Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,945
Sitaki kufukiwa, nichomwe.
Huchomwi, kwani wewe ni (Muhindu) Baniani???š¤£
Sitaki kufukiwa, nichomwe.
Sio banian lakini nataka majivu yangu yakamwagwe baharini.Huchomwi, kwani wewe ni (Muhindu) Baniani???š¤£
Sio banian lakini nataka majivu yangu yakamwagwe baharini.
Watalipa watu wafanye hiyo kazi. NitagaramiaNani ahangaike na taabu yote hiyo??
1--- kuni na mafuta ya kuchoma mwili wako.
2--Jiko la kuchomea mwili.
3---Nani atayeweka mwili jikoni kupiga kiberiti na kuchochea.
4---Nani atakayekusanya jivu na kwenda kulitupa Baharini.
Kwa mila na tamaduni za kiafrika hayo ni mambo magumu mno kwani hatujazoea na mbaya zaidi Waafrika tulio wengi tunaogopa sana maiti.
Wewe utazikwa tu maadamu ardhi ya kuzikia haijaisha huku kwetu.
Watalipa watu wafanye hiyo kazi. Nitagaramia
Ndio napenda. sipendi kufukiwaKwani wewe unapenda mwili wako uchomwe moto??? au unadhani siku ya qiyama Mungu atakupunguzia adhabu ya moto kwa makosa uliyoyafanya hapa duniani??, ni roho yako ndiyo itakayochomwa siku ya qiyama.
Yale yale, imekuaje sasa woga wa kufa umekupata???!!
Mimi sijangaza kifo changu, wewe umeanza kufanya matayarisho na mbaya zaidi siku utaijua na unataka uzikwe NUSU UCHI.![]()

Uoga no no no, man , Vocabulary ya Uoga kwenye maisha yangu haijawahi kuwepo. Ha haUoga no no no, man , Vocabulary ya Uoga kwenye maisha yangu haijawahi kuwepo.
So , hutotaka nihudhurie Chief kwenye msiba wako.
I canāt imagine mdau wa JF analeta uzi hapa wenye kichwa cha habari R.I.P Mokaze
Hebu imagine kitu kama hicho Mkuu dah
naomba ulete mkasa kamili mama MamndenyiKwenye mali za baba yao? Hawakuambulia hata soks hata kijiko. Yuko mtoto wa nje ya ndoa ndo alijimilikisha vyote.
Hawa watoto wa nje ya ndoa ni hatari.
Nazidi kumngojea Mungu aje aamue mwenyewe.
AiseeeAhsante Sana
walikuwa na haraka na Mambo yao.


Yaani kwamba walikosa muda wakawa na haraka mno hadi kufikia kuiacha maiti?Acha tu mpendwa..

Wanaofanya kazi mochwari Wana roho ngumu.Nilipoenda Hospital, I think those days nilikuwa mwaka wa 1 kwenye medical Field Chuo, nilienda kumpeleka mzee wangu pale Mount Meru, tulipofikisha maiti pale, wakailaza chini, ambapo kulikuwa kama kuna maiti kama nne hivi Jamaa wa mochwari anazirukaruka kama anavoruka madibwi.
Akasema toeni elf 50 tupige dawa iwekwe kwa jokofu.tukafanya hivo. I was curious, what the hell na hizi maiti zilizolala hapa chini ? Wakasema hazikuhusu But kwa kukusaidia tu , hawa hawana hela za Dawa . Yaani I could not understand the scenario.
Wewe ni Atheist??.Huruhusiwi ku quote any verse from scriptures maana huu Sio Uzi wa kidini. No Bible nor Quran. Maana nyie watu soon mta deviate hii mada na kuanza mabishano yenu yasiyo na mwisho
Hata mtoa mada tutamfanyia tunachotaka km vile kumuosha,wekea dawa ya kuzuia kuoza,kulia,kumvika sanda,kumfanyia matanga,n.k.Kifo hakina huruma,wala ujanja ujanja,siku ikifika tunaenda tu,yani hatukwepi kitu hapo.


hata km amekataa na hata kuwa na uwezo wa kutukataza.Majivu yako yatatuchafulia maji yetu.Kwanza mimi nataka niwekwe kwenye mafriji hata wiki, kisha sitapenda watu walie, na zaidi watu wapige urabu kwa kwenda mbele, na after a week nichomwe moto uwanja wa wazi na majivu yakamwagwe kwenye kijito au mto unaotiririsha maji kwa speed ,
DuhWalikuwa na haraka mno..walitaka siku tunawasili kijijini siku hiyo hiyo Mama azikwe..baadhi ya ndugu na sisi watoto tukasema si sahihi..wakasusa .




OhNdiyo ivyo imefika alhamisi tu hapo..walinisikitisha sana

Mimi naogopa kifo muda huu kwasababu sijafanya amali za kutosha kama ticket ya kwenda peponi, mimi naamini juu ya pepo na moto, all in all why should I fear death which will obviously overtake me and all of us, it is an inevitable journey??!, afterall how can I enter pepo without dying??--- I have to die to see the blissful paradise.![]()