Siku ya Break up!

Siku ya Break up!

heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani
.
.huwaga sisubiri mpaka niachwe" bali natengeneza mazingira ya kuachana ili tutoke ngoma draw" ... Huwa nakaa kimtego mtego" Asipo nipigia na mimi simpigii" Asipo nitext na mimi simtext"... nikimtafuta hewani mara 1 then ikawa ha-respond basi sijishughulishi kumtafuta tena" mpaka atakapo nitafuta yeye" cause missed call yangu siameiona bwana".... ikitokea akapiga kimya kwa muda wa siku 3,.. basii nafuta namba yake kabisaa' ili nisije pata mshawasha wakumpigia"...

that's all
Daaah hii nzuri
 
Niliomba kukutana nae siku hyo baada ya conflicts kibao, anafika sehem ya tukio bila simu, yani kaiacha kwa rafik ake... nikaona hapa tayar kashanogewa na jama wa kando kiasi hata texts zao hataki kuzifuta tena kwny simu so akawa anaiprevent mm nisiione
Nlichofanya kwasabab nlmpenda sana na alkua ananiuma kumuacha.. nkamtia mkofi mmoja akalia kama mbuzi... then nikaepa mbele ya safar nikamtumia msg “guess who won Oscars? Me... kesho yake nimeblockiwa kila mahali nikaona frsh tu.. ila madem wapende hata ulie siku anakubwaga tu
 
heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani
.
.huwaga sisubiri mpaka niachwe" bali natengeneza mazingira ya kuachana ili tutoke ngoma draw" ... Huwa nakaa kimtego mtego" Asipo nipigia na mimi simpigii" Asipo nitext na mimi simtext"... nikimtafuta hewani mara 1 then ikawa ha-respond basi sijishughulishi kumtafuta tena" mpaka atakapo nitafuta yeye" cause missed call yangu siameiona bwana".... ikitokea akapiga kimya kwa muda wa siku 3,.. basii nafuta namba yake kabisaa' ili nisije pata mshawasha wakumpigia"...

that's all
Upo kama mm tu yaan
 
Niliomba kukutana nae siku hyo baada ya conflicts kibao, anafika sehem ya tukio bila simu, yani kaiacha kwa rafik ake... nikaona hapa tayar kashanogewa na jama wa kando kiasi hata texts zao hataki kuzifuta tena kwny simu so akawa anaiprevent mm nisiione
Nlichofanya kwasabab nlmpenda sana na alkua ananiuma kumuacha.. nkamtia mkofi mmoja akalia kama mbuzi... then nikaepa mbele ya safar nikamtumia msg “guess who won Oscars? Me... kesho yake nimeblockiwa kila mahali nikaona frsh tu.. ila madem wapende hata ulie siku anakubwaga tu
Kabisa mkuuu....
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Mmmmh Mkuu kweli hujawahi kupenda tena😀😀😀.
Hivi umetumia strategy gani? nipe uzoefu Mkuu
 
Ha ha ha ha haaaaaaa umenifurahisha sana Mkuu, sasa baada ya mwaka si utakuwa na msululu wa watu wengi waliogegeda?
Bora komaa na mmoja kibishibishi tu😛😛
Kugegedana hapana. Naangalia. Kutoka na MTU haimaanishi kugegedana mkuu. Toka mwaka uanze nimeonana na mwanaume mpya mmoja tu. Wengine tunaishia juu juu basi
 
Upo kama mm tu yaan
bila ya kuwa na hizi elements utakuwa unalia kila siku ".... tunapaswa kujufunza kujipenda sisi wenyewe kwanza" kabla hatujaamua kufungua mioyo yetu na kuwaweka watu wengine ndani yake". tunapaswa kujionea huruma pia".... kinyume na hapo Ukubali kuwa mtumwa tu wa mapenzi"...

though matumizi ya Akili ni jambo la msingi sana" kwenye Maisha yetu kwa ujumla".. ukiupa moyo nafasi ya kukuamulia hatima yako" wakati ulipaswa kuukabidhi ubongo hiyo kazi". ,,, basi jiandae kuwa na anguko baya la Maisha yako"..... waswahili wanasema kuyakumbatia mawe kama jiwe ni ujinga
 
Niliomba kukutana nae siku hyo baada ya conflicts kibao, anafika sehem ya tukio bila simu, yani kaiacha kwa rafik ake... nikaona hapa tayar kashanogewa na jama wa kando kiasi hata texts zao hataki kuzifuta tena kwny simu so akawa anaiprevent mm nisiione
Nlichofanya kwasabab nlmpenda sana na alkua ananiuma kumuacha.. nkamtia mkofi mmoja akalia kama mbuzi... then nikaepa mbele ya safar nikamtumia msg “guess who won Oscars? Me... kesho yake nimeblockiwa kila mahali nikaona frsh tu.. ila madem wapende hata ulie siku anakubwaga tu
umenichekesha sana mkuu
 
Nashukuru kuzaliwa ambako hakunaga kupendana!! huko hata baba anaweza akafanya mipango uko zako nyumbani huna hili wala lile unashangaa umeletewa mke na ndo umeoa hivyo. Hainaga mjadala wa kupenda na kutokupenda. Nyie mnaodhani watu wanapendwa endeleeni kuhadithia maumimivu. Halafu huko kwetu hakunaga kuachana ukishalipa mahari hata aende wapi huyo ni wako milele.
Oooooh nilipo achwa nilijisikia vibaya!!! Kwetu hamna .
 
Nilikuwa na uhusiano na dada fulan huyu alikuwa kama model mzur sana na mwembamba

Nikampima ngoma nikawa najimegeaa peku sasa tukawa tumeshibana sana kama hela nikawa nampa sana tumekaa kwenye mahusiano kama miez 4 ,,baadae huyu dada akawa anasubir mpaka mimi nimtafute baadae nikamuambia kuwa huru kwangu nipe majibu mm nakuona kama sikuelewi kama wataka kuniacha naomba uniambiee akasema hapana sms nakuwa sina nikamuambia sio uniandikie tafadhari nipgie akasema mm siwez kuandika nakuwa najiona najishushiaa nikasema poa

Usiku saa sita akanitumiaa sms kwamba " JOHN PLZ NAOMBA UNIACHE YAAN TUACHANE MIMI NA WEWE PLIZ NAOMBA ASANTE KWA KUNIELEWA"

NAMI NIKAMJIBU "NASHUKURU NIMEKUELEWA BORA UMEKUWA MUWAZI NAKUTAKIA MAISHA MEMA"

Sikulizika nikampgiaa simu lakin hakupokeaa kabisa baadae akanitumia sms '' SAMAHANI SIWEZ KUONGEA MUDA HUUNITAKUTAFUTA KESHO" hata siku mjibu ,,badae nikamtumiaa sms KUACHANA SIO UGOMVI NASHUKURU UMENIAMBIAA NAM NIMEKUBALI MATOKEO SINA KINYONGO NA WEWE WALA SIWEZ KUKUCHUKIA KAMA TUKIONANA NITAKUWA NAKUPA SALAMU KAMA KAWAIDA NA ISIWE UGOMVI BAINA YETU


siku moja nipo stand nikamuona hapo ni siku nne mbele baada ya kusema tuachane nikampgia simu nikamuambiaa nakuona na nikaenda kumpa hie tukawa twaongea na twataniana kama dada naona umeamua kuniacha naye kiutani anasema kaka ,,bas akaniambiaa nina njaa nikamuambia wataka kula nn akasema hata chipsi nikamnunulia akaenda kulia kwenye gar nikamuambia sababu ni nini akasema ni maisha sababu ,sikutaka kumdadis zaid akaondoka alipofika kwao akaniambiaa nimefikaa

Huyu nimelala naye mara nne ,,lakin kitandani hayupo vzur kivilee

Solution

Najua kama yupo na mtu mwingne ila mm nakuwa naye ni rafk wa kawaida kwan mpaka sasa hatutafutani .nam muda huu nimefuta namba yake kwan kichwani nimeishika nataka hadi anitafute yy maana nikiwa nimesave naweza kushawishika kumpgia naye atajionaa ,na namsikilizia mahusiano yake mengne atafikia wap na huyo mtu na yeye atapma kwenye mizani nan ni muhmu kwake kama akizinguana na huyo mtu wake
 
Nashukuru kuzaliwa ambako hakunaga kupendana!! huko hata baba anaweza akafanya mipango uko zako nyumbani huna hili wala lile unashangaa umeletewa mke na ndo umeoa hivyo. Hainaga mjadala wa kupenda na kutokupenda. Nyie mnaodhani watu wanapendwa endeleeni kuhadithia maumimivu. Halafu huko kwetu hakunaga kuachana ukishalipa mahari hata aende wapi huyo ni wako milele.
Oooooh nilipo achwa nilijisikia vibaya!!! Kwetu hamna .
Wapi huko mkuu hadi Leo unachaguliwa mke???
 
Back
Top Bottom