Siku ya Break up!

Siku ya Break up!

Nishapigwa chini 2010 na depo moja hivi kali sanaaa nilichokifanya nikajiwekea ukaribu sanaa na marafiki zake ili wanipe ushauri (LENGO ILIKUWA NIWATAFUNE WOTE WATATU) mwisho wa siku kwa kutumia itikadi za ufisadi nikala wawili kitu ikasanuka..........
Haa ha ha....wee balaa!!
 
Mimi nilikuwa na historia ya kuacha tu sikumbuki kuachwa, kuna mmoja huyu alikuwa bikra nikamla wakati nipo nae, mimi na gf wangu tuligombana kama wiki 2.Baada ya wiki 2 tukarejeana na gf wangu sasa, Huyu mtoto bikra kumbe si alipagawa wakati huo huo nilikuwa na demu mwengine mjane huyu alikuwa anagegedana hatari. Sasa nikiwa nishazowea kuacha nikapata manzi mmoja mzuri na papuchi yake tamu hatareee. Nilidumu nae kwa miezi 6 akaniwacha nikaanza kupiga Pombe hatari sana. Nikawakumbuka manzi wa zamani niliowaacha sijui walikuwa na maumivu gani, bahati nzuri niliacha kulewa sasa navuta bangi kama mbuzi na majani.


Ndukiiiii ‍♂️‍♂️‍♂️
Haa ha ha...Mkuu uliachaa wotee kisa mmoja ukapigwa chini
 
Mwanaume ukikosa kabisa basi uwe na wanawake watatu...nimemaanisha
Mkuu katika hili swala la kuachana ndipo nilipo amini papuchi au wanawake wana tofautiana. Kuwa na wanawake wengi bado siyo solution, anaweza kukuliwaza for the time being ila kuna vitu lazima uvimiss kutoka kwa muhusika mwenyewe.

Acha kabisa mzee.
 
Ilikuwa ndo first love kipindi hicho ninae mmoja tuu...!! Kujikutaa loyal khaaaa nlinyooshwa
Usiludie kosa LA kuwa na demu mmoja panga ata sita saba ivi ukiona VIP ata kumi kabsa ila ndo ukimwi umekaa patamu kwelikweli
 
Hapa nimekuelewa sana ,ndo maana kupoteza muda na mioyo ya wanawake ni Kama kujiingiza kwenye kamali kwa uzoefu wangu 80per ya wanawake mahusiano hawajawapenda wenzi ni upweke na uselfish ,wanaume wa desgn yako tupo tatizo sisi hatupewi mzigo tukijaribu kusema hatuwezi date ,so tunadanganya tukisha onja msaada ni kuacha taratibu bila kuumiza
Hamna bwana wengine tunawapenda wengine tunabuy time tukiwasubiri tuwapendao
 
Naomba kuuliza hivi akija kuomba msamaha wa zamani unaweza kumrejea? Sababu ya kukuuliza hili suali kuna ex-wangu wa zamani nimerejeana nae ila naona hatabirikia leo anataka kesho hataki.
Hapana. Mapenzi yameisha. Hata nikiongea hamna msisimko Kama ule wa zamani. Na simuamini tena. Mapenzi yameisha sasa hivi japo kuna muda nammmiss ila najua ni sababu ya loneliness tu
 
Aisee ilee siku napokea msg toka kwa shemeji yenu tuachane baada ya kusumbuana kwa muda mrefu sana nilionaa kama gizaa hivii afuu nikataka kudondokaa ikabdi nikaee kitandanii kwanzaa yale maumivu Mungu ndo anajua.


Ulikuwa na hali gani siku umeachana na mpenzi wako?
Nilishukuru mungu kwani alikuwa kama deni la mkopo linalosubiria rejesho la kila mwezi.
 
Ulimkosea nini?
Sikumkosea chochote huwezi amini. Nilikua nahamia NYUMBA nyingine nikamwambia. Kumbe ile ndo ilikua sababu. Anasema aliona hata kunisaidia kodi hawezi na akija anafikia kwangu na Dada zake wakamwambia huyo mwanamke humuwezi. Kwahiyo akaona bora ajitoe kwa style hiyo ya kutopokea simu. Alirudi akaomba msamaha ndo akaniambia hizo sababu na nikamsamehe sababu nafasi yake ilikuwepo bado. Ila sikua na imani nae tena. Hata mapenzi nikaona hataki Kama zamani.
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Pole mkuu. Hata Mimi sijawahi kuambiwa nakuacha, ila nasoma mazingira tu. Baada ya hapo najiongeza, then maisha yanaendelea.
 
Hapana. Mapenzi yameisha. Hata nikiongea hamna msisimko Kama ule wa zamani. Na simuamini tena. Mapenzi yameisha sasa hivi japo kuna muda nammmiss ila najua ni sababu ya loneliness tu
Utapenda tenaa tuu ndo maana Mungu aliweka kitu kusahau sema now utakuwa hujalii tenaa hata mkibreak up hutaumia
 
Umepita mule mule! Ukiona dalili za mawingu tu unaandaa mwamvuli kabisa maana mvua inaweza nyesha muda wowote
kabisa mkuu" Usipojiongeza " inakula kwako tu ..usipende kuwa mnyonge mnyengo mahusiano yatakuwa yanakuachia makovu ya maumivu kila siku
 
hapa naona kuna conflict of interests hakuna aliachwa wote wameacha

kuachwa inauma hasa kwa mtu uliyempenda kwa mapenzi yako yote tena suddenly unaambiwa its over weeee

Khalid Chokoraa - Kuachwa....hii dedication kwa wale wote tuliyowahi kuachwa

mapenzi ni kitu kingine kabisa
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
LAKINI SHOW ZA KIBABE UNAENDELEA KUTOA?
 
Mimi nilikuwa na historia ya kuacha tu sikumbuki kuachwa, kuna mmoja huyu alikuwa bikra nikamla wakati nipo nae, mimi na gf wangu tuligombana kama wiki 2.Baada ya wiki 2 tukarejeana na gf wangu sasa, Huyu mtoto bikra kumbe si alipagawa wakati huo huo nilikuwa na demu mwengine mjane huyu alikuwa anagegedana hatari. Sasa nikiwa nishazowea kuacha nikapata manzi mmoja mzuri na papuchi yake tamu hatareee. Nilidumu nae kwa miezi 6 akaniwacha nikaanza kupiga Pombe hatari sana. Nikawakumbuka manzi wa zamani niliowaacha sijui walikuwa na maumivu gani, bahati nzuri niliacha kulewa sasa navuta bangi kama mbuzi na majani.


Ndukiiiii ‍♂️‍♂️‍♂️
Naomba nikuuzie Bangi
 
Back
Top Bottom