza cha hivi wenzetu mlifundishwa na walimu wa wapi?
ambao walifundishwa na nani aliefundishwa na nani na wapi?
Lazima udhaifu huu ilianzia chini ukalelewa.

Argrrrrr!!! kichefuchefu😕

Mbona Wakenya hamuwachek kwenye kiswahili
 
Umeandika vizuri sana. Ila kauli ya Marehemu lazima iheshimike. Maagizo yangu yanatekelezeka. Nifikia hewani, that is my destiny , I cannot change

Thank you , je kwa wewe ni mambo gani ukifa leo, huyopenda ufanyiwe?

Napenda nizikwe haraka sana ili kuondia machungu kwa watu
 
Kitu nimegundua kuanzia mwanzo mpaka hapa katika comments, wale wenye wako na kipato ndio wanaongea ongea maswala yya kuandika wosia kisheria sijui mttoto na mke wangu arithi koti nakadhalika nakadhalika. Sie akina pangu pakavu tunataka tukifa tuzikwe tu, vyovyote vile cha msingi tuzikwe.

BINAFSI nataka niwajulishe ndugu zangu siku nikienda, wajitahidi wanifukie mavumbini, nachukia na sipendi hii tabia ya kujengewa sijui na masementi mara marumaru SITAKI KABISA. Unakuta maishani sijafanikiwa hata kujenga nyumba halafu siku nife ndugu zangu wajitie kunijengelea, walahi wabilahih nitaammka niwachape bakora kwa ujinga huo. Wakishindwa kunizika mavumbini waniache hata porini niozee huko.

Kamama nitakufia katika ajali ya moto itakua vema nitakua mavumbi haraka. R.I.P in advance kwa mwili wangu.
 
The thread is scary! Hata sitaki kuwaza juu ya kifo changu..

Kwa bahati mbaya kabisa fear of death has never been a solution or Elixir!

Better accept it while you are learning to welcome your destiny. Think about death most of the time because one day your thoughts will be true, be assured that death is REALLY, and for sure you will die, hata kama ukiishi 100 years.

They say, death does not just happen to others, the opposite is true ! THINk
 
Siku ya kifo changu watakuja most powerfull angels to reborn my endless flesh
 
Kwa bahati mbaya kabisa fear of death has never been a solution or Elixir!

Better accept it while you are learning to welcome your destiny. Think about death most of the time because one day your thoughts will be true, be assured that death is REALLY, and for sure you will die, hata kama ukiishi 100 years.

They say, death does not just happen to others, the opposite is true ! THINk
I'm in the middle of something similar to this, WILL. Someone wanted to be burnt when he dies, now that he's dead the clan elders are insisting on following normal traditions of 'six feet under', the close family is insisting on burning the deceased as he wished when he was alive.

...I thought I was done growing/learning, kumbe I'm still a kid and need to go back to my books.
 
Kitu nimegundua kuanzia mwanzo mpaka hapa katika comments, wale wenye wako na kipato ndio wanaongea ongea maswala yya kuandika wosia kisheria sijui mttoto na mke wangu arithi koti nakadhalika nakadhalika. Sie akina pangu pakavu tunataka tukifa tuzikwe tu, vyovyote vile cha msingi tuzikwe.

BINAFSI nataka niwajulishe ndugu zangu siku nikienda, wajitahidi wanifukie mavumbini, nachukia na sipendi hii tabia ya kujengewa sijui na masementi mara marumaru SITAKI KABISA. Unakuta maishani sijafanikiwa hata kujenga nyumba halafu siku nife ndugu zangu wajitie kunijengelea, walahi wabilahih nitaammka niwachape bakora kwa ujinga huo. Wakishindwa kunizika mavumbini waniache hata porini niozee huko.

Kamama nitakufia katika ajali ya moto itakua vema nitakua mavumbi haraka. R.I.P in advance kwa mwili wangu.

Wewe Umeamka. And you will always stay WOKE!

Nashangaa sana watu ku invest lots of money kwenye mazishi yao.

Unakuta watu wanaenda kuchongesha Sanduku la Milioni 20, Suti Milioni 10 , ... yaaani what the hell wakati huo huo kuna watu walio hai wanakufa Njaa.

unaenda kugharamia kitu ambacho kinaenda kuwa funza na minyooo na chakula cha mchwa.

Albert Einstein said ,

-Two things are Infinity in this world; the Universe and Man’s stupidity.

But I am not so sure about the universe being infinity.
-
Kuna binadamu wengi sana wanaliwa na wanyama kama simba na hawaonekani tena, wengine wanapotelea Baharini na hawaonekani tena kama wale watu waliofia Nungwi wakiwa wanaelekea Pemba. Meli haikuonekana wala miili haikuonekana. The universe is trying to show us the terror and dark side of this life, and our body as a vessel has nothing to do with us.

Kuna mtu kacomment afe kifo kizuri..... ni mafundisho ya hovyo .

There is no such a thing kifo kizuri au kifo kibaya , there is only one Thing.... DEATH

Ukiliwa na Mnyama that is fine, Ukifia juu ya kifua cha KIMADA wakati unapiga bao that is fine and there is nothing wrong about that and it is good thing to happen , ukifia home that is fine too.

So we have to train our minds to accept the terror of this life, and it is better to die consciously yaani ufe while you know that this is my death, than dying like an animal
-
... unakufa halafu hujui kama unakufa ... just because you having been denying death all along , that is bad and it means you did not live the life badala yake ulikuwa ni muoga kwa vitu ambayo ni lazima kikuadabishe when your time is due.
-
I like your perspectives! Ni mtazamo chanya na wenye uhalisia
 
I'm in the middle of something similar to this, WILL. Someone wanted to be burnt when he dies, now that he's dead the clan elders are insisting on following normal traditions of 'six feet under', the close family is insisting on burning the deceased as he wished when he was alive.

...I thought I was done growing/learning, kumbe I'm still a kid and need to go back to my books.

That is true Brother, a WILL is a must thing. The problem is , our families do not like to discuss about death. I always like to discus about this thing because I know for sure that one day it will be true. if you asked me to tell you anything that I KNOW FOR SURE, I would say .....
DEATH.

I believe that it doesn’t just happen to someone else, the opposite of this is true. It happens to each of us .... just a matter of TIME.

When you deeply contemplate into death, you realize that learning is an unending quest. Through my leaning, I have come to realize that there is no reason to be afraid.......EVER!
 
Kutoka Uvungu wa Moyo wangu

Natamani sana kufa kijana, sipendi nife niumweeeeeeee weeeeeeeeee. Naumwa siku 3 au 5 then Unalala kayika Bwana

Unajua Duniani Salama kwa wakosa rehema, ukuwa unaabudu Mungu kweli huwezi penda maisha ya Tabu ya dunia hii asee.

Siku nakata roho naagana na dunia hii aseeee Naingia Maisha ya kutokufa(tunayofunzwa) nitafurahi sanaaa.

Hata uwe na hela kiasi gani Maisha hayana maana wala shukrani

DUNIANI TABU SANA

Wewe Umeamka as well. Na umeshatambua kwamba Kifo ni WAJIBU. Yaani ni RESPONSIBILITY YA KILA MMOJA WETU.

Kitu kibaya ni wale ambao wanaogopa, kwa binadamu ambae anaogopa kifo ... kifo huja katika mazingira mabaya sana.
-
Wakati Nipo Hospitali Kama Intern, wakati nafanya rotation kwa wagonjwa like 5 years ago. Niliingia moja ya wodi pale NATIONAL HOSPITAL katika majukumu ya kila siku ; nilikutana na mgonjwa ambae kwa kumuangalia tu alikuwa kwenye his last hours; and he was denying the fact that he was dying.
-
Alikuwa anajirusha kitandani, akaanza kunya na kujipaka mavi yake usoni. Ikabidi manesi wamu hold, Na tukampiga Diazepam aweze kurelax Na kutulia. Jioni naingia tena kwenye rotation, nikamkuta kaamka na amechili.
-
The following morning naingia tu, wodin nikakutana na vile vitanda with castors vikielekea Mochwari. Nikamuukiza nesi huyu ni Yule Mgonjwa wa Jana, Akasema yes .
-
Nikasema fine, he has transcended into the eternal NOW... nikaongozana na mwili wake hadi mochwari kumpa heshima ya mwisho.

He grabbed my attention because he was denying death, and the struggle was real.

Vifo vingi vya watoto ambavo nimekutana navo in my daily responsibilities in many Wards and emergency Departments was fair and calm.
-
Nikagundua kwamba watoto wao lolote na liwe tu it is okay for them. They have not attached that much to this damn world.
 
Nipate muda wa kusemezana na Mungu sekunde chache kabla ya kifo changu. Baada ya hapo kuhusu dunia sijali tena
 
Wewe Umeamka as well. Na umeshatambua kwamba Kifo ni WAJIBU. Yaani ni RESPONSIBILITY YA KILA MMOJA WETU.

Kitu kibaya ni wale ambao wanaogopa, kwa binadamu ambae anaogopa kifo ... kifo huja katika mazingira mabaya sana.
-
Wakati Nipo Hospitali Kama Intern, wakati nafanya rotation kwa wagonjwa like 5 years ago. Niliingia moja ya wodi pale NATIONAL HOSPITAL katika majukumu ya kila siku ; nilikutana na mgonjwa ambae kwa kumuangalia tu alikuwa kwenye his last hours; and he was denying the fact that he was dying.
-
Alikuwa anajirusha kitandani, akaanza kunya na kujipaka mavi yake usoni. Ikabidi manesi wamu hold, Na tukampiga Diazepam aweze kurelax Na kutulia. Jioni naingia tena kwenye rotation, nikamkuta kaamka na amechili.
-
The following morning naingia tu, wodin nikakutana na vile vitanda with castors vikielekea Mochwari. Nikamuukiza nesi huyu ni Yule Mgonjwa wa Jana, Akasema yes .
-
Nikasema fine, he has transcended into the eternal NOW... nikaongozana na mwili wake hadi mochwari kumpa heshima ya mwisho.

He grabbed my attention because he was denying death, and the struggle was real.

Vifo vingi vya watoto ambavo nimekutana navo in my daily responsibilities in many Wards and emergency Departments was fair and calm.
-
Nikagundua kwamba watoto wao lolote na liwe tu it is okay for them. They have not attached that much to this damn world.

Umenikumbusha Mwingine pale MNH

2012 Nililazwa pale kama wiki 2, watu walikua wakija na kuondoka wanakuzunguka unabaki mwenyewe.

Kuna dogo mmoja yeye alikua anajimwagia chochote iwe juice, maji anasema anasikia jotoooo, wakamchoma sindano asikie baridi

Kesho yake akaondoka.
 
Tulijibiwa kwamba How could that possibly be , you fear something that you never had any experience before? is there any person in all our recorded history ever experienced The Go and Return to share the experience, they asked.

Mkuu watu huwa hawaogopi kifo bali huwa wanaogopa huko waendako watajibu kitu gani mbele ya Mungu ukizingatia kwamba wengi wetu tunaishi maisha ya anasa na kusahau wajibu wetu mbele ya Mungu, hofu hasa ipo hapo.

siku zangu zikikaribia, for sure I will know

Ndiyo mkuu, hebu tuambie ni kwa jinsi gani utajua kuwa siku zako za kifo zimekaribia???--- angalia, hiyo inamaanisha kwamba hata namna na aina ya kifo chako unakijua!!😒

5. Kaburi langu lisijengewe wala kuandikwa jina.

Kaburi lako lisijengewe au hata kuandikwa jina kwani wewe ni muhalifu??, hata wahalifu makaburi yao hupambwa na ndugu na jamaa zao wanaotambua mchango mzuri waliowafanyia katika uhai wao. Vipi watoto na wajukuu zako wakitaka kuona kaburi lako itakuaje??!!, kwani kaburi lisilojengewa ni kaburi lililopotea.


6. Nisivikwe nguo yoyote zaidi ya kitambaa kitakachohifadhi tupu zangu.

Kwanini unataka tupu zako tu zifunikwe na sio mwili wote??-- mkuu,ukiamua kula nguruwe kula aliyenona, bora wakuache wazi kabisa.

Nadhani katika masharti yote juu ya mazishi yako hilo litakuwa ni sharti gumu, ili uzikwe katika hali hiyo unayoitaka labda uajiri watu binafsi kwa kazi ya mazishi y ako.

Akili za kuambiwa, Changanya na zako.

Sio akili za kuambiwa ni kwa habari za kuambiwa tumia akili yako. Wewe kwa umri ulionao umepata wapi kusikia kuna kitu kinaitwa AKILI ZA KUAMBIWA??

Kwenye mazishi ya mwili wako nitahudhuria 🤣
 
Mbona Wakenya hamuwachek kwenye kiswahili
Kwa kuwa wanajua wanaongea Kiswahili kilichopinda wenyewe.

Huyu mwamba anaandika Kiinglish cha Darasa la Tatu kisha anashupaa kujua sana.
Basi inabidi kumshangaa na kufurahia anavyozidi kujiingiza chaka.
Ni shida, na si ajabu ni 'graduate'.
 
Kwa kuwa wanajua wanaongea Kiswahili kilichopinda wenyewe.

Huyu mwamba anaandika Kiinglish cha Darasa la Tatu kisha anashupaa kujua sana.
Basi inabidi kumshangaa na kufurahia anavyozidi kujiingiza chaka.
Ni shida, na si ajabu ni 'graduate'.

Inabidi nicheke kwanza. Usikute unae comment hata kuandika mistari mitatu kwa kutumia English hujui.

Kwa bahati mbaya hata kiswahili hujui, katika kiswahili hakuna neno kiinglishi LoL
 
Mkuu watu huwa hawaogopi kifo bali huwa wanaogopa huko waendako watajibu kitu gani mbele ya Mungu ukizingatia kwamba wengi wetu tunaishi maisha ya anasa na kusahau wajibu wetu mbele ya Mungu, hofu hasa ipo hapo.



Ndiyo mkuu, hebu tuambie ni kwa jinsi gani utajua kuwa siku zako za kifo zimekaribia???--- angalia, hiyo inamaanisha kwamba hata namna na aina ya kifo chako unakijua!!



Kaburi lako lisijengewe au hata kuandikwa jina kwani wewe ni muhalifu??, hata wahalifu makaburi yao hupambwa na ndugu na jamaa zao wanaotambua mchango mzuri waliowafanyia katika uhai wao. Vipi watoto na wajukuu zako wakitaka kuona kaburi lako itakuaje??!!, kwani kaburi lisilojengewa ni kaburi lililopotea.




Kwanini unataka tupu zako tu zifunikwe na sio mwili wote??-- mkuu,ukiamua kula nguruwe kula aliyenona, bora wakuache wazi kabisa.

Nadhani katika masharti yote juu ya mazishi yako hilo litakuwa ni sharti gumu, ili uzikwe katika hali hiyo unayoitaka labda uajiri watu binafsi kwa kazi ya mazishi y ako.



Sio akili za kuambiwa ni kwa habari za kuambiwa tumia akili yako. Wewe kwa umri ulionao umepata wapi kusikia kuna kitu kinaitwa AKILI ZA KUAMBIWA??

Kwenye mazishi ya mwili wako nitahudhuria

Hata mimi nitahudhuria katika mazishi yako.
 
Hata mimi nitahudhuria katika mazishi yako.


Yale yale, imekuaje sasa woga wa kufa umekupata???!!🤣

Mimi sijangaza kifo changu, wewe umeanza kufanya matayarisho na mbaya zaidi siku utaijua na unataka uzikwe NUSU UCHI.🤣
 
Back
Top Bottom