Siku ya Kifo Changu

Siku ya Kifo Changu

Huyu amewapuguzia mzigo,masharti yake ni nafuu sana.
Ninyi mnatuamrisha mara tuwafanyie hivi mara tusiwafanyie vile wakati siku hiyo mtakuwa marehemu!??? Tulieni hivyohivyo, tutafanya yetu kadiri tutakavyoamua sie, OK!???
 
Sitaki niwekwe mortuary namwogopa Mshana Jr atanibaka.

Sitaki wakanizike alikozikwa Mr. kule wana roho mbaya maana hata mali zote za Mr. plus nyumba niliyojenga Naye wamenipora,

Wanizike na joho langu la uzee wa kanisa, Bible yangu na kinanda changu.

Siyo lazima wawasubiri ndugu zangu wafike ndo nizikwe acha wakifika wakute kaburi.

Mali nimeshawaambia, kila mtu anajua chake, mali zangu binafsi wafanye watakavyoamua.

Kifo kipo tukubali tu.
Bibi unapiga nota ?
Nipate shule
 
Kwenye mali za baba yao? Hawakuambulia hata soks hata kijiko. Yuko mtoto wa nje ya ndoa ndo alijimilikisha vyote.

Hawa watoto wa nje ya ndoa ni hatari.

Nazidi kumngojea Mungu aje aamue mwenyewe.

Mama fanya maamuzi; God will never come to help, you will be waiting for something never to happen. Amua Sasa you have all the means to help yourself.

Halafu nyie watizedi, tabia ya kuishi na mwenza wako bila ya kuwa na effective communication ni hatari. Halafu pia mnatakiwa kuwa open kwa mambo ya mali na fedha, jengeni hiyo tabia vinginevyo mtatesa watoto Na mali nyingi zitapotea
Kama huwezi kuwa open kwa mwenza wako, achana na huyo mtu, tafuta saizi yako . Mapenzi ya wabongo bhana , ni Uongo uongo na Ujanja ujanja, baadae gharama yake ni kubwa.
Mimi hata nikichepuka namwambia mwenza wangu, in my life nilishawahi kuchepuka wakati yupo mjamzito , alipojifungua baada ya kuwa sawa nilimwambia ; it was one night stand and then nikajutia. Sikutaka tena kurudia hiyo tabia. Ilimuuma lakini pia she always thank me for being honest.


Sasa nyie watizedi mnatakiwa kujifunza kitu inayoitwa Truth and Transparency kwenye mahusiano. Halikadhalika, Mnatakiwa pia kujadili what if one of you akatangulie, je kila kitu kipo sawa kwa muktadha wa mgawanyo na mustakabali wa watoto, je interaction ya ndugu imekaaje.

Acheni mambo ya Ujima eti kujadili Hayo mambo ni kujichulia.... acheni hiyo mambo amukeni. Kuwaza hivo ni sawa na kujaribu kukikimbia KIVULI chako !
 
People fear death even more than pain. It’s strange that they fear death. Life hurts a lot more than death. At the point of death, the pain is over....!

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Mnaoachiwa mliobaki huwa mnakawa na mambo mengi sana yasio na tija na yenye kutaabisha watoto,mke,mume,wazazi wa marehemu
Naunga mkono hoja hapo post #43.

Jukumu lako wewe ni kufa tu mengine tuachie wanaobaki, kulia au kutolia, kupiga bia au kutopiga bia, kutawanyika ama kukaa hilo wataamua wao kulingana na mazingira ya wakati huo.

Umeandika meengi what if ukipotea kwenye ajali ya ndege kama ile ndege ya Malaysia ?

Nikirudi kwenye mada, kifo ni bayana.
 
Itakusaidia kuzikwa kwa sheria zote za Kiislamu?
Wengine sisi ni wachimbaji, tunaweza kufia kwenye makurukunta huko na ikawa mwisho wa show yetu

Ila ikitokea nikafia uraiani basi nizikwe kwa sheria zote za kiislam.
 
Itakusaidia nini kuzikwa kwa taratibu za dini yako?
Mimi kifo najua kipo na kitakuja tu...hakina siku saa.
Hivyo Basi...najiandaa na maisha baada ya kifo ambayo naamini yapo.

Nachoomba nife Hali ya kuwa Mola want yu radhi nami.

Kuzikwa nizikwe kwa taratibu za Dini yangu..ya uisilamu.

Hivyo yaani
 
Mimi ndio nimeagiza. Na Mimi ndio nitakuwa nimekufa. Mimi familia yangu marhemu wote wanasikilizwa kwa yale yote yanayotekelezeka. Kwanza Mimi ndio nimekufa why mnipangie nyie namna ya kunizika
Na wewe kwanini unipangie mimi kunywa pombe nikija kukuzika?kwani utaninunulia wewe marehemu?si ninakunywa kwa hela zangu?au umesikia hizo bia tunalipa kwa rambi rambi?

Nitakachofanya kama maeehemu unanidai nitalipa kwanza deni, kisha naita kreti ya bia kukusindikiza kuzimu
 
Mkuu, jiulize kabla wazazi wako ambao ndio waliokuleta hapa duniani hawajazaliwa, ulikuwa wapi..?!

Jibu ni: Haukuwepo! Na wala haukuwa ni mwenye kutajwa kabisa!

Kwahiyo usipate tabu, Yeye Aliyekuanzisha mara ya kwanza hashindwi kukurejesha mara ya pili!
Huwa nawaza ili swala mpaka nakosa majibu
 
Na wewe kwanini unipangie mimi kunywa pombe nikija kukuzika?kwani utaninunulia wewe marehemu?si ninakunywa kwa hela zangu?au umesikia hizo bia tunalipa kwa rambi rambi?

Nitakachofanya kama maeehemu unanidai nitalipa kwanza deni, kisha naita kreti ya bia kukusindikiza kuzimu

Ha ha
 
Read the Bible...

This is the only problem of Faith . Muslims nae atasema read the Quran. Jews atasema read the Torah

Sasa dont comment here regarding the verses
 
Baada ya kuhudhuria mafunzo ya FBI na China-MSS, nilielewa kwamba binadamu yeyote mwenye AKILI kubwa ni lazima ailazimishe akili yake kukikubali KIFO.
-
Tukiwa na training team ya China MSS, swali la kwanza kuulizwa ni; " Do you fear death ? My honest answer, as we were taught never to lie, was Yes, I do.
-
Tulijibiwa kwamba How could that possibly be , you fear something you never had any experience before? is there any person in all our recorded history ever experienced The Go and Return to share the experience, they asked.
-
We said, We don't know!
-
Wakatuambia, ili mjifunze haya mliyojia and to serve the world as well as the state; you guys have to accept death as the matter of TRUTH. Pili, No one knows the TRUTH but we think we do. We are all living in myths and fantasies of the past just to secure our insecurities.
-
It is one of those days I came to realize that many people have been dying without living the life . Ni wachache sana wamefanikiwa kufunua BUSWATI na PAZIA ili kuona the glimpse of life. Kibaya zaidi haya mambo you can not be taught. Verily, you have to check it by yourself. Curiosity never killed the Cat. THINK!
-
Siku ya KIFO Changu

1. Sitotaka mwili wangu kusafirishwa kupelekwa Kilimanjaro Unless nimefia NAMIBIA, kitu ambacho siamini hivo, siku zangu zikikaribia, for sure I will know, nitarejea nyumbani. Nitapenda kuzeekea Dar es salaam, mji ambao ninaupenda sana.

2. Nimefungua death account kila mwezi naweka dola 100 kwa ajili ya kugharamia maziko yangu, I have documented that on my Diary. sitaki yeyote atoe senti yake kwa maziko yangu.

3. Sitohitaji watu wakae matanga, nikishafukiwa, kila mtu aondoke kwenda kufanya yanayomuhusu.

4. Masaa 7 Tangu kifo changu niwe nimeshazikwa, naamini nitakuwa sijaanza kutoa harufu ya kuliwa na bacteria.

5. Kaburi langu lisijengewe wala kuandikwa jina.

6. Nisivikwe nguo yoyote zaidi ya kitambaa kitakachohifadhi tupu zangu.

7. Sitoruhusu kwa mtu yeyote aliyelewa kuhudhuria maziko yangu na wala kwenye maziko yangu sitoruhusu pombe

8. Sitopenda nyimbo zozote zipigwe wala mtu yeyote kuimba. It is the moment of silence to honor my existence

9. Haitoruhusiwa Kulia. Kwanini ulie? Kwani hukuwahi kujua kwamba tumezaliwa ili tufe, jiandae kwa sababu for sure Utakufa.

10. Ndugu yoyote hausiki kwenye Mali zangu kwa namna yoyote ile , mali zangu ni za watoto wangu na mke wangu tu , I have documented that on my diary, Bank accounts and legal issues.
-

Je, siku ukifa, ungependa vitu gani usifanyiwe kwenye maziko yako? na je ungependa ni nani awe mrithi wa mali zako?

Thank you and Rest In Peace to all the humans who have stepped into the truth of death. To all the humans who Have died due to Covid-19, and for those who continue dying due to COVID -19.

Chukua Tahadhari. Akili za kuambiwa, Changanya na zako.
Yaani unafanana na mue kwa kila kitu,mimi sitaki hata kuagwa,au eti kusomewa historia
 
Back
Top Bottom